-
Jezi za Kombe la Dunia zilizopewa jina la mtoto wa Kipalestina aliyeuawa na Isral zazinduliwa
Jun 15, 2026 04:27Fulana za michezo zenye jina la "Jezi ya Kombe la Dunia ya Hind Rajab" zimezinduliwa rasmi sambamba na mashindano ya kombe hilo yanayoendelea katika nchi za Marekani, Canada na Mexico; jezi ambazo zimebuniwa na kutengenezwa kwa idhini ya mama wa "Hind Rajab", mtoto wa Kipalestina aliyeuawa shahidi na askari wa Israel.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan: Makubaliano kati ya Iran na Marekani 'yanatarajiwa ndani ya saa 24'
Jun 14, 2026 03:14Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amesema kuwa makubaliano kati ya Iran na Marekani kwa lengo la kukumaliza vita yapo "karibu zaidi kuliko wakati mwingine wowote," huku yakitarajiwa kukamilika ndani ya saa 24 zijazo.
-
Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani
Jun 13, 2026 11:14Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani
-
Tucker Carlson: Marekani imeshindwa kufungua Lango-Bahari la Hormuz
Jun 13, 2026 07:57Tucker Carlson, mwanahabari maarufu wa kihafidhina wa Marekani, amesema kwamba matukio ya sasa katika mzozo wa Asia Magharibi yanaonyesha mapungufu ya nguvu ya kijeshi ya Marekani, akisisitiza kwamba Washington imeshindwa kufungua tena Lango-Bahari la Hormuz licha ya kutumia gharama kubwa.
-
'Nchi inayoshiriki mauaji ya kimbari Gaza inataka kusafisha sura yake chafu kwa kuandaa Kombe la Dunia 2026'
Jun 12, 2026 13:52Nyota wa zamani wa soka wa Misri na mchambuzi wa masuala ya michezo, Mohamed Aboutrika, ameibua wimbi kubwa la majibizano na mijadala kwenye mitandao ya kijamii, baada ya kukosoa sera za undumakuwili katika kuandaa mashindano makubwa ya michezo, na jitihada za baadhi ya nchi za kutumia michezo kama wenzo wa kutakasa na kusafisha sura zao chafu za kisiasa.
-
Rais wa Colombia aishambulia Israel katika Baraza la Usalama la UN, asema ni utawala wa kinazi
Jun 12, 2026 04:44Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ameifananisha Israel na "utawala wa Nazi" katika maoni yake kuhusu vita vya kuangamiza vya Tel Aviv katika Ukanda wa Gaza.
-
Kwa mara ya kwanza katika muongo mmoja, idadi ya wakimbizi duniani ilipungua mwaka 2025
Jun 12, 2026 04:41Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imetangaza kwamba idadi ya watu waliolazimika kuhama makwao duniani kote ilipungua mwaka wa 2025, ikiwa ni mara ya kwanza kurekodiwa punguo kama hilo katika muongo mmoja, licha ya viwango vya juu vya wakimbizi wa muda mrefu.
-
Ni kosa kubwa... Blatter amkosoa Infantino na Marekani kuhusu mwamuzi wa Somalia FIFA 2026
Jun 12, 2026 04:32Wakati ambapo macho yote yameelekezwa kwenye viwanja vya mashindano ya Kombe la Dunia huko Marekani, Mexico na Canada, Mswizi Joseph Blatter, rais wa zamani wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), ameelekeza mishale ya hasira yake kwa mrithi wake Gianni Infantino na nchi mwenyeji mwenza Marekani, akiimbusha dunia kuwa "shujaa wa FIFA" anafuatilia mashindano hayo kwa uchungu.
-
Bei za mafuta zapanda duniani kutokana na ukiukaji wa usitishaji vita wa Marekani dhidi ya Iran
Jun 11, 2026 11:38Bei za mafuta ghafi ya petroli zilipanda Alhamisi duniani kufuatia kurejea kwa mashambulizi ya kijeshi baada ya uchokozi wa Marekani na ukiukaji wake wa makubaliano ya kusitisha mapigano na Iran. Mvutano huo umeongeza wasiwasi kuhusu usambazaji wa nishati duniani pamoja na kuendelea kwa usumbufu wa usafirishaji kupitia Mlango wa Hormuz.
-
Gazeti la NYT: Shambulio la Marekani dhidi ya miundombinu ya maji nchini Iran ni uhalifu wa kivita
Jun 11, 2026 11:09Gazeti mashuhuri la The New York Times limesema kuwa mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani dhidi ya miundombinu ya maji kusini mwa Iran yanaweza kuhesabika kama uhalifu wa kivita, kwani kulenga miundombinu ya kiraia ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa.