-
Vita dhidi ya Iran na Mgogoro katika Akiba ya Kimkakati ya Mafuta ya Marekani
Aug 20, 2026 06:22Vita dhidi ya Iran vimesababisha akiba ya kimkakati ya mafuta ya Marekani kushuka hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miongo mine iliyopita.
-
Mearsheimer: Marekani haina budi isipokuwa kukubali matakwa ya Iran
Aug 20, 2026 03:28Msomi na mtaalamu mashuhuri wa masuala ya siasa za kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amesema kuwa Marekani haina chaguo jingine bali kukubali matakwa ya Iran.
-
Gaza na Sudan zaongoza katika orodha ya maeneo hatari zaidi kwa watoa misaada ya kibinadamu
Aug 19, 2026 10:52Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba mwaka 2025 ulishuhudia viwango vya juu vya ukatili dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, ambapo wafanyakazi 907 wa sekta hiyo wameuawa, kujeruhiwa au kutekwa nyara.
-
Namna Dunia Inavyorejea katika Enzi za Ukatili na Ufedhuli?
Aug 18, 2026 11:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alisema karibuni hivi kwamba "matumizi ya nguvu za wazi na madai ya kumiliki rasilimali za mataifa mengine ni ishara zinazoonyesha kuwa tunarejea kwenye zama za kale za matumizi ya nguvu, ambalo lilikuwa jambo la kawaida na lisilodhibitiwa."
-
Hali mbaya ya afya ya akili ya askari wa Marekani ndani ya meli ya kivita ya USS Abraham Lincoln
Aug 18, 2026 03:19Wasiwasi umeongezeka kuhusu kuzorota afya ya kiakili ya wanajeshi waliopo ndani ya meli kubwa ya kivita ya Marekani, USS Abraham Lincoln, huku meli hiyo ikikaribia kumaliza muda wake mrefu zaidi baharinim hali inayopelekea maafisa wa Marekani kukabiliwa na ukosoaji mkali kuhusu mazingira mabovu ndani ya meli hiyo.
-
Maandamano Ujerumani na Korea Kusini kupinga utawala wa Kizayuni na kuunga mkono wananchi wa Palestina
Aug 17, 2026 06:02Maandamano makubwa yamefanyika nchini Ujerumani na Korea Kusini kupinga sera na vitendo vya kikatili vya utawala wa Kizayuni na kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina.
-
ILO: Mafunzo ya ufundi yatumike kukabiliana na ongezeko la ukosefu wa ajira kwa vijana
Aug 13, 2026 10:34Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana duniani umeongezeka, huku ukuaji dhaifu wa uchumi na upungufu wa nafasi mpya za kazi ukiwaweka vijana katika mazingira magumu ya kuingia katika soko la ajira.
-
Ripoti: Maafisa wa Uturuki waamini Israel ilitunga ‘njama ya Iran’ ya kumuua Trump
Aug 13, 2026 10:33Ripoti mpya inaonyesha kwamba madai ya njama ya Iran ya kumuua Rais wa Marekani Donald Trump wakati wa mkutano wa hivi karibuni wa NATO nchini Uturuki yalikuwa ni upotoshaji uliopikwa na shirika la kijasusi la Israel, Mossad, kwa lengo la kuvuruga mazungumzo ya Iran na Marekani yaliyolenga kumaliza kabisa uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran.
-
Muislamu aliyeshinda kuwania Useneta Michigan atumiwa jumbe za chuki 3,000 kwa siku
Aug 12, 2026 11:42Uchunguzi mpya uliofanywa na Kituo cha Utafiti wa Chuki Zilizoratibiwa (CSOH) cha nchini Marekani unaonyesha kuwa jumbe za maandishi zilizomlenga Abdulraham El-Sayed, za hisia za chuki dhidi yake kwa sababu ya Uislamu wake zilifikia wastani wa 3,099 kwa siku katika muda wa wiki moja baada ya ushindi wake, ikilinganishwa na wastani wa watu 155 kila siku katika miezi miwili kabla yake; hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 1,895.
-
Wanajeshi wa Marekani wauana ndani ya manuari ya kivita ya USS Abraham Lincoln
Aug 12, 2026 03:38Wanajeshi saba wa Jeshi la Wanamaji la Marekani wameripotiwa kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano makali ndani ya meli ya USS Abraham Lincoln, huku machafuko yanayoongezeka miongoni mwa wafanyakazi wa meli hiyo yakiweka wazi mashinikizo makubwa ndani ya jeshi la Marekani kutokana na majukumu ya muda mrefu ya kivita.