-
Marekebisho ya Taylor Greene ya kuacha kuusaidia utawala wa Kizayuni yapingwa katika Kongresi ya Marekani
Jul 20, 2025 00:07Baraza la Wawakilishi la Marekani limepinga marekebisho ya Marjorie Taylor Greene, mbunge katika baraza hilo, kwa ajili ya kupunguza msaada wa kijeshi wa dola milioni 500 kwa Israel.
-
Maandamano dhidi ya Trump yafanyika katika miji zaidi ya 1500 Marekani
Jul 19, 2025 23:04Sheria mpya ya bajeti iliyopitishwa hivi karibuni nchini marekani, inayokandamiza wananchi wa kawaida huku ikiwapa matajiri punguzo la kodi, imeongeza hasira na msongo wa kifedha, ambapo asilimia 70 ya Wamarekani wanahisi msongo mkubwa wa kifedha kuliko wakati wowote ule.
-
Washiriki wa maandamano ya kuunga mkono Palestina wakamatwa Uingereza
Jul 19, 2025 23:03Polisi wa Uingereza wamemkamata zaidi ya watu 50 katikati ya London wakati wa maandamano ya kupinga marufuku ya kundi la Palestine Action linalounga mkono Palestina.
-
Sababu za India kupinga sera za kindumakuwili za EU ni zipi?
Jul 19, 2025 06:08Wizara ya Mambo ya Nje ya India imepinga vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia na kiwanda cha kusafisha mafuta cha India na pia "sera za kindumakuwili" za umoja huo katika uga wa biashara ya nishati.
-
Kremlin: Hatuna habari kuhusu mkutano wa Putin, Trump, Xi
Jul 19, 2025 02:13Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesema hana ufahamu wowote kuhusu taarifa kwamba Rais wa nchi hiyo, Vladimir Putin, mwenzake wa Marekani, Donald Trump na kiongozi wa China Xi Jinping watakutana nchini China karibuni hivi.
-
Serikali ya Trump kuteketeza tani 500 za chakula, dunia ikisakamwa na njaa
Jul 18, 2025 13:40Marekani inajiandaa kuharibu karibu tani 500 za chakula cha msaada wa dharura, ikiwa ni sehemu ya hifadhi kubwa ya tani 60,000 za chakula hicho iliyokwama katika maghala katika sehemu mbalimbali duniani, huku njaa ikiongezeka kote ulimwenguni.
-
Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni
Jul 18, 2025 11:20Nchi zinazounda Kundi la Hague, yaani The Hague Group zimetangaza kuwa zimesitisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Afisa wa zamani wa Pentagon: Huenda US ikaishiwa na makombora
Jul 18, 2025 10:44Mshauri wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon), Douglas Macgregor ameonya kuwa, Marekani inaweza kuishiwa na hifadhi yake ya makombora ndani ya siku nane.
-
Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?
Jul 18, 2025 08:53Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Anthony Blinken, amekosoa mwelekeo wa rais wa nchi hiyo Donald Trump kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran; na licha ya kuibua madai mengine mapya amesema: Iran bado haijaamua kuunda silaha za nyuklia na imetekeleza ahadi zake katika JCPOA.
-
Rais wa Brazil asema, Trump ni rais wa Marekani, si ‘mtawala mkuu’ wa dunia
Jul 18, 2025 03:27Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva amepinga tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump la kuongeza ushuru wa asilimia 50 kwa bidhaa zinazoingizwa Marekani kutokana nchini humo, na kuapa kuwa "atajibu mapigo" dhidi ya hatua hiyo na kutetea maslahi ya watu wake.