-
WFP yatahadharisha kuhusu ongezeko la njaa duniani
Nov 19, 2025 03:27Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeeleza kuwa kupunguzwa kwa misaada ya nchi wafadhili kutazidisha mgogoro wa njaa unaozidi kuongezeka kote ulimwenguni, na kuonya kwamba zaidi ya watu milioni 300 watakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka ujao.
-
Trump asema huenda akaishambulia kijeshi Mexico
Nov 18, 2025 22:53Rais wa Marekani Donald Trump ametaja uwezekano wa kuanzisha mashambulizi ya kijeshi nchini Mexico kwa madai ya eti kukabiliana na magenge ya dawa za kulevya.
-
Chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza: Mgogoro wa kimuundo unaoendelea kwa miaka kumi
Nov 18, 2025 07:53Katika kumbukumbu ya siku ya kuchapishwa ripoti ya "Mazingira ya Chuki", Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kiislamu ya Uingereza (IHRC) imetangaza kuwa chuki dhidi ya Uislamu nchini humo haijapungua, bali pia imefikia hatua ya kutia wasiwasi zaidi katika mfumo wa kimuundo na kitaasisi; mwelekeo ambao una matokeo mabaya sana ya kijamii na kisiasa.
-
Naibu Katibu Mkuu wa UN: Njaa na migogoro ni tishio kwa usalama wa kimataifa
Nov 18, 2025 04:22Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohammed, ameonya tena kwamba uhusiano unaozidisha hali mbaya baina ya njaa na migogoro ni "tishio la kimkakati kwa usalama wa kimataifa.
-
Chuo Kikuu cha Harvard: Gen Z wa Marekani wanaifadhilisha Hamas kuliko Israel
Nov 18, 2025 04:19Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa asilimia 60 ya Kizazi kipya, Gen-Z nchini Marekani wanapendelea Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina "Hamas" kuliko utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita vya Gaza.
-
Muungano wa Oxford: Israel ni tishio kubwa zaidi kwa amani Asia Magharibi
Nov 18, 2025 02:50Muungano wa Oxford umeutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni tishio kubwa kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi.
-
Baraza la Usalama la UN laidhinisha mpango wa Marekani kuhusu Gaza, Hamas yapinga azimio la UNSC
Nov 18, 2025 02:06Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio lililoandaliwa na Marekani la kuanzisha Kikosi cha Kimataifa cha Kurejesha Utulivu (ISF) katika Ukanda wa Gaza.
-
Russia: Hatutaki vita wala mzozo wa kijeshi na NATO
Nov 17, 2025 22:52Msemaji wa serikali ya Russia amepinga taarifa za kuchochea vita zinazoenezwa katika nchi za Ulaya na kwa mara nyingine amesisitiza kwamba Moscow inachukua hatua zinazohitajika kulinda usalama wake lakini haitaki vita wala mzozo wa kijeshi na NATO.
-
Kushadidi ushindani wa silaha za nyuklia kati ya Marekani na Russia na mustakbali wa mkataba wa New START
Nov 17, 2025 22:51Mvutano wa nyuklia kati ya Russia na Marekani umeongezeka kadiri muda wa mkataba wa nyuklia wa New START unavyokaribia kumalizika, na hivyo kuuweka mkataba huo katika mustakbali usiojulikana.
-
Mamdani: Ikiwa Netanyahu atakuja New York katika mkutano ujao wa UNGA nitaamuru akamatwe
Nov 17, 2025 07:19Meya Mteule wa jiji la New York Zohran Kwame Mamdani ameambia televisheni ya ABC News kwamba atatoa hati ya kukamatwa waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu endapo ataingia ndani ya ardhi ya Marekani mwaka ujao kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.