-
UN yaalani mashambulizi ya kinyama ya walowezi na wanajeshi wa Kizayuni huko al Khalil
Nov 20, 2022 23:04Umoja wa Mataifa umelaani mashambulizi ya kinyama ya walowezi wa Kizayuni wakishirikiana na wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel huko katika mji wa al Khalil.
-
Abdulsalam: Baadhi ya makundi ya Wayemen yanafaidika na kuendelea umwagaji damu
Nov 20, 2022 23:00Mkuu wa ujumbe wa serikali ya uwokovu wa kitaifa ya Yemen katika mazungumzo ya amani ya nchi hiyo ameeleza kuwa, baadhi ya mirengo ya ndani huko Yemen yenye mfungamano na Riyadh yamegeuka na kuwa wafaidikaji katika vita huko Yemen.
-
Hamas: Mpango wa wavamizi wa Kizayuni huko al Khalil utashindwa
Nov 20, 2022 08:15Sambamba na kupongeza muqawama na mapambano ya wananchi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, msemaji wa harakati ya Hamas amesisitiza kuwa, juhudi za utawala wa Kizayuni za kuimarisha ujenzi wa vitongoji vya walowezi huko al Khalil hazitafanikiwa.
-
Kuongezeka maradufu watu wanaokatwa vichwa nchini Saudi Arabia
Nov 20, 2022 05:18Serikali ya Saudia inatumia vibaya kimya cha madola makubwa na jamii ya kimataifa, kuzidisha kukata vichwa watu kwa visingizio tofauti kiasi kwamba, idadi ya watu waliotekelezewa adhabu ya kifo na ukoo wa Aal Saud mwaka huu, tayari hivi sasa ni maradufu ya waliokatwa vichwa mwaka jana nchini humo.
-
Hamas yalaani hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Syria
Nov 19, 2022 23:03Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa taarifa akilaani mashambulio ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria.
-
Kashfa ya uchaguzi Bahrain na uungaji mkono wa London kwa utawala wa Al Khalifa
Nov 19, 2022 23:03Watafiti, wanaharakati wapigania mageuzi wa Bahrain na wanaharakati wa jumuiya za kiraia huko London wamefichua kashfa ya uchaguzi wa hivi karibuni huko Bahrain na kutaka kukomeshwa vigezo vya kindumakuwili vya serikali ya Uingereza kuhusu demokrasia na haki za binadamu.
-
Amnesty International yaikosoa Marekani kwa kumpa kinga muuaji Bin Salman
Nov 19, 2022 23:02Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeukosoa utawala wa Rais wa Marekani, Joe Biden, baada ya Ikulu ya White House kutangaza kwamba mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman "ana kinga" inayozuia kushtakiwa katika kesi zinazohusiana na mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi.
-
Zaidi ya watoto wachanga 80 wanafariki kila siku mara baada ya kuzaliwa nchini Yemen
Nov 19, 2022 03:43Afisa wa Wizara ya Afya ya Serikali ya Kitaifa ya Wokovu ya Yemen amesema zaidi ya watoto wachanga 80 hufa kila siku kutokana na ukosefu wa vifaa vya matibabu.
-
Iraq yawatia nguvuni magaidi 15 wa Daesh
Nov 18, 2022 22:59Vikosi vya usalama vya Iraq vimewatia mbaroni magaidi 15 wa kundi la Daesh katika mikoa sita ya nchi hiyo.
-
Yemen yalaani mauaji ya kijana Ali Atef huko Riyadh
Nov 18, 2022 04:04Wizara ya Masuala ya Wageni ya Yemen imelaani mauaji yaliyofanywa na vyombo vya usalama vya Saudia dhidi ya raia wa nchi hiyo"Ali Atef Hazban Al-Ali" mjini Riyadh huku familia yake ikifichua maelezo ya kushtua ya tukio hilo.