-
Wito wa kukabiliana na propaganda chafu dhidi ya Uislamu Marekani
Apr 19, 2016 16:34Kituo cha Kiislamu cha America Kaskazini kimetoa wito wa kukabiliana na wimbi la propaganda chafu dhidi ya Uislamu.
-
Rais Rouhani: Iran imesambaratisha chuki dhidi ya Uislamu
Apr 19, 2016 15:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa kubwa la Iran limesambaratisha njama za madola makubwa na Wazayuni za kueneza chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya Iran
-
UN yatiwa wasi wasi na matamshi ya chuki na ubaguzi katika kampeni za US
Apr 16, 2016 07:25Umoja wa Mataifa umekosoa vikali matamshi ya chuki na kichochezi yanayotolewa na baadhi ya wagombea na hususan wa chama cha Republican katika kampeni za urais nchini Marekani.
-
Waziri wa Ufaransa alazimika kuomba radhi baada ya kukejeli hijabu
Mar 31, 2016 14:18Waziri wa Haki za Wanawake wa Ufaransa amejikuta pabaya baada ya kutoa matamshi ya kuwavunjia heshima wanawake wa Kiislamu na vazi la stara la hijabu.
-
Wimbi jipya la chuki laibuka dhidi ya Uislamu Marekani
Mar 25, 2016 15:52Waislamu nchini Marekani wanakabiliana na wimbi jipya la chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia hata baada ya kuwa wamelaani vikali hujuma ya kigaidi mjini Brussels, Ubelgiji Jumanne hii.
-
Wanawake Waislamu US watakiwa kujifunza mbinu za kujihami
Mar 13, 2016 16:52Baraza la Mahusiano la Waislamu nchini Marekani limewataka wanawake wa Kiislamu nchini humo kujifunza mbinu za kujilinda na kujihami wanaposhambuliwa, wakati huu ambapo chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu zimeongezeka kwa kiasi kikubwa mno.