-
New York Post: Biden ni dhaifu, hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran
Dec 08, 2021 10:56Gazeti la Marekani la New York Post limemtaja rais wa sasa wa nchi hiyo kuwa ni dhaifu na mwenye kutetereka na kwamba hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran katika maeneo mbalimbali ya dunia.
-
Wamarekani wengi wana wasiwasi wa kutokea vita kati ya nchi yao na China
Dec 02, 2021 03:38Uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonyesha kuwa raia wengi wana hofu ya kutokea vita baina ya nchi hiyo na China katika miaka mitano ijayo.
-
Russia na China: Demokrasia ya Kimarekani itashadidisha makabiliano ya kiidiolojia
Nov 27, 2021 09:02Mabalozi wa Russia na China nchini Marekani wamesema, kufanyika kongamano la demokrasia nchini humo kutashadidisha makabiliano ya kiidiolojia duniani.
-
China yaonya kuhusu kurejea vita baridi eneo la Asia-Pasifiki
Nov 11, 2021 06:16Rais Xi Jinping wa China ameonya kuhusu uwezekano wa kurejea mgogoro wa zama za Vita Baridi katika eneo la Asia Pasifiki huku hali ya taharuki ikiendelea kushuhudiwa baina ya Marekani na China kuhusu eneo la China Taipei.
-
China; changamoto kubwa zaidi ya Marekani ya 'jeostratijia'
Oct 29, 2021 05:14Mkuu wa majeshi ya Marekani, Mark Milley amesema kuwa, ametiwa wasiwasi na jaribio la hivi karibuni la kombora la kisasa la China linalozidi kasi ya sauti.
-
China yaitahadharisha Marekani kuhusu Taiwan, yamwambia Biden: Kaa chonjo
Oct 23, 2021 12:13Serikali ya China imejibu matamshi yaliyotolewsa majuzi na Rais Joe Biden wa Marekani kuhusu Taiwan na kumtaka awe na tahadhari zaidi. Beijing imesisitiza kuwa, haitalegeza kamba wala kufanya suluhu kuhusiana na masuala ya kimsingi kama mamlaka yake na mipaka ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Azma ya Iran na China ya kutekeleza Mapatano ya Miaka 25
Oct 17, 2021 04:37Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Watu wa China wamefanya mazungumzo ya simu na kusisitiza kuwa nchi mbili hizi zina azma ya kutekeleza 'Mapatano ya Miaka 25.'
-
Hatua ya Apple kuondoa programu ya Quran Majeed kwenye maduka yake Uchina yazua maswali mengi
Oct 16, 2021 22:56Hatua ya kampuni ya Apple ya Marekani ya kuondoa program ya Quran Majeed katika maduka yake nchini China imezua maswali mengi juu ya malengo na sababu kitendo hicho.
-
Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan
Oct 14, 2021 09:28Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, chaguo la kijeshi halihitajiki kuwa mbadala wa njia ya amani ili kuiwezesha China kuungana na Taiwan.
-
"Mgogoro wa Taiwan kuziingiza China na Marekani kwenye Vita vya Tatu vya Dunia"
Oct 11, 2021 23:03Kiongozi mmoja mwandamizi wa Bunge la Russia amesema kuwa, ugomvi uliopo hivi sasa bina ya Marekani na China kuhusu Taiwan unaweza kuzusha mapigano ya kijeshi baina ya nchi hizo mbili na hata kupelekea kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia.