-
Kwa mnasaba wa Siku ya Mshikamano, Guterres aihimiza dunia izidi kuwaunga mkono Wapalestina
Nov 21, 2025 23:24Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito wa kuwepo uungaji mkono mpya kimataifa kwa watu wa Palestina na haki yao ya kujitawala, akisema, mateso ya Palestina yamefikia "viwango ambavyo havijawahi kushuhudiwa" katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
-
Cristiano Ronaldo akosolewa vikali kwa kukutana na Trump White House katika dhifa ya chakula
Nov 21, 2025 23:12Nyota wa soka wa Ureno Cristiano Ronaldo anaandamwa na wimbi la ukosoaji mkali baada ya kushiriki kwenye dhifa ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa ajili ya ujumbe wa Saudi Arabia.
-
Sababu za Ripota wa UN za kuonya kuhusu kuendelea Ulaya kuipa silaha Israel
Nov 21, 2025 22:54Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu kuendelea nchi za Ulaya kuisheheneza silaha Israel licha ya kwamba kuna ushahidi wa kutosha na usiopingika wa jinsi utawala wa Kizayuni unavyotumia silaha hizo kufanya jinai na mauaji ya umati dhidi ya watu wasio na hatia.
-
Kupinga Uturuki ombi la Marekani la kuacha kununua gesi ya Russia
Nov 21, 2025 05:30Uturuki imekataa ombi la Marekani la kuitaka Ankara isinunue gesi kutoka Russia na kusema kuwa, haiwezi kuacha kununua gesi ya Russia kwa sababu imesaini makubaliano ya gesi na nchi hiyo na itaendelea kuheshimu makubaliano hayo.
-
Iran yalaani azimio la IAEA kuhusu mpango wake wa nyuklia
Nov 21, 2025 04:30Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali azimio lililopitishwa na Bodi ya Magavana wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), ikilitaja kuwa “batili na lisilo na msingi.”
-
Ubepari wa Magharibi na Kuporomoka kwa Maadili
Nov 20, 2025 23:34Ubepari katika jamii za Magharibi, na msisitizo wake juu ya faida ya mtu binafsi na kutenganisha maadili na uchumi, umesababisha madhara makubwa na matokeo mabaya sana kwa maadili ya binadamu.
-
Marekani kuiuzia Saudia ndege za kivita za F-35 zilizopunguzwa uwezo ili kuilinda Israel
Nov 20, 2025 23:28Maafisa wa Marekani na wataalamu wa ulinzi wanasema ndege za kivita aina ya F-35 ambazo Marekani inapanga kuuzia Saudi Arabia zitapungzwa uwezo kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na ndege kama hizo ambazo ziliuziwa utawala wa Israel, lengo likiwa ni kuhakikisha Israel inasalia kuwa yenye silaha bora za Kimarekani katika eneo la Asia ya Magharibi.
-
WHO: Ukatili dhidi ya wanawake ungali ni janga kubwa la haki za binadamu
Nov 20, 2025 02:38Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) pamoja na wadau wa Umoja wa Mataifa wametoa ripoti muhimu inayoonyesha kuwa ukatili dhidi ya wanawake ungali ni janga kubwa la haki za binadamu, kwa sababu takwimu za zaidi ya miaka 20 zinaonesha kutokuwepo kwa hatua kubwa zilizopigwa katika kupunguza ukatili huo.
-
Trump na Meya mteule wa New York, Mamdani kukutana White House Ijumaa
Nov 20, 2025 02:38Rais wa Marekani Donald Trump amesema, atakutana na Meya mteule wa Jiji la New York Zohran Mamdani katika Ikulu ya White House siku ya Ijumaa.
-
Waislamu wahanga wa siasa za chuki katika nchi za Magharibi; uhuru na usawa ni kaulimbiu tu
Nov 19, 2025 09:20Chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza imezidi kuwa mbaya zaidi, huku Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza ikionya kuhusu matokeo ya kuendeleza hali hii.