Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

askari wa Iraq

  • Brigedia Jenerali Rasool: Daesh inadhibiti chini ya 7% ya ardhi ya Iraq

    Brigedia Jenerali Rasool: Daesh inadhibiti chini ya 7% ya ardhi ya Iraq

    Apr 11, 2017 23:22

    Jeshi la Iraq limesema idadi ya ngome zilizokuwa zikidhibitiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini humo imedidimia kutoka asilimia 40 hadi chini ya asilimia 7 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

  • Jeshi la Iraq ladhibiti kituo cha uongozi cha Daesh magharibi mwa Mosul

    Jeshi la Iraq ladhibiti kituo cha uongozi cha Daesh magharibi mwa Mosul

    Mar 24, 2017 11:38

    Jeshi la Iraq limefanikiwa kukidhibiti kikamilifu kituo cha uongozi cha kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katikati mwa mji wa Mosul, wakati huu ambapo vikosi vya jeshi la nchi hiyo vikipambana vikali kuukomboa mji huo wa pili kwa ukubwa na kuwafukuzia mbali matakfiri hao kutoka katika ngome yao hiyo ya mwisho nchini Iraq.

  • Hatimaye jeshi la Iraq lakomboa uwanja wa ndege wa Mosul, Daesh wakaribia kushindwa rasmi

    Hatimaye jeshi la Iraq lakomboa uwanja wa ndege wa Mosul, Daesh wakaribia kushindwa rasmi

    Feb 23, 2017 12:22

    Sambamba na kuanza hatua ya pili ya operesheni za kuyasafisha maeneo ya magharibi mwa Mosul, kaskazini mwa Iraq, jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kudhibiti uwanja wa ndege wa mji huo ambao ulikuwa ngome kuu ya magaidi wakufurishaji wa Daesh (ISIS.)

  • Hashdu Shaabi yakomboa vijiji 2, yaokoa familia elfu 2 Mosul, Iraq

    Hashdu Shaabi yakomboa vijiji 2, yaokoa familia elfu 2 Mosul, Iraq

    Nov 30, 2016 11:34

    Kikosi cha kujitolewa cha Hashdu Shaabi kinachoshirikiana na jeshi la Iraq katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh kimefanikiwa kukomboa vijiji viwili vya mji huo sambamba na kuokoa familia zaidi ya elfu mbili zilizokuwa zikiishi kwenye mazingira magumu sana katika vijiji hivyo.

  • Wakazi wa mji wa Mosul waungana na jeshi la Iraq  kuwafurusha magaidi wa Daesh

    Wakazi wa mji wa Mosul waungana na jeshi la Iraq kuwafurusha magaidi wa Daesh

    Oct 24, 2016 23:27

    Msemaji wa harakati ya wananchi ya Hashdu ash-Sha'abi nchini Iraq amesema kuwa, wakazi wa mji wa Mosul wameungana bega kwa bega na jeshi la nchi hiyo kwa ajili ya kuwafurusha magaidi wa Kiwahabi wa Daesh kutoka mji huo.

  • Wanajeshi wa Iraq waikaribia ngome kuu ya Daesh, Mosul

    Wanajeshi wa Iraq waikaribia ngome kuu ya Daesh, Mosul

    Jul 14, 2016 23:42

    Wanajeshi wa Iraq wamekaribia kufika kwenye mji wa Mosul ambao ni ngome kuu ya kundi la kigaidi la Daesh yaani ISIS, katika juhudi za Baghdad za kuwafurusha magaidi hao katika kona zote za nchi hiyo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS