Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Trump: Kuondoka Afghanistan lilikuwa tukio la udhalilishwaji mkubwa zaidi katika historia ya Marekani

    Trump: Kuondoka Afghanistan lilikuwa tukio la udhalilishwaji mkubwa zaidi katika historia ya Marekani

    Aug 17, 2022 02:37

    Aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump amesema, kuondoka majeshi ya nchi hiyo Afghanistan ilikuwa hatua ya pupa na ya udhalilishwaji.

  • Mwaka mmoja wa utawala wa Taliban nchini Afghanistan

    Mwaka mmoja wa utawala wa Taliban nchini Afghanistan

    Aug 10, 2022 05:28

    Mwaka mmoja umepita tangu kundi la Taliban lilipoingia tena madarakani nchini Afghanistan lakini inaonekana kuwa mateso na matatizo ya wananchi yameongezeka kuliko hata wakati nchi hiyo ilipokuwa inakaliwa kwa mabavu na Marekani na NATO katika miaka ya 2001 hadi 2021.

  • Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram

    Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram

    Aug 07, 2022 08:08

    Serikali ya kundi la Taliban nchini Afghanistan imetangaza kuangamizwa magaidi wanne wa genge la ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika mapigano yaliyotokea kwenye eneo la Karte-Ye-Sakhi mjini Kabul.

  • Mahakama ya ICC yashindwa kuchunguza uhalifu wa kivita nchini Afghanistan

    Mahakama ya ICC yashindwa kuchunguza uhalifu wa kivita nchini Afghanistan

    Aug 01, 2022 16:59

    Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) bado wanasitasita kuhusu suala la kuendeleza uchunguzi wa uhalifu wa kivita uliofanyika nchini Afghanistan.

  • Kutuhumiwa India kuwa inaunga mkono makundi ya magaidi yaliyoko Afghanistan

    Kutuhumiwa India kuwa inaunga mkono makundi ya magaidi yaliyoko Afghanistan

    Jul 21, 2022 04:29

    Balozi wa Pakistan mjini Kabul amesema, India inayaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Afghanistan ili kuvuruga amani na usalama ndani ya Pakistan.

  • Shukurani za Gavana wa jimbo la Herat kwa misaada ya Iran kwa  watu wa Afghanistan

    Shukurani za Gavana wa jimbo la Herat kwa misaada ya Iran kwa watu wa Afghanistan

    Jul 16, 2022 02:42

    Gavana wa jimbo la Herat ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa misaada yake kwa watu wa Afghanistan.

  • Uchunguzi: Jeshi la UK liliua makumi ya wafungwa wa Kiafghani

    Uchunguzi: Jeshi la UK liliua makumi ya wafungwa wa Kiafghani

    Jul 13, 2022 03:42

    Uchunguzi uliofanywa na shirika la habari la BBC la Uingereza umefichua kuwa, askari wa nchi hiyo ya Ulaya waliwaua kwa kuwafyatulia risasi raia zaidi ya 50 wa Afghanistan, licha ya kuwa hawakuwa wamejizatiti kwa silaha.

  • UN yakaa kimya kuhusu chanzo cha maafa ya kibinadamu Afghanistan

    UN yakaa kimya kuhusu chanzo cha maafa ya kibinadamu Afghanistan

    Jul 12, 2022 11:05

    Umoja wa Mataifa umetoa ripoti ukitahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Afghanistan na bila ya kuashiria waliosababisha hali hiyo ya sasa inayowakabili watu wa nchi hiyo iliyoathiriwa na vita umetangaza kuwa, wananchi wa Afghanistan eti wanahitaji misaada ya kibinadamu zaidi.

  • Wanawake wa Afghanistan wakosoa kutoalikwa katika kikao cha Loya Jirga

    Wanawake wa Afghanistan wakosoa kutoalikwa katika kikao cha Loya Jirga

    Jul 03, 2022 02:13

    Wanawake wa Afghanistan wamekosoa kufanyika kikao cha maulamaa wa kidini wa Baraza la Ushauri kwa ajili ya amani ya Afghanistan (Loya Jiirga) bila ya wanawake wa nchi hiyo kuhudhuria. Kutoshirki wanawake katika kikao hicho kunamaanisha kupuuzwa nusu ya jamii ya watu wa Afghanistan.

  • Taliban yaitaka Marekani iachie fedha za Afghanistan baada ya tetemeko la ardhi lililoua 950

    Taliban yaitaka Marekani iachie fedha za Afghanistan baada ya tetemeko la ardhi lililoua 950

    Jun 24, 2022 01:17

    Kufuatia tetemeko la ardhi lililoua mamia ya watu nchini Afghanistan, serikali ya Taliban nchini humo imeitaka Marekani iachie mabilioni ya dola za Waafghani inazozuilia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS