-
Matamshi ya Kiongozi Muadhamu katika mkutano na maafisa wa Jeshi la Anga
Feb 09, 2016 04:08Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, siku ya Jumatatu alikutana na makamanda na maafisa wa Jeshi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Februari 11 Bahman na uchaguzi ujao wa Februari 26 ni Idi mbili zenye maana kwa taifa la Iran.
-
Idadi ya wagombea urais wa Kongo Brazzaville yaongezeka
Feb 07, 2016 22:19Wapinzani wengine wawili wa serikali ya Jamhuri ya Kongo wametangaza kuwa watagombea katika uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika tarehe 20 ya mwezi ujao wa Machi.