-
Jarida la Wall Street: Makampuni ya Marekani yalipata mabilioni ya dola kutokana na vita dhidi ya Gaza
Nov 14, 2025 23:03Jarida la Wall Street limefichua kwamba vita vya miaka miwili vya Ukanda wa Gaza havikuwa tu janga kubwa la binadamu, bali pia muamala mkubwa wa biashara kwa makampuni ya Marekani yaliyopata mabilioni ya dola kutokana na mauzo ya silaha kwa Israel, kwa msaada mpana wa kisiasa na kiuchumi kutoka Washington.
-
Jarida la Wall Street: Makampuni ya Marekani yalipata mabilioni ya dola kutokana na vita dhidi ya Gaza
Nov 14, 2025 06:18Jarida la Wall Street limefichua kwamba vita vya miaka miwili vya Ukanda wa Gaza havikuwa tu janga kubwa la binadamu, bali pia muamala mkubwa wa biashara kwa makampuni ya Marekani yaliyopata mabilioni ya dola kutokana na mauzo ya silaha kwa Israel, kwa msaada mpana wa kisiasa na kiuchumi kutoka Washington.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani: EU siyo inayoainisha sheria za kimataifa
Nov 14, 2025 04:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio amesema, nchi yake haitakubali mahubiri yanayotolewa na Umoja wa Ulaya EU kuhusu jinsi inavyoendesha shughuli zake za usalama wa taifa na akapuuza ukosoaji wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo kwa mashambulizi ya kijeshi yanayofanywa na Marekani kuzilenga boti zinazopita eneo la Carribean.
-
Russia: Tumejiweka tayari kikamilifu kukabiliana na vitisho vya kijeshi vya Magharibi
Nov 13, 2025 23:03Msemaji wa Ikulu ya Kremlin, Dmitry Peskov amesema, Moscow ina uelewa kamili kwamba nchi za Magharibi zinajizatiti upya kijeshi kwa makabiliano zinayoweza kuanzisha dhidi Russia, na kwamba Moscow nayo imeshajiweka tayari kikamilifu kwa sinario kama hiyo.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hatari ya njaa katika nchi 16
Nov 13, 2025 22:55Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) zimeonya kuhusu mgogoro mkubwa wa ukosefu wa usalama wa chakula unaozidi kuwa mbaya katika nchi 16, na kuweka hatarini maisha ya mamilioni ya watu, hasa katika maeneo yenye migogoro na majanga ya hali ya hewa.
-
Muungaji mkono Palestina aapishwa kuwa Rais mpya wa Ireland
Nov 13, 2025 03:46Bi. Catherine Connolly, mgombea wa mrengo wa kushoto katika uchaguzi wa urais nchini Ireland ambaye anajulikana kwa misimamo yake ya kuunga mkono Palestina, ameapishwa kuwa rais mpya wa Ireland baada ya kuibuka mshindi katika uchaguzi wa mwezi uliopita.
-
Araqchi na Lavrov wafanya mashauriano ya simu kuhusu Gaza
Nov 12, 2025 23:09Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kubadilishana mawazo kuhusiana na masuala mbalimbali yakiwemo ya uhusiano wa pande mbili.
-
UNICEF: Watu wanane kati ya kumi nchini Afghanistan wanakunywa maji machafu
Nov 12, 2025 23:07Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limetangaza kuwa, zaidi ya nusu ya vyanzo vya maji vya Afghanistan vimekauka.
-
Kujiunga Wazungu na harakati ya kuisusia Israel; mabadiliko ya kweli au mashinikizo ya umma?
Nov 12, 2025 23:05Harakati ya kususia bidhaa za Israeli (BDS) inazidi kupata nguvu kote duniani, tena kwa kasi kubwa, na watu binafsi na taasisi mbalimbali kote ulimwenguni zinajiunga nayo kwa lengo la kuongeza mashinikizo kwa Israel. Katika uamuzi muhimu zaidi wa hivi karibuni, ni nchi ya Ulaya ya Uholanzi kutangaza kwamba inaandaa sheria ya kupiga marufuku kuingiza nchini humo bidhaa zinazozalishwa katika vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni huko Palestina.
-
FAO na WFP zatoa indhari: Baa la njaa linazidi kuongezeka katika sehemu 16 duniani
Nov 12, 2025 09:33Ripoti mpya ya pamoja ya Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) la na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) iliyotolewa leo Jumatano zimetahadharisha kuwa, hali ya ukosefu wa usalama wa chakula inazidi kuwa mbaya katika maeneo 16 yenye janga la njaa duniani, huku mamilioni ya watu wakiwa katika hatari ya kupatwa na janga hilo katika kipindi cha kati ya Novemba 2025 na Mei 2026.