-
Algeria yapokea wakimbizi wa Syria, Libya na Mali
Apr 03, 2016 09:02Gazeti moja linalochapishwa nchini Uingereza limeripoti kuwa Algeria imekuwa mwenyeji wa makumi ya maelfu ya wakimbizi kutoka Syria, Libya na Mali.
-
Ajali ya Helicopter yaua watu 12 Algeria
Mar 28, 2016 03:46Watu wasiopungua 12 wamepoteza maisha Algeria kufuatia ajali ya helikopta wakati ikilinda doria katika eneo la jangwa la Sahara nchini humo.