-
Araghchi: Msamiati wa ‘Kusalimu Amri’ haumo kwenye fasihi ya watu wa Iran
Jun 28, 2025 06:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Abbas Araghchi amesema, kama alivyobainisha Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, hakuna msamiati wa kusalimu amri katika fasihi ya kisiasa na fasihi ya wananchi wa Iran na kwamba wananchi hao wamethibitisha na kulionyesha vizuri hilo katika kipindi cha siku 12.
-
Araqchi: Tunachotegemea kwa Ulaya ni kulaani mashambulizi ya Israel
Jun 14, 2025 02:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Serikali na wananchi wa Iran wanataraji kuiona jamii ya kimataifa hususan Umoja wa Ulaya unalaani shambulio hilo la kijinai la Israel dhidi ya nchi yao.
-
Duru ya nne ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja baina ya Iran na Marekani kuanza kesho
May 10, 2025 07:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman, Badr Al-Busaidi, ambaye anakaimu nafasi ya mpatanishi kati ya Iran na Marekani katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja, ametangaza kuwa duru ya nne ya mazungumzo hayo itafanyika mjini Muscat kesho Jumapili.
-
Araghchi kufanya safari Saudi Arabia na Qatar kwa shughuli za kidiplomasia
May 09, 2025 10:54Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kuzuru Saudi Arabia na Qatar Jumamosi ya kesho ikiwa ni sehemuu ya juhudi mpya za kuimarisha uhusiano na majirani wa eneo hili.
-
Araqchi: Iran iko tayari kupatanisha kati ya India na Pakistan
Apr 26, 2025 07:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi ametangaza kwamba Tehran iko tayari "kufanya juhudi za kuzidisha maelewano kati ya India na Pakistan katika kipindi hiki kigumu.
-
Iran: Utawala wa Kizayuni ndio kizuizi pekee kwa Asia Magharibi kuwa eneo lisilo na silaha za nyuklia
Apr 20, 2025 05:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Abbas Araghchi amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio kizuizi pekee kwa Asia Magharibi kuwa eneo lisilo na silaha za nyuklia, akionya kwamba utawala huo unaokalia ardhi kwa mabavu unachochea chuki dhidi ya Iran huku wenyewe ukiendeleza mauaji ya kimbari katika eneo hili.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Israel haina uthubutu wa kutushambulia
Apr 20, 2025 02:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "si Israel pekee ambayo haina uthubutu wa kutushambulia, lakini hata Marekani pia haikubali kubahatisha kujiingiza kwenye chokochoko hatari kama hiyo."
-
Araqchi: Uhusiano wa Iran na Russia ni imara na wa kimkakati
Apr 19, 2025 02:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ameutaja uhusiano wa Iran na Russia kuwa ni imara mno na kwamba Moscow ni mshirika mkuu na wa kistratijia wa Iran.
-
Iran yazionya nchi jirani: Jihadharini na ufitinishaji na ufarakanishaji wa Marekani
Mar 25, 2025 12:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia tuhuma zilizotolewa na viongozi wa Marekani kuhusiana na kuiwekea mashinikizo Iran na akasema: "inavyotarajiwa, nchi jirani na marafiki zitajihadhari na ufitinishaji na ufarakanishaji unaofanywa na Marekani".
-
Iran: Marekani haina haki ya kutupangia tufuate siasa gani
Mar 16, 2025 06:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe akisisitiza kuwa, Marekani haina haki ya kutupangia tufuate siasa gani za kigeni.