Oct 30, 2018 13:44
Licha ya harakati za duru za Magharibi za kuzuia kuakisiwa habari zinazohusiana na maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (as), ukubwa wa tukio hilo haukuviachia vyombo vya habari vya Magharibi, chaguo jingine isipokuwa kukiri kuhusu ukubwa huo muhimu wa kihistoria.