-
Maelfu waandamana London kupinga ziara ya Trump nchini Uingereza
Sep 18, 2025 07:22Maelfu ya wakazi wa jiji la London wameandamana kupinga ziara ya kiserikali ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Uingereza na kumtaja kama kiongozi mbaguzi na mpenda mabavu. Wafanya maandamano wamelaani pia sera za nje za Marekani kuhusu Iran na Gaza.
-
Katibu Mkuu wa UN: Ulimwengu umegawanyika kimataifa wakati huu wa kufanyika UNGA80
Sep 18, 2025 03:45Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito kwa viongozi wa dunia “kuwa makini na kutekeleza ahadi” wanapowasili jijini New York kwa ajili ya wiki ya ngazi ya juu ya Mkutano wa Baraza Kuu wa 80 wa Umoja wa Mataifa UNGA80.
-
Ireland yataka Israel na wafadhili wake watimuliwe Umoja wa Mataifa
Sep 17, 2025 06:46Rais wa Ireland ametoa mwito wa kufukuzwa na kutimuliwa kwenye Umoja wa Mataifa, utawala wa Kizayuni na wafadhili wake wanaoisheheneza silaha Israel.
-
Ubelgiji: Tunaunga mkono vikwazo vyovyote vinavyopendekezwa vya EU dhidi ya Israel
Sep 17, 2025 06:46Waziri Mkuu wa Ubelgiji ametangaza kuwa, nchi yake inaunga mkono vikwazo vyovyote vitakavyopendekezwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya Israel.
-
Luxembourg kuitambua Palestina katika Mkutano Mkuu wa UN
Sep 16, 2025 12:07Serikali ya Luxembourg imetangaza mpango wake wa kulitambua taifa la Palestina, na hivyo kuungana na mataifa mbalimbali ya Ulaya ambayo yanatarajiwa kutoa tamko sawa na hili katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa baadaye mwezi huu.
-
Uhispania imefuta makubaliano ya silaha ya Euro milioni 700 na Israel kutokana na mauaji ya kimbari
Sep 16, 2025 12:04Uhispania imefuta mkataba wa silaha zenye thamani ya mamilioni ya yuro na Israel kutokana na vita na mauaj ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala huo dhidi ya Gaza.
-
'Uhuru wa kujieleza'; Pentagon yawaadhibu askari wa US kwa 'kutoa maoni'
Sep 16, 2025 11:35Wizara ya Vita ya Marekani (Pentagon) imetangaza kuwachukulia hatua za kinidhamu wanajeshi wa nchi hiyo wanaodaiwa kukejeli na kufanyia istihzai mauaji ya mfuasi sugu wa Rais Donald Trump.
-
'Komesheni Mauaji ya Kimbari', 'Simamisheni Vita Ghaza', kauli mbiu zilizotawala Tuzo ya Filamu ya Emmy
Sep 16, 2025 06:47Nyota kadhaa wasanii wa tasnia ya filamu ya Hollywood wamelitumia jukwaa la tamasha mashuhuri la filamu la Tuzo ya Emmy 2025 kupaza sauti zao juu ya hali mbaya na maafa makubwa yanayoshuhudiwa katika eneo la Ghaza, kwa kupinga vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya eneo hilo na kuunga mkono wito wa kuususia kisiasa na kiutamaduni utawala huo pamoja na kuuwekea vikwazo vya kibiashara.
-
Asasi za kiraia zatoa wito kwa makampuni ya Ulaya kuacha kufanya biashara na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Sep 16, 2025 03:08Zaidi ya mashirika 80 yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamezitaka nchi na makampuni ya Ulaya kuacha kufanya biashara na vitongoji haramu vinavyojengwa na utawala ghasibu wa Israel katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Waziri Mkuu wa Uhispania atoa wito wa Israel kufukuzwa katika michezo ya kimataifa
Sep 16, 2025 03:06Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sánchez ametoa wito wa utawala wa kizayuni wa Israel kutojumuishwa katika mashindano ya kimataifa ya michezo kutokana na vita na jinai zake huko Gaza.