-
UK yampokea kiongozi wa Polisario ikiwa imeiunga mkono Morocco katika mzozo wa Sahara
Aug 09, 2025 23:06Ujumbe wa Sahara Magharibi ukiongozwa na mwanadiplomasia mkuu wa Harakati ya Polisario umekutana na Waziri wa Uingereza anayehusika na Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Hamish Falconer mjini London sambamba na kuongezeka juhudi za kimataifa za kuushughulikia mzozo wa Sahara Magharibi.
-
Kupungua sana uungaji mkono wa Wamarekani kwa Israel, sababu na matokeo
Aug 09, 2025 23:00Himaya na msaada wa Marekani kwa Israel, kama mmoja wa washirika wake wa karibu, umekuwa mhimili mkuu wa sera za nje za Marekani kwa miongo kadhaa kutokana na masuala ya kisiasa, kihistoria na kimkakati.
-
Kituo cha silaha za nyuklia cha Uingereza chavujisha mada za radioactive
Aug 09, 2025 11:50Mada za radioactive zimeripotiwa kuvuja baharini kutoka katika kituo kinachohifadhi mabomu ya nyuklia ya Uingereza baada ya mabomba ya zamani kupasuka mara kadhaa.
-
Venezuela yalaani uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa kuukalia kwa mabavu Ukanda wa Gaza
Aug 09, 2025 10:00Serikali ya Venezuela imepinga vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuukalia kwa mabavu Ukanda wa Gaza na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kuzidisha mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Palestina.
-
Nchi zinazoibukia kiuchumi zimejibu vipi vita vya ushuru vya Trump?
Aug 09, 2025 07:59Mataifa matatu yanayoinukia kiuchumi, Brazil, India na Uchina, yamejibu vikali hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ya kupandisha ushuru wa forodha kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.
-
Utafiti mpya wafichua jinsi Mfalme wa Uingereza alivyofaidika na utumikishwaji wa watumwa
Aug 08, 2025 23:01Utafiti mpya umefichua jinsi Mfalme George IV wa Uingereza alivyonufaika binafsi kutokana na utumikishwaji wa watumwa kwenye mashamba ya Karibea, na hivyo kutilia nguvu upya miito ya kuutaka utawala huo wa kifalme uwajibike kwa madhara na maafa yaliyosababishwa na ukoloni wake wa zamani.
-
Kwa nini India inashirikiana na utawala wa kizayuni wa Israel?
Aug 08, 2025 22:59Katika miaka ya hivi karibuni India na utawala wa Kizayuni zimeanzisha uhusiano mkubwa katika sekta nyingi za kiuchumi, kijeshi na kisiasa.
-
Kwa nini wabunge wa Bunge la Ulaya wametaka kusitishwa ushirikiano na Israel?
Aug 08, 2025 09:12Katika barua rasmi kwa viongozi wa Umoja wa Ulaya, wawakilishi 41 wa Bunge la Ulaya wametaka kusitishwa uhusiano wa kibiashara na kusimamishwa utekelezwaji wa makubaliano ya ushirikiano na utawala ghasibu wa Israel.
-
Kupewa jina la Yahya Sinwar mtoto aliyezaliwa kwenye hospitali ya Ujerumani kwazusha taharuki
Aug 08, 2025 07:06Wodi ya wajawazito katika hosiptali moja ya mji wa Leipzig, mashariki mwa Ujerumani, imezua kizaazaa baada ya kuweka kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram michoro na maelezo ya kumsherehekea mtoto mchanga aliyezaliwa na kupewa jina la "Yahya Sinwar", likipambwa na emoji tatu za moyo.
-
China: Jaribio la Marekani la kuuvunja ushirikiano baina yetu na Russia litagonga mwamba tu
Aug 08, 2025 07:03Msemaji wa Ubalozi wa China nchini Marekani ametangaza kuwa jaribio la Washington la kuilazimisha Beijing ikate ushirikiano na Russia litagonga mwamba tu.