-
Nyaraka za UK: Mubarak aliidhinisha mpango wa US na UK wa 'kumdhalilisha' Saddam Kuwait
Aug 03, 2025 02:10Nyaraka za siri za Uingereza zilizowekwa hadharani hivi karibuni zimefichua kwamba rais wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, aliunga mkono mpango wa Marekani na Uingereza wa kumshinda kijeshi na kumdhalilisha Saddam Hussein wakati wa Vita vya Ghuba ya Uajemi, huku akitabiri pia kwamba kushindwa huko kijeshi kungepelekea kuanguka kiongozi huyo wa Iraq.
-
Wapalestina 1373 wauawa shahidi wakisubiri msaada wa chakula Gaza
Aug 02, 2025 23:07Ofisi ya Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa: Tokea tarehe 27 Mei mwaka huu hadi sasa Wapalestina 1373 wameuliwa shahidi katika Ukanda wa Gaza wakati walipokuwa wakisubiri kugawiwa msaada wa chakula. Waliuliwa shahidi kwa kufyatiliwa risasi na wanajeshi wa Kizayuni.
-
Pep Guardiola: Ubinadamu umetoweka mbele ya maafa ya Gaza
Aug 02, 2025 22:56Kocha wa timu ya soka ya Manchester City Pep Guardiola kwa mara nyingine tena amekosoa vikali ukimya wa walimwengu kuhusiana na jinai za utawala wa kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kusema: "Ubinadamu umetoweka."
-
Kuongezeka matukio ya kujiua miongoni mwa askari wa Kizayuni; jeshi la Israel linasambaratika kutokea ndani
Aug 02, 2025 22:55Vitendo vya kujiuawa vitakuwa kuwa tishio na jinamizi kuu miongoni mwa wanajeshi wa Israel baada ya kumalizika vita vya Gaza.
-
UNICEF: Watoto wanafariki Ghaza kwa kasi ambayo 'haijawahi kushuhudiwa'
Aug 02, 2025 09:46Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua za haraka ili kuzuia vifo vingi vya watoto katika Ukanda wa Ghaza, ambako hali inaendelea kuwa mbaya wakati huu wa vita vinavyoendelezwa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya eneo hilo uliloliwekea mzingiro.
-
Waziri wa Syria: Israel inalenga kuigawanya Syria vipande vipande, si kuwatetea Wadruze
Aug 02, 2025 07:46Waziri mmoja wa serikali ya mpito ya Syria amekosoa uingiliaji kijeshi uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika matukio ya eneo la kusini mwa Syria na kusistiza kuwa, lengo hasa la Tel Aviv ni kuigawanya na kuivuruga nchi hiyo na si kutetea jamii za wachache za kikabila au za kidini za watu wa nchi hiyo.
-
The Lancet: Hali ya Gaza ni mbaya zaidi kuliko mauaji ya kimbari ya Rwanda
Aug 02, 2025 05:42Jarida la Lancet, linalojulikana kama moja ya majarida maarufu ya masuala ya matibabu duniani, limetangaza takwimu za kushtua kutoka Gaza, likisema kwamba hali ya eneo hilo ni mbaya zaidi kuliko mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994.
-
Iran yaonya kuhusu ya njama za Israel kuvuruga usalama Asia Magharibi
Aug 02, 2025 00:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa utawala wa Israel unalenga kuvuruga hali ya usalama katika ukanda wa Asia Magharibi (Mashariki ya Kati), na amezitaka nchi zote za eneo kuwa macho na kuchukua tahadhari ili kukabiliana na njama hizo.
-
Watoto 20,000 wa Gaza wanatabika kwa utapiamlo mkali
Aug 01, 2025 23:09Shirika la kimataifa la "Action Against Hunger" limeonya kwamba mzozo wa njaa katika Ukanda wa Gaza umeongezeka kwa kiasi kikubwa, na hilo limekuwa matokeo ya kimajanga kwa watoto na wanawake wa Ukanda huo.
-
Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa la Palestina kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa
Aug 01, 2025 11:33Mkutano wa Kimataifa wa Palestina umeafiki kuchukua hatua za pamoja za kumaliza vita vya Israel dhidi ya watuu wa Gaza, na kuunga mkono kile kilichoitwa kuwa suluhisho la "nchi mbili" na kuanzishwa kwa taifa la Palestina.