-
Hiroshima yawakumbua maelfu ya Wajapani waliouawa kwa bomu la atomiki la Marekani
Aug 06, 2025 09:55Leo Jumatano mji wa Hiroshima huko Japan umeadhimisha kumbukumbu ya miaka 80 ya mashambulizi ya bomu la nyuklia ya Marekani dhidi ya mji huo, katika shughuli iliyohudhuriwa na zaidi ya nchi 100.
-
Albanese: Vikwazo dhidi yangu si lolote kulinganisha na masaibu wanayopitia Wapalestina
Aug 06, 2025 09:11Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina amepuuzilia mbali vikwazo vilivyowekwa hivi karibuni na Marekani kutokana na msimamo wake wa kuukosoa utawala wa Israel, akisema kuwa vikwazo hivyo si lolote si chochte ikilinganisha na masaibu wanayoyastahamili na kupitia raia wa Palestina katika ardhi yao.
-
Peskov: Itachukua muda kuboresha uhusiano wa Russia na Marekani
Aug 06, 2025 04:29Dmitry Peskov Msemaji wa ikulu ya Russia (Kremlin) ametangaza kuwa itachukua muda ili kuimarika uhusiano kati ya Russia na Marekani kutokana na kuharibika pakubwa kwa uhusiano kati ya nchi mbili.
-
Kwa nini sarafu ya dola si kimbilio salama tena duniani?
Aug 06, 2025 02:25Baada ya miongo kadhaa ya juhudi za Marekani kudumisha utawala wa sarafu ya dola juu ya mfumo wa fedha duniani, hali ya dola sasa imefikia hatua mbaya.
-
Wazungu nao yamewazidi: Merz na Netanyahu walumbana kuhusu mauaji ya kimbari Gaza
Aug 06, 2025 00:24Gazeti la New York Times limefichua kwamba Kansela wa Ujerumani, Friedrich Merz amefanya mazungumzo kadhaa ya simu na Wazirii Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, baadhi yao yakiwa makali na yaliyojaa hasira, huku maafa ya binadamu katika Ukanda wa Gaza yakizidi kuwa mabaya.
-
Kwa nini majimbo ya Marekani yanaadhibiwa kwa sababu ya kuitetea Palestina?
Aug 05, 2025 10:54Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kukata bajeti ya dharura ya kukabiliana na majanga ya asili na kudhamini usalama wa ndani wa majimbo na miji ya Marekani inayounga mkono Palestina na kususia makampuni ya Israel.
-
Australia: Palestina itatoweka kama mauaji ya kimbari ya Israel yataendelea
Aug 05, 2025 10:42Penny Wong, Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia amesema kuwa kuna hatari kwamba hakutakuwa na Palestina inayoweza kutambuliwa iwapo mauaji ya kimbari ya Israel yataendelea katika Ukanda wa Gaza sambamba na kuongezeka vitendo vya mabavu dhidi ya Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
CNN: Vita vya Ukraine sasa ni vita vya Trump
Aug 05, 2025 10:42Rais Donald Trump wa Marekani ameingia kikamilifu katika vita vya Ukraine na kushika usukani wa mgogoro huo kisiasa na kijeshi; vita ambavyo, katokana na maamuzi yake ya karibuni sio tena mzozo wa kikanda, bali ni mtihani kuhusu nafasi ya Marekani duniani.
-
Le Monde yatoa taarifa mpya za kampeni ya vitisho dhidi ya Khan wa ICC kwa kuiandama Israel
Aug 05, 2025 04:02Gazeti la Ufaransa la Le Monde limetoa taarifa mpya na za kina za kampeni ya vitisho inayozidi kumwandama Karim Khan, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC.
-
UN: Tangu Mei, Wapalestina 1,500 wameuawa Ghaza wakihangaika kupata msaada wa chakula
Aug 05, 2025 03:41Umoja wa Mataifa umesema Wapalestina 1,500 wameuawa huko Ghaza tangu mwezi Mei hadi sasa wakati wanahangaika kutafuta msaada wa kibinadamu.