-
Israel yalaaniwa vikali kila pembe ya dunia kwa mauaji ya wanahabari 5 Wapalestina Ghaza
Aug 11, 2025 07:18Umoja wa Mataifa, mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu na jumuiya mbalimbali za waandishi wa habari duniani zimelaani vikali mauaji ya kigaidi ya wanahabari watano Wapalestina yaliyofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
-
Watu zaidi ya 530 watiwa nguvuni London kwa kuiunga mkono Palestina
Aug 11, 2025 05:36Polisi ya London imetangaza kuwa jumla ya waandamanaji 532 wametiwa mbaroni wakati wa maandamano ya kuunga mkono kundi linalojulikana kwa jina la Palestine Action Group linalowatetea Wapalestina.
-
Ripota wa UN: Israel inajaribu kuua ukweli kwa kuwaua waandishi habari, itashindwa
Aug 10, 2025 23:44Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu uhuru wa maoni na kujieleza, Irene Khan, amesema kuwa jeshi la Israel linataka "kuua ukweli" kwa kunyamazisha kila sauti inayosimulia kile kinachotokea katika Ukanda wa Gaza, akisisitiza kwamba mwandishi wa televisheni ya Al Jazeera, Anas Al-Sharif aliyeuawa na jeshi la Israel, alikuwa "mwandishi wa habari jasiri" ambaye aliendelea na kazi yake licha ya vitisho vya moja kwa moja kwa maisha yake.
-
Save the Children: "Watoto wa Gaza, njaa hadi mauti"
Aug 10, 2025 23:12Shirika la kimataifa la "Save the Children" limetangaza kuwa, mzingiro wa Israel umewaweka watoto katika Gaza kwenye njaa mbaya, na hadi sasa watoto 100 wamekufa kutokana na njaa.
-
Uko wapi mpaka kati ya ukosoaji dhidi ya Israel na chuki dhidi ya Wayahudi? Trump na mradi wa kudhibiti vyuo vikuu
Aug 10, 2025 23:10Kufuatia kushamiri maandamano ya wanafunzi katika vyuo vikuu vya Marekani mwaka 2024, ambayo yalifanyika hasa kwa ajili ya kuunga mkono na kuwatetea watu wa Ukanda wa Gaza na kupinga misaada ya Washington kwa ukatili wa Israel, serikali ya sasa ya Marekani kwa mara nyingine tena imechukua hatua yenye utata dhidi ya vyuo vikuu vya nchi hiyo.
-
'Tuambie jinsi alivyokufa': MO Salah akosoa heshima ya UEFA kwa 'Pele wa Palestina'
Aug 10, 2025 10:48Mshambuliaji wa timu ya soka ya Liverpool, Mohamed Salah amekosoa hatua ya Muungano wa Vyama vya Soka vya Ulaya UEFA ya kumuenzi Suleiman Al-Obeid, anayejulikana kama "Pele wa Palestina," baada ya bodi inayosimamia soka ya Ulaya kutoelezea mazingira ya kifo chake wiki hii.
-
Walimwengu waendelea kuandamana kupinga uhalifu wa njaa huko Gaza
Aug 10, 2025 07:17Katika kukabiliana na siasa za jinai za utawala wa Kizayuni kwa wananchi wa Palestina, kumefanyika maandamano kadhaa makubwa katika miji mbalimbali duniani.
-
Taarifa ya Umoja wa Ulaya na nchi tisa ya kupinga kukaliwa kwa mabavu Gaza
Aug 10, 2025 06:40Madola tisa ya Magharibi pamoja na Umoja wa Ulaya yametoa taarifa ya kukataa kukaliwa kwa mabavu Gaza na kuutaja mpango huo wa Israel kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na za kibinadamu.
-
Shakhsia 200 duniani: Utawala wa kibaguzi wa Israel utokomezwe, kuupa kinga ya kutoadhibiwa kukomeshwe
Aug 09, 2025 23:12Zaidi ya shakhsia 200 mashuhuri ulimwenguni kote, wakiwemo viongozi wa kisiasa, wasomi, watetezi wa haki za binadamu, waandishi wa habari, wanazuoni wa kidini na watu mashuhuri wa kiutamaduni, wameandika barua ya pamoja kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wakitaka "kutokomezwa ubaguzi wa rangi wa apathaidi" na "kukomeshwa kinga ya kutoadhibiwa" kwa jinai na uhalifu unaofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Palestina.
-
Polisi Uingereza yawatia nguvuni takriban watu 200 katika maandamano ya "Palestine Action mjini London"
Aug 09, 2025 23:08Polisi mjini London imeeleza kuwa imewatia mbaroni takriban watu 200 kwenye maandamano ya kuliunga mkono kundi kwa jina Palestine Action, ambalo mwezi uliopita serikali ya Uingereza ililitaja kuwa taasisi ya kigaidi.