-
Ushindi wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali katika uchaguzi wa Uholanzi; kengele ya hatari kwa Ulaya
Nov 23, 2023 06:59Uchaguzi mkuu wa Uholanzi ulifanyika Jumatano, Novemba 22 nchini humo ili kubaini nani ataongoza serikali ijayo ambayo inapaswa kuchukua mamlaka nchini baada ya kuondoka Mark Rutte, ambaye amekuwa waziri mkuu kwa miaka 13.
-
Ushindi wa mrengo wenye misimamo mikali katika uchaguzi wa Uswidi; onyo kwa Ulaya
Sep 16, 2022 08:56Muungano mpya wa kisiasa ulioanzishwa kati ya vuguvugu la mrengo wa kulia wa wastani na wa mrengo mkali wa kulia nchini Uswidi umeshinda uchaguzi wa bunge kwa tofauti ndogo na kuiondoa madarakani serikali ya mrengo wa kushoto ya Uswidi baada ya miaka minane.
-
Jamii ya kimataifa yaikosoa Bahrain kupiga marufuku al-Wefaq
Jun 15, 2016 02:45Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamelaani hatua ya utawala wa Bahrain ya kukipiga marufuku chama kikuu cha upinzani nchini humo cha al-Wefaq.