-
Marekani yachunguza vifo vinavyoshukiwa kuhusishwa na chanjo za virusi vya corona
Dec 10, 2025 10:15Wizara ya Afya na Huduma za Kibinadamu ya Marekani imetangaza kwamba Idara ya Chakula na Dawa (FDA) inafanya uchunguzi wa kina kuhusu vifo vinavyoweza kuhusishwa na chanjo za COVID-19, vinavyohusisha makundi mengi ya umri.
-
Ripoti ya Ujerumani: Waislamu na watu weusi wanasumbuliwa na ubaguzi wa kimfumo
Dec 10, 2025 06:20Ripoti ya Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Ubaguzi la serikali ya Ujerumani imefichua kwamba Waislamu na watu weusi wanaoishi nchini humo wanasumbuliwa na "ubaguzi wa kimfumo" kuhusu hali ya makazi.
-
RSF: Israel ni muuaji mkuu wa waandishi wa habari duniani
Dec 10, 2025 02:41Shirika la Waandishi wa Habari Bila Mipaka (RSF) limesema utawala wa Israel ni muuaji mkuu wa waandishi wa habari duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo, na limeutaka utawala huo uwajibike kwa kusababisha karibu nusu ya vifo vya waandishi wa habari duniani mwaka 2025, hasa katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
-
Barabara ya Hariri ya Kusini: Iran, Uturuki zarekebisha biashara ya Eurasia
Dec 09, 2025 11:31Mwishoni mwa mwezi uliopita, wakati Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan alipofanya ziara mjini Tehran, Iran na Uturuki zilitangaza makubaliano ya kuanza ujenzi wa njia mpya ya pamoja ya reli kati ya nchi mbili.
-
Zelensky alemewa na mashinikizo ya Marekani ili kukubali mpango wa Trump wa kumaliza vita vya Ukraine
Dec 09, 2025 11:28Serikali ya Marekani imezidisha mashinikizo kwa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ili kukubali kuachia sehemu kubwa ya ardhi ya nchi hiyo na makubaliano mengine yaliyoainishwa katika mpango wa amani wa mwenzake wa Marekani Donald Trump.
-
Utafiti: Zaidi ya watoto milioni 12 kufariki dunia ifikapo 2045
Dec 08, 2025 10:23Utafiti mpya uliotolewa na Taasisi ya Gates Foundation unaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza katika karne hii, idadi ya watoto duniani wanaofariki kabla ya kufikisha umri wa miaka mitano baada ya kuzaliwa inatarajiwa kuongezeka.
-
UN yazindua ombi la dola bilioni 33 kwa ajili ya kuokoa maisha ya watu milioni 87
Dec 08, 2025 06:30Umoja wa Mataifa leo umezindua ombi la misaada ya kibinadamu duniani la dola bilioni 33, ukiomba nchi na wadau kote ulimwenguni kuongeza msaada kwa mamilioni ya watu wanaokabiliwa na migogoro kutokana na vita, majanga ya tabia nchi, miripuko ya maradhi, na njaa.
-
Kwa nini Wamarekani wengi wanapinga hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran?
Dec 08, 2025 02:31Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa idadi kubwa ya raia wa Marekani wanapinga mashambulizi ya kijeshi yaliyofanywa na serikali ya Rais Donald Trump dhidi ya Iran.
-
Kuvunjwa kwa Baraza la NATO–Russia: Je, kutashuhudiwa vita kati ya Russia na nchi za Magharibi?
Dec 07, 2025 11:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland ametangaza kuwa Baraza la NATO na Russia limevunjwa rasmi huku kukiwa na wasiwasi wa kuibuka mivutano ya kijeshi kati ya pande hizo mbili.
-
Mjumbe wa Marekani akiri: Washington ilijaribu na kushindwa mara mbili kuipindua serikali ya Iran
Dec 07, 2025 11:00Tom Barrack Mjumbe Maalumu wa Marekani nchini Syria amesema kuwa Washington ilijaribu mara mbili kupindua serikali ya Iran lakini iliambulia patupu.