-
Russia: Tutazidisha ushirikiano wetu na BRICS ili kukabiliana na vikwazo vya Marekani
Aug 05, 2025 03:40Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia Maria Zakharova ametangaza kuwa, Moscow iko tayari kuongeza ushirikiano na nchi wanachama wa kundi la kiuchumi la BRICS ili kukabiliana na mashinikizo ya vikwazo haramu vya Marekani.
-
Radiamali ya kwanza ya Moscow mkabala wa kutumwa manowari za nyuklia za Marekani karibu na Russia
Aug 04, 2025 23:06Msemaji wa ikulu ya Russia (Kremlin) amejibu matamshi ya Rais wa Marekani aliyotoa kuhusiana na kutumwa manowari za nyuklia za nchi hiyo karibu na eneo la maji ya Russia.
-
Meya wa Athens 'amnyoosha' balozi wa Israel: "Hatuhitaji kufunzwa demokrasia na wauaji wa raia"
Aug 04, 2025 07:02Meya wa jiji la Athens nchini Ugiriki amemshambulia vikali balozi wa utawala wa kizayuni wa Israel nchini humo Noam Katz kwa kumwambia: "sisi hatuhitaji kupewa masomo kuhusu demokrasia na wale wanaoua raia".
-
Gazeti la Austria: Hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kama vita vya Ghaza
Aug 04, 2025 06:33Gazeti la Standard linalochapishwa nchini Austria limeandika: vita vya Ghaza sio vita vya pekee au vya umwagaji mkubwa zaidi wa damu vinavyoendelea hivi sasa duniani, lakini hakuna tukio ambalo limeutikisa zaidi ulimwengu wakati huu kwa kiwango cha vita hivyo.
-
Lula: Brazil haitaisahau namna Marekani ilivyosaidia kufanya mapinduzi
Aug 04, 2025 04:07Rais Luiz Inacio Lula da Silva wa Brazil amesema kuwa nchi yake haitasahau namna Marekani ilivyosaidia kufanya mapinduzi nchini Brazil. Rais Da Silva amelaani hatua ya Washington ya kiwekea nchi yake mashinikizo ya kisiasa na kiuchumi.
-
Makumi ya maelfu ya watu Sydney katika maandamano ya kuunga mkono Palestina
Aug 03, 2025 09:14Makumi ya maelfu ya watu wameandamana katika mji wa Sydney nchini Ausralia na kutangaza kuunga mkono Palestina na wakati huo huo kulaani jini za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina hususan katika Ukanda wa Gaza
-
Sanders: 60% ya Wamarekani wanapinga vita vya kinyama vya Netanyahu dhidi ya Wapalestina
Aug 03, 2025 03:39Bernie Sanders, Seneta wa kujitegemea anayewakilisha jimbo la Vermont nchini Marekani amesema: "asilimia 60 ya watu wa nchi hii wanapinga vita vya kinyama vya waziri mkuu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Albanese: Magharibi haiwi na uwezo wowote wa kutekeleza sheria za kimataifa inapohusu Israel
Aug 03, 2025 02:11Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa wa hali ya haki za binadamu katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu amesema, nchi za Magharibi haziwi na uwezo wowote wa kutekeleza sheria za kimataifa inapohusu utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Umoja wa Mataifa unaunga mkono kuanzishwa kwa taifa la Palestina
Aug 02, 2025 23:02Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kwa mtazamo wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, kiwango cha uungwaji mkono mpana kutoka kwa mataifa ya dunia katika suluhu ya mataifa mawili na kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina ni muhimu.
-
Sweden: Ukraine lazima iseme 'ndiyo' kwa ndoa za jinsia moja kama sharti la kujiunga na EU
Aug 02, 2025 08:18Waziri Mkuu wa Sweden Ulf Kristersson amesema, Ukraine inapaswa kutoa ulinzi kamili wa kisheria kwa 'mashoga', ikiwa ni pamoja na wa ndoa za jinsia moja, kama sehemu ya juhudi zake za kupigania kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya,