Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Magaidi wa Al Shabab washambulia vituo viwili vya kijeshi Somalia

    Magaidi wa Al Shabab washambulia vituo viwili vya kijeshi Somalia

    Feb 20, 2020 09:39

    Magaidi wa kundi la Al Shabab wametekeleza mashambulizi dhidi ya vituo viwli vya Jeshi la Somalia katika eneo la Lower Shabelle na kuua askari wasiopungua wanne.

  • Ripoti: Makumi waliuawa mwaka jana katika hujuma za al-Shabaab Kenya

    Ripoti: Makumi waliuawa mwaka jana katika hujuma za al-Shabaab Kenya

    Feb 07, 2020 23:27

    Uchunguzi uliofanywa na Taasisi ya Haki za Binadamu na Sera umebainisha kuwa, watu wasiopungua 83 waliuawa nchini Kenya mwaka uliopita wa 2019 katika mashambulizi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye makao makuu yake katika nchi jirani ya Somalia.

  • Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al-Shabaab karibu na Mogadishu

    Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al-Shabaab karibu na Mogadishu

    Jan 18, 2020 04:40

    Vikosi vya jeshi la Somalia vimefanikiwa kuzima shambulizi la usiku wa kuamkia leo la kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Ripoti: Waislamu, wahanga wakuu wa mashambulio ya al-Shabaab

    Ripoti: Waislamu, wahanga wakuu wa mashambulio ya al-Shabaab

    Jan 17, 2020 04:06

    Uchunguzi uliofanywa na shirika moja lisilo la kiserikali umefichua kuwa, Waislamu ndio wahanga wakuu wa mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia, licha ya genge hilo kudai kuwa haliwalengi Waislamu na Wasomali katika hujuma zao.

  • Jeshi la Kenya lazima shambulizi la al-Shabaab Lamu, magaidi 4 wauawa

    Jeshi la Kenya lazima shambulizi la al-Shabaab Lamu, magaidi 4 wauawa

    Jan 05, 2020 04:30

    Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limetangaza habari ya kuangamiza wanachama wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu, kusini mashariki mwa Kenya, mpakani na Somalia.

  • Magaidi 33 wa kundi la al-Shabab waangamizwa nchini Somalia

    Magaidi 33 wa kundi la al-Shabab waangamizwa nchini Somalia

    Jan 04, 2020 10:04

    Wanamgambo wasiopungua 33 wa kundi la kigaidi la al-Shabab wameangamizwa katika operesheni mbili tofauti za jeshi kusini magharibi mwa Somalia.

  • 'Al-Shabaab' yateka basi na kuua abiria kaunti ya Lamu, Kenya

    'Al-Shabaab' yateka basi na kuua abiria kaunti ya Lamu, Kenya

    Jan 02, 2020 10:02

    Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kuteka nyara basi la abiria katika kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya.

  • Al-Qaeda yakiri kuhusika na shambulizi la bomu lililoua 90 Somalia

    Al-Qaeda yakiri kuhusika na shambulizi la bomu lililoua 90 Somalia

    Dec 31, 2019 04:08

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lililojitangaza kuwa ni sehemu ya mtandao wa kigaidi wa al-Qaida limekiri kuhusika na shambulizi la bomu lililotokea mwishoni mwa wiki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.

  • Makumi wauawa katika mapigano ya kudhibiti kambi ya jeshi Somalia

    Makumi wauawa katika mapigano ya kudhibiti kambi ya jeshi Somalia

    Dec 24, 2019 08:40

    Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya askari wa Jeshi la Taifa la Somalia na wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na mji wa Baidoa, kusini magharibi mwa Somalia.

  • Wanachama 20 wa kundi la ash-Shabab, wauawa nchini Somalia

    Wanachama 20 wa kundi la ash-Shabab, wauawa nchini Somalia

    Oct 19, 2019 23:05

    Maafisa wa serikali ya Somalia wametangaza habari ya kuuawa wanachama 20 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab katika shambulizi lililolilenga gari yao katikati mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS