-
Meli iliyotekwa kiharamia na Marekani Venezuela ni ya China
Dec 22, 2025 02:51Duru moja ya habari nchini Marekani imefichua kuwa, meli ya mafuta iliyotekwa kiharamia na Marekani nje ya pwani ya Venezuela ni mali ya China si ya Venezuela.
-
Nyaraka za mahakama: Epstein alimuarifisha Trump kwa msichana wa miaka 14
Dec 22, 2025 02:50Uwasilishaji faili jipya la mahakama katika kesi ya Jeffrey Epstein unaonyesha kwamba, mfanyabiashara haramu huyo wa ngono alimtambulisha binti wa miaka 14 kwa Rais wa Marekani Donald Trump katika makazi yake ya Mar-a-Lago.
-
Venezuela imewezaje kuwa kinara wa ukuaji wa uchumi katika Amerika ya Latini?
Dec 22, 2025 02:48Venezuela, baada ya kuvuka kikwazo cha vikwazo vya kiuchumi, imejinyakulia kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa uchumi katika Amerika ya Kusini mwaka 2025.
-
BBC yafichua kashfa ya Mzayuni aliyelaghai kwa jina la saratani Canada
Dec 21, 2025 11:10Uchunguzi wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC umefichua kashfa ya utapeli, ambapo Muisraeli amekuwa akipokea misaada eti kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa saratani nchini Canada.
-
Marekani yazuia meli nyingine ya mafuta kutoka Venezuela huku ikizidisha mashinikizo dhidi ya Caracas
Dec 21, 2025 07:52Wanajeshi wa Marekani wameisimamisha meli nyingine ya mafuta ya Venezuela katika pwani ya nchi hiyo ikiwa ni operesheni ya pili ya aina hiyo ndani ya wiki mbili, huku Rais Donald Trump wa Marekani akiendelea na kampeni kali inayolenga kuzidisha mashinikizo kwa serikali ya Rais Nicolas Maduro.
-
Kikao cha Brussels na kurudi nyuma Ulaya inayosokotwa na tofauti za ndani, katika mpango wake wa unyang'anyi wa mali za Russia
Dec 21, 2025 02:39Licha ya viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuandamwa na mashinikizo ya kisiasa ya Marekani ya kuwataka watoe msukumo wa kuvipatia suluhisho la haraka vita vya Ukraine, viongozi hao waliokutana kwenye makao makuu ya umoja huo mjini Brussels, wameamua kurudi nyuma na kulegeza msimamo katika uchukuaji uamuzi wenye gharama kubwa na hasi wa kunyakua mali za Russia,
-
Mahakama Kuu ya UN kusikiliza kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar, mwezi Januari
Dec 21, 2025 02:37Mahakama Kuu ya Umoja wa Mataifa mwezi Januari mwakani itafanya vikao vya hadhara kuhusu mauaji ya kimbari ya Waislamu nchini Myanmar ya mwaka 2017.
-
Mahakama ya Pakistan yamhukumu Imran Khan na mkewe kifungo cha miaka 17 jela
Dec 20, 2025 12:40Mahakama Maalumu ya Pakistan mapema leo Jumamosi imemhukumu Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Imran Khan, na mkewe Bushra Bibi kifungo cha miaka 17 jela, kila mmoja wao, katika kesi ya ufisadi inayohusiana na ununuzi wa vito vya thamani kwa bei ndogo.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya ICC; hujuma ya dhahir shahir inayolenga sheria na taasisi za kimataifa
Dec 20, 2025 10:10Katika hatua ya kiupendeleo ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani imewawekea vikwazo majaji wawili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC.
-
Iran yakemea vikwazo vya Marekani dhidi ya majaji wa ICC
Dec 20, 2025 07:18Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeilaani vikali Marekani kwa kuwawekea vikwazo majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ikisema Washington inalinda waliotenda makosa makubwa ya jinai.