-
Kwa nini Wamarekani wengi wanapinga hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran?
Dec 07, 2025 23:01Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa idadi kubwa ya raia wa Marekani wanapinga mashambulizi ya kijeshi yaliyofanywa na serikali ya Rais Donald Trump dhidi ya Iran.
-
Kuvunjwa kwa Baraza la NATO–Russia: Je, kutashuhudiwa vita kati ya Russia na nchi za Magharibi?
Dec 07, 2025 08:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland ametangaza kuwa Baraza la NATO na Russia limevunjwa rasmi huku kukiwa na wasiwasi wa kuibuka mivutano ya kijeshi kati ya pande hizo mbili.
-
Mjumbe wa Marekani akiri: Washington ilijaribu na kushindwa mara mbili kuipindua serikali ya Iran
Dec 07, 2025 07:30Tom Barrack Mjumbe Maalumu wa Marekani nchini Syria amesema kuwa Washington ilijaribu mara mbili kupindua serikali ya Iran lakini iliambulia patupu.
-
Utafiti: Vita vya Gaza sababu kuu ya kusilimu Waingereza
Dec 07, 2025 03:20Utafiti mpya nchini Uingereza unaonyesha kuwa, vita na migogoro ya kimataifa hususan vita vya hivi karibuni vya Gaza vimekuwa na mchango mkubwa katika kuongeza mwelekeo wa raia wa Uingereza kusilimu na kuikumbatia dini ya Kiislamu.
-
Je, ziara ya Putin nchini India inamaanisha kwamba New Delhi imepuuza vitisho vya Trump?
Dec 06, 2025 22:54Rais Vladimir Putin wa Russia amefanya ziara nchini India kwa lengo la kuimarisha uhusiano kati ya nchi mbili.
-
Mwendesha Mashtaka wa ICC aikosoa Marekani kwa kuwafananisha majaji wa mahakama hiyo na magaidi, walanguzi wa dawa za kulevya
Dec 06, 2025 10:27Naibu mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ameikosoa vikali serikali ya Marekani kwa kuwawekea vikwazo majaji wa mahakama hiyo ya kimataifa, hatua ambayo amesema inaakisi jinsi Washington inavyowalenga magaidi na wafanyabiashara wa dawa za kulevya.
-
Tuzo ya Amani ya FIFA kwa Trump yaitwa 'Joki ya Karne'
Dec 06, 2025 09:36Watumiaji wa mitandao ya kijamii wanasema kwamba hatua ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ya kumpa Tuzo ya Amani Rais Donald Trump wa Marekani ndio habari ya kipuuzi zaidi ambayo wamewahi kusikia maishani mwao.
-
Kumpa Trump Tuzo ya Amani ya FIFA: Ni Ubunifu au Mchezo wa Siasa?
Dec 06, 2025 07:26Jana Desemba 5, 2025, Kituo cha Sanaa za Maonyesho cha John F. Kennedy kilikuwa jukwaa la maonyesho ya kisiasa na michezo.
-
Iran Yapangwa na Ubelgiji, Misri na New Zealand Kombe la Dunia la FIFA 2026
Dec 05, 2025 23:34Njia ya kuelekea Kombe la Dunia la FIFA 2026 sasa imewekwa wazi kwa Iran baada ya droo ya Ijumaa usiku mjini Washington, D.C. kuipanga Timu ya Taifa ya Soka ya Iran maarufu kama, Team Melli, katika Kundi G lenye mvuto na msisimko, pamoja na Ubelgiji, Misri na New Zealand.
-
Je, sera za chama tawala zimechangia kuenea chuki na ukatili dhidi ya Waislamu nchini India?
Dec 05, 2025 23:14Ghasia dhidi ya Waislamu nchini India zimeongezeka sana katika miaka ya hivi karibuni.