-
Kuahirishwa safari ya Rais wa Iran nchini Austria
Mar 30, 2016 06:12Imeelezwa kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itafanyika katika muda muafaka kufuatia kufikiwa makubaliano kati ya pande mbili na ili kuwezesha kufanyika uratibu zaidi.
-
Rais wa Austria: Iran ni nchi kubwa katika Mashariki ya Kati
Mar 29, 2016 14:18Rais Heinz Fischer wa Austria amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni nchi kubwa katika eneo lenye mivutano la Mashariki ya Kati.