-
Kwa nini wabunge wa Bunge la Ulaya wametaka kusitishwa ushirikiano na Israel?
Aug 08, 2025 09:12Katika barua rasmi kwa viongozi wa Umoja wa Ulaya, wawakilishi 41 wa Bunge la Ulaya wametaka kusitishwa uhusiano wa kibiashara na kusimamishwa utekelezwaji wa makubaliano ya ushirikiano na utawala ghasibu wa Israel.
-
Kupewa jina la Yahya Sinwar mtoto aliyezaliwa kwenye hospitali ya Ujerumani kwazusha taharuki
Aug 08, 2025 07:06Wodi ya wajawazito katika hosiptali moja ya mji wa Leipzig, mashariki mwa Ujerumani, imezua kizaazaa baada ya kuweka kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram michoro na maelezo ya kumsherehekea mtoto mchanga aliyezaliwa na kupewa jina la "Yahya Sinwar", likipambwa na emoji tatu za moyo.
-
China: Jaribio la Marekani la kuuvunja ushirikiano baina yetu na Russia litagonga mwamba tu
Aug 08, 2025 07:03Msemaji wa Ubalozi wa China nchini Marekani ametangaza kuwa jaribio la Washington la kuilazimisha Beijing ikate ushirikiano na Russia litagonga mwamba tu.
-
Wataalamu wa UN: Israel inatumia njaa kama "silaha ya kikatili" kuangamiza Gaza
Aug 08, 2025 04:19Timu ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa imelaani hatua ya Israel ya kuzidisha kampeni yake ya mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Palestina huko Gaza na kuitaka jamii ya kimataifa kukomesha "ushiriki" wake katika uhalifu wa Israel na kukabiliana na ukatili wa utawala huo.
-
Washington yatangaza zawadi ya dola milioni 50 kwa mtu atakayetoa taarifa zitakazowezesha kukamatwa kwa Maduro
Aug 08, 2025 03:54Mwanasheria Mkuu wa Marekani, Pam Bondi ametangaza zawadi ya dola milioni 50 kwa atakayetoa taarifa zitakazowezesha kukamatwa kwa Rais wa sasa wa Venezuela, Nicolás Maduro.
-
Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Palestina awataka Waislamu kufuata njia ya Imam Hussein (AS)
Aug 08, 2025 00:08Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Palestina amewataka Waislamu kujitokeza kukabiliana na dhulma na ukandamizaji na kumfanya Imam Hussein bin Ali (AS) kuwa kiigizo chao.
-
Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?
Aug 07, 2025 22:41Siku ya Jumatano, Agosti 6, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini amri ya kuweka ushuru wa ziada wa asilimia 25 dhidi ya bidhaa za India ili kukabiliana na hatua ya nchi hiyo ya kuendelea kununua mafuta ya Russia, na hivyo kuongeza ushuru jumla kwa bidhaa za India hadi asilimia 50.
-
Baada ya hofu kuongezeka; wafanyakazi wa ubalozi wa Israel Ugiriki waondolewa
Aug 07, 2025 08:27Baada ya kuhamishwa wafanyakazi wa ubalozi wa Israel katika Umoja wa Falme za Kiarabu, safari hii duru za Israel zinaripoti kuondolewa kwa wafanyakazi ubalozi wa utawala huo mjini Athens, mji mkuu wa Ugiriki.
-
The Guardian yafichua: Microsoft inasaidia ujasusi wa kijeshi wa Israel dhidi ya Wapalestina
Aug 07, 2025 01:02Ripoti iliyochapishwa na The Guardian imefichua ushirikiano wa karibu kati ya Kitengo cha 8200 cha Israel na kampuni ya Microsoft ya Marekani katika kufuatilia na kuhifadhi simu zote zinazopigwa na Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi, katika kile kinachotambuliwa kuwa mojawapo ya miradi mikubwa zaidi ya kijasusi duniani.
-
Hiroshima yawakumbua maelfu ya Wajapani waliouawa kwa bomu la atomiki la Marekani
Aug 06, 2025 09:55Leo Jumatano mji wa Hiroshima huko Japan umeadhimisha kumbukumbu ya miaka 80 ya mashambulizi ya bomu la nyuklia ya Marekani dhidi ya mji huo, katika shughuli iliyohudhuriwa na zaidi ya nchi 100.