-
Trump anamtishia Rais wa Colombia, Petro ajibu mapigo: Soma kwa makini kuhusu nchi yetu
Oct 20, 2025 03:08Rais wa Marekani, Donald Trump amemshutumu Rais wa Colombia Gustavo Petro kwa kuhusika katika kuongezeka biashara ya dawa za kulevya, na kutishia kuingilia moja kwa moja Marekani nchini Colombia.
-
Newsom akosoa vikali maonyesho ya kijeshi ya Trump, asema: Kiburi kimefadhilishwa kuliko uwajibikaji
Oct 19, 2025 23:10Gavana wa chama cha Democratic huko California amekosoa maonyesho ya kijeshi ya Trump ambayo yalisababisha kufungwa barabara kuu, akiyataja kuwa ni ishara ya Rais kutanguliza mbele "kiburi kuliko uwajibikaji."
-
Maaandamano dhidi ya Trump nchini Marekani yanafanyika kwa malengo gani
Oct 19, 2025 23:07Mamilioni ya Wamarekani waliingia mitaani katika maandamano ya nchi nzima wakiimba "No Kings" kupinga muhula wa pili wa rais Donald Trump na kile wanachokiita "mienendo yake ya kimabavu."
-
Deni la umma lailemea serikali ya Marekani, wachumi washikwa na wasiwasi
Oct 19, 2025 23:05Deni la umma la Marekani limefikia kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo, ambapo sasa deni hilo linatajwa kufika trilioni 37.9.
-
Trump abadilisha msimamo wa kutuma makombora ya Tomahawk kwenda Ukraine
Oct 19, 2025 04:39Rais Donald Trump wa Marekani amebadilisha ghafla msimamo wake wa kutuma makombora ya cruise ya Tomahawk kwenda Ukraine.
-
China, Iran na Russia zathibitisha; Muda wa Azimio Nambari 2231 umemalizika
Oct 19, 2025 03:09Iran, China na Russia zimemwandikia barua ya pamoja Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, kuthibitisha kumalizika muda wa Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) kuhusu mpango wa amani wa nishati ya nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mshindi wa Tuzo ya Nobel ampongeza Netanyahu kwa vita dhidi ya Gaza
Oct 19, 2025 03:02María Corina Machado, kiongozi wa upinzani wa Venezuela na Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel ametoa shukrani zake za dhati kwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kwa maamuzi yake 'magumu' wakati wa vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza.
-
Katibu Mkuu wa UN: Umoja wa Mataifa uko hatarini 'kufilisika' ikiwa nchi wanachama hazitalipa michango yao
Oct 18, 2025 23:11Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuwa umoja huo ulioanzishwa miaka 80 iliyopita unaweza kufilisika ikiwa nchi wanachama hazitolipa michango yao kwa ukamilifu.
-
NAM yaonya kuhusu chokochoko za Washington; Je, Marekani iko mbioni kushambulia Venezuela?
Oct 18, 2025 23:10Wakati ripoti zikionyesha kuwa Pentagon inatayarisha machaguo ya kijeshi dhidi ya Venezuela, Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), ambayo inaundwa na zaidi ya nchi 120, imeonya kwamba shambulio lolote dhidi ya nchi hiyo ya Amerika Kusini litakuwa ukiukaji wa wazi wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
-
Ripoti: Ufaransa inakiuka pakubwa haki za watoto wahamiaji
Oct 18, 2025 09:26Shirika moja la Umoja wa Mataifa limesema Ufaransa "imekiuka pakubwa na kwa utaratibu" haki za watoto wahamiaji, na kuwaacha wengi wao wakinyimwa huduma za afya na kukosa makazi.