-
Utafiti: Vita vya Gaza vinawasukuma Waingereza kwenye dini ya Uislamu
Dec 05, 2025 07:22Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Uingereza ya Athari ya Imani katika Maisha (IIFL) umeonyesha kuwa migogoro ya kimataifa ni sababu kuu kwa Waingereza kukubali dini ya Uislamu.
-
UN yatahadharisha kuhusu vifo vinavyosababishwa na mabomu ya kutegwa ardhini
Dec 05, 2025 07:19Umoja wa Mataifa umetoa tahadhari kuhusu ongezeko la vifo vinavyosababishwa na mabomu ya kutegwa ardhini huku kukiwa na upungufu wa ufadhili wa programu za kutegua mabomu hayo.
-
Karibu 50% ya raia wa nchi wananchama wa EU wanamuona Trump "adui wa Ulaya"
Dec 05, 2025 03:03Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni umebaini kuwa, karibu nusu ya raia wa nchi wananchama wa Umoja wa Ulaya, EU wanamwona Rais wa Marekani Donald Trump kama "adui wa Ulaya," huku wengi miongoni mwao wakihisi hatari ya kuzuka vita vya wazi baina ya nchi zao na Russia katika miaka ijayo kuwa ni ya "juu".
-
Wakili Mskochi: Wawindaji wa wanawake wanatembea kwa uhuru nchini Uingereza
Dec 04, 2025 23:05Utafiti mpya unaonyesha kwamba wasichana na wanawake nchini Uingereza bado wanahisi hawako salama katika maeneo ya umma.
-
Trump na mkakati wa kuchochea ubaguzi wa rangi
Dec 04, 2025 23:04Donald Trump, Rais wa Marekani, ameendeleza mashambulizi makali dhidi ya wahamiaji wa Kisomali akisema: “Somalia inanuka.” Aidha, alimueleza Ilhan Omar, mbunge wa Kidemokrasia na Mwislamu, kuwa ni “takataka.”
-
Guterres: Mwenendo wa vita wa Israel huko Gaza 'kimsingi si sahihi'
Dec 04, 2025 04:16Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani namna Israel ilivyoendesha vita dhidi ya Gaza na kuutaja mwenendo huo kuwa kimsingi si sahihi. Amesema, kuna sababu kubwa" za kuamini kwamba wanajeshi wa Israel wametenda jinai za kivita katika ardhi ya Palestina.
-
Meya wa Minneapolis apinga matamshi ya Donald Trump dhidi ya Wasomali
Dec 04, 2025 04:15Maafisa katika mji wa Minneapolis nchini Marekani wameungana ili kuondoa hofu iliyotanda miongoni mwa jamii kubwa ya Wasomali katika mji huo.
-
China yapinga uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Venezuela
Dec 04, 2025 00:34Serikali ya China imetangaza kuwa, inapinga vikali uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela.
-
Papa Leo: Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya zinachochewa na wanaotaka kuwatenga wengine
Dec 03, 2025 07:18Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amesema, chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) barani Ulaya mara nyingi huchochewa na wale wanaotaka kuwatenga watu wa imani na mbari tofauti na zao.
-
Mbunge Ilhan Omar amjibu Trump kwa kumwita yeye na wahamiaji Wasomali "takataka"
Dec 03, 2025 07:09Ilhan Omar, mbunge Muislamu anayewakilisha jimbo la Minnesota kwa tiketi ya chama cha Democrat amejibu mapigo kwa rais wa nchi hiyo Donald Trump baada ya kiongozi huyo kuanzisha tena mashambulizi ya matusi ya kibaguzi dhidi yake na jamii ya Wasomali wa jimbo la Minnesota.