-
Araghchi: Marekani haiko tayari kwa mazungumzo ya manufaa kwa pande mbili, ya usawa na ya kuheshimiana
Dec 08, 2025 06:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema, Tehran imefikia hitimisho kwamba Marekani haiko tayari kwa mazungumzo ya manufaa kwa pande mbili, ya usawa na yanayofanyika kwa msingi wa kuheshimiana.
-
Araghchi: Ni Marekani ndiyo inayopaswa kurudi kwenye diplomasia kwa kuifanya Iran iwe na imani nayo
Dec 02, 2025 03:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema, ni Marekani ndiyo inayopaswa kurudi kwenye diplomasia kwa kuifanya Iran iwe na imani nayo.
-
Araghchi: Hatutakubali kwa namna yoyote ile kushusha urutubishaji urani hadi kiwango cha sifuri
Nov 20, 2025 06:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesema: "hatutakubali kwa namna yoyote ile kushusha urutubishaji wa urani hadi kiwango cha sifuri kwa sababu hili limekuwa ni jambo la fakhari na heshima kwa taifa, tumetumia gharama nyingi sana za kimaada na kimaanawi kwa ajili yake, na tumepoteza wanasayansi kadhaa waliouawa shahidi kwa ajili ya kulidumisha".
-
Araqchi: Nchi wanachama wa NAM zinapinga utaratibu wa "Snapback"
Oct 16, 2025 10:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuhusu taarifa ya mwisho ya Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) kwamba: "Kwa mtazamo wa jumuiya hiyo, Azimio nambari 2231 la Umoja wa Mataifa bado ni halali na vipenege na muda wa azimio hilo vinapaswa kuzingatiwa.
-
Araghchi: Wamarekani wataabani kuingia vitani kupigana kwa ajili ya "vita visivyo na mwisho" vya Israel
Oct 08, 2025 03:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mjibizo kwa kauli ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu na kueleza kwamba: Wamarekani wataabani kuingia vitani kupigana kwa ajili ya "vita visivyo na mwisho" vya Israel.
-
Waziri Araghchi: Ulaya 'imehafifisha' nafasi yake katika mazungumzo ya siku zijazo ya mpango wa nyuklia wa Iran
Oct 06, 2025 02:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Ulaya zimedhoofisha msimamo wao katika mchakato wa kidiplomasia unaolenga kutatua kadhia ya nyuklia ya Iran na kwa hiyo watakuwa nafasi "hafifu" katika mazungumzo yoyote yatakayofanyika siku za usoni.
-
Araqchi: Jumuiya ya ECO inapasa kuongoza katika kuasisi utaratibu mpya wa kiuchumi wa kikanda
Sep 17, 2025 02:20Abbas Araqchi Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi (ECO) inaweza na inapasa kuongoza na kutoa mchango athirifu katika kuunda utaratibu mpya wa kiuchumi katika eneo la Asia Magharibi.
-
Araghchi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko bega kwa bega na Qatar na Waislamu wote
Sep 15, 2025 06:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambaye yuko mjini Doha, Qatar kushiriki katika mkutano wa dharura wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Kiislamu na Kiarabu, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu iko bega kwa bega na ndugu zake Waislamu wote.
-
Araqchi atahadharisha kuhusu njozi za "Israel Kubwa" kabla ya mkutano wa dharura wa OIC
Aug 24, 2025 11:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ametahadharisha kuwa kuwepo njozi za "Israel Kubwa" kunawakilisha hatari na tishio kubwa kwa amani na usalama wa dunia. Araqchi amezitolea wito nchi za Kiislamu kuchukua hatua za pamoja kukabiliana na ajenda ya kujitanua ya Israel.
-
Araqchi: Vikosi vya ulinzi vya Iran viko tayari kukabiliana na uchokozi wowote wa utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wake
Jul 03, 2025 07:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vikosi vya ulinzi vya Iran viko tayari kabisa kukabiliana kwa nguvu zake zote na chokochoko za aina yoyote za utawala wa Kizayuni na pande zinazouunga mkono utawala huo.