-
UNICEF: Mashambulio ya Israel yanaua kila siku watoto 28 Wapalestina Ghaza
Jul 18, 2025 01:36Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Catherine Russell, ameweka hadharani takwimu za kutisha kuhusu athari za mashambulizi ya kinyama yanayoendelea kufanywa na utawala wa kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
-
Italia yaijia juu Israel kwa kushambulia kwa mabomu kanisa Gaza
Jul 17, 2025 11:43Waziri Mkuu wa Italia, Giorga Meloni jana Alkhamisi alikosoa vikali shambulio baya la Israel dhidi ya Kanisa la Kikatoliki katika Ukanda wa Gaza.
-
Rais Gustavo Petro: Colombia lazima ivunje uhusiano wake na NATO
Jul 17, 2025 10:32Rais Gustavo Petro wa Colombia amesema nchi yake inapaswa kukata uhusiano wake na NATO kwa kuwa viongozi wa shirika hilo la kijeshi la Magharibi wanaunga mkono "mauaji ya halaiki" ya Wapalestina.
-
Russia: Mashambulio ya karibuni ya Israel dhidi ya Syria yanastahili kulaaniwa 'vikali'
Jul 17, 2025 09:57Russia imesema, mashambulio ya karibuni yaliyofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Syria yanastahili kulaaniwa "vikali".
-
Mataifa yaliyokutana Bogota, yatangaza hatua 6 ‘madhubuti’ yatazochukua dhidi ya Israel
Jul 17, 2025 07:50Muungano wa mataifa mbalimbali duniani yaliyokutana Bogota, mji mkuu wa Colombia umekubaliana kutekeleza hatua sita za kukomesha mashambulizi ya utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza na kuzuia ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na utawala huo haramu.
-
ICC yapuuza mashinikizo ya US, Israel; haitatengua waranti dhidi ya Netanyahu
Jul 17, 2025 00:51Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wameamua kwamba hati zilizotolewa na korti hiyo ya mjini The Hague za kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Israel na waziri wake wa zamani wa vita zingalipo, huku wakikaidi mashinikizo makubwa ya Israel na Marekani ya kufutulia mbali waranti hizo.
-
Novak: Ushirikiano wa Russia, Nigeria ni muhimu kwa uthabiti wa soko la mafuta
Jul 16, 2025 10:03Naibu Waziri Mkuu wa Russia, Alexander Novak amesema ushirikiano wa nchi hiyo na Nigeria katika fremu ya OPEC+ una nafasi muhimu katika kudumisha uthabiti wa soko la mafuta duniani.
-
Ripoti: Italia haitanunua silaha za Marekani kwa ajili ya Ukraine
Jul 16, 2025 09:30Bajeti ya Italia hairuhusu kushiriki katika mpango wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kusambaza silaha za Marekani kwa Ukraine, gazeti la Italia La Stampa limeripoti, likinukuu vyanzo vya habari ambavyo havikutajwa majina.
-
Amnesty: EU kutositisha ushirikiano na Israel ni usaliti kwa taifa la Palestina
Jul 16, 2025 06:10Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kushindwa kwa Umoja wa Ulaya kusimamisha makubaliano yake ya ushirikiano na utawala wa Israel ni usaliti wa kikatili kwa taifa la Palestina.
-
Ripota Maalumu wa UN aihimiza EU isimamishe ushirika wake na Israel
Jul 16, 2025 04:23Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, Francesca Albanese, ameuhimiza Umoja wa Ulaya usitishe makubaliano ya ushirikiano na utawala wa kizayuni wa Israel, akisema EU ina wajibu wa kisheria wa kutekeleza sheria za kimataifa.