-
Kukiri Rais wa Ufaransa juu ya kufikia tamati ubeberu wa Magharibi duniani
Aug 29, 2019 00:21Kwa karne kadhaa Wamagharibi wametekeleza ubeberu katika uga wa kimataifa iwe ni katika kipindi cha ukoloni au katika zama za ubeberu; daima walifanya unyonyaji dhidi ya wananchi na mataifa mengine ya dunia.
-
Zarif akiwa Beijing; ramani ya njia ya miaka 25 ya kutekeleza ushirika wa kistratijia baina ya Iran na China
Aug 27, 2019 02:52Mohammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, akiwa anaongoza ujumbe wa ngazi za juu, Jumapili alitembelea China.
-
Zarif: Uhusiano wa Iran na China ni wa pande zote na wa kistratejia
Aug 26, 2019 22:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na China ni wa pande zote na wa kistratejia.
-
Russia na China zaitisha kikao cha Baraza la Usalama la UN dhidi ya Marekani
Aug 22, 2019 01:05Maafisa wa Russia na China wametoa wito wa kufanyika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili mipango ya Marekani ya kustawisha makombora ya masafa ya kati ya kuyapeleka katika baadhi ya maeno ya dunia hususan Asia na Ulaya.
-
Ukosoaji mkali wa Russia na China dhidi ya majaribio ya kombora la Cruise la Marekani
Aug 21, 2019 03:11Mwezi uliopita Rais Trump wa Marekani aliendeleza sera yake ya kujiondoa katika makubaliano na mikataba ya kimataifa kwa kuiondoa nchi hiyo katika mkataba wa Slaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF). Hatua hiyo imetajwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni utangulizi wa ajenda kubwa zaidi ya serikali ya Washington ya kustawisha na kuzalisha silaha mpya.
-
Mashauriano ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan na Russia kuhusiana na Kashmir
Aug 15, 2019 22:05Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan Shah Mehmood Qureshi amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Russia, Sergey Lavrov kuhusiana na hali ya eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.
-
China yaionya Uingereza kuhusu kuchochea ghasia Hong Kong
Aug 11, 2019 03:10China imeionya Uingereza na kuitaka iache kuingilia mambo yake ya ndani baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Dominic Raab kutaka uchunguzi huru ufanyike kuhusu ghasia za hivi karibuni katika koloni lake la zamani, Hong Kong.
-
Radiamali ya Marekani kuhusiana na kufichuliwa njama ya uingiliaji wake Hong Kong
Aug 09, 2019 06:21Marekani imeikosoa China kwa kuonyesha picha za mwanadiplomasia wake aliyeonyeshwa akikutana kwa siri na viongozi wa harakati inayotajwa kuwa ya wanachuo wanaotetea demokrasia huko Hong Kong.
-
Serikali ya China yaamuru nembo za Kiarabu na Kiislamu ziondolewe katika mji mkuu Beijing
Jul 31, 2019 08:22Mamlaka za dola katika mji mkuu wa China, Beijing zimeiamuru mikahawa ya vyakula vilivyo halali kuliwa Kiislamu pamoja na vioski vya vyakula kuondoa maandishi ya Kiarabu na nembo zinazohusiana na Uislamu katika alama za majengo yao, ikiwa ni sehemu ya upanuzi wa kampeni ya kitaifa ya "KuChinisha" jamii ya Waislamu wa nchi hiyo.
-
Larijani: Kustawishwa uhusiano wa Iran na China ni kwa maslahi ya amani na usalama wa dunia
Jul 30, 2019 09:01Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa kustawishwa uhusiano wa Tehran na Beijing ni kwa ajili ya amani na usalama wa dunia na kueleza kuwa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono kuimarishwa uhusiano kati ya nchi mbili.