Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Rais wa China akataa mwaliko wa EU wa kuhudhuria kikao cha kuadhimisha miaka 50 ya uhusiano

    Rais wa China akataa mwaliko wa EU wa kuhudhuria kikao cha kuadhimisha miaka 50 ya uhusiano

    Mar 17, 2025 05:36

    Rais Xi Jinping wa China amekataa mwaliko wa kuhudhuria kikao kilichopangwa kufanyika mjini Brussels kuadhimisha miaka 50 ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi yake na Umoja wa Ulaya.

  • "Luteka ya Mkanda wa Usalama, dhihirisho la uwezo wa Jeshi la Majini la Iran"

    Mar 12, 2025 07:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya 'Mkanda wa Usalama 2025' yanadhihirisha ushujaa na uwezo mkubwa wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu katika medani za kimataifa.

  • China yaituhumu Marekani kuwa na sera za nyuso mbili

    China yaituhumu Marekani kuwa na sera za nyuso mbili

    Mar 08, 2025 06:59

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeutuhumu utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kufuata sera za " nyuso mbili" na kuahidi "kukabiliana kwa uthabiti" na mashinikizo yanayoongezeka ya vikwazo, huku mvutano kati ya nchi hizo mbili zenye nguvu za kiuchumi ukiendelea kutokota.

  • EAC na SADC zawateua marais wastaafu wa Afrika kusuluhisha mzozo wa Kongo DR

    EAC na SADC zawateua marais wastaafu wa Afrika kusuluhisha mzozo wa Kongo DR

    Feb 25, 2025 09:45

    Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, SADC zimewateua Uhuru Kenyatta kutoka Kenya, Olusegun Obasanjo kutoka Nigeria, na Hailemariam Desalegn kutoka Ethiopia kuongoza mazungumzo ya kutatua mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

  • Deep Seek; Kuongezeka mchuano kati ya China na Marekani katika uga wa teknolojia

    Deep Seek; Kuongezeka mchuano kati ya China na Marekani katika uga wa teknolojia

    Feb 20, 2025 08:07

    Kuibuka na kupanuka kwa teknolojia ya hali ya juu katika nyanja mbalimbali, hasa katika uwanja wa akili mnemba (Artificial Intligence) kumesababisha mabadiliko makubwa duniani Katika miaka ya hivi karibuni.

  • China: Kuwepo kwa 'Mfumo wa Kambi Kadhaa' duniani ni jambo lisiloweza kuepukika

    China: Kuwepo kwa 'Mfumo wa Kambi Kadhaa' duniani ni jambo lisiloweza kuepukika

    Feb 17, 2025 03:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi ameashiria mabadiliko ya kimuundo yanayojiri katika mfumo wa kimataifa na kubainisha kuwa nchi yake inatilia mkazo ulazima wa dunia kuelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa.

  • Trump apendekeza Wapalestina wa Ghaza wahamishwe na kupelekwa Misri na Jordan

    Trump apendekeza Wapalestina wa Ghaza wahamishwe na kupelekwa Misri na Jordan

    Jan 26, 2025 11:36

    Rais Donald Trump wa Marekani amependekeza Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza wahamishwe katika ardhi yao hiyo na kupelekwa nchi jirani kama Misri na Jordan, pendekezo lisilo la kawaida ambalo lilipingwa hata na utawala wa mtangulizi wake Joe Biden.

  • WHO yautoa hofu ulimwengu kuhusu virusi vya HMPV

    WHO yautoa hofu ulimwengu kuhusu virusi vya HMPV

    Jan 09, 2025 03:20

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa ongezeko lililoripotiwa la wagonjwa walioathirika katika mfumo wao wa kupumua linalosababishwa na virusi vya Human Metapneumovirus (hMPV) huko China linaendana na mwelekeo wa msimu wa magonjwa ya kawaida ya kupumua, pamoja na mafua ambayo kwa kawaida hufikia kileleni wakati wa miezi ya baridi.

  • China yakanusha kukabiliana na ugonjwa unaoshabihiana na Uviko-19

    China yakanusha kukabiliana na ugonjwa unaoshabihiana na Uviko-19

    Jan 05, 2025 07:43

    China imekadhibisha madai kwamba inakabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kupumua usiofahamika unaofanana na Uviko-19.

  • Trump atoa vitisho vikali dhidi ya BRICS kwa hofu ya kuanzishwa sarafu itayoshindana na US $

    Trump atoa vitisho vikali dhidi ya BRICS kwa hofu ya kuanzishwa sarafu itayoshindana na US $

    Dec 01, 2024 06:09

    Rais mteule wa Marekani Donald Trump ametoa vitisho vikali kwa mataifa wanachama wa jumuiya ya BRICS akisema yatakabiliwa na ushuru wa 100% kwa bidhaa zao ikiwa yatajaribu kuanzisha sarafu ya akiba ili kushindana na sarafu ya dola ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS