Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

    Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

    May 14, 2025 12:05

    Rais Donald Trump wa Marekani alianza safari ya siku tatu katika nchi tatu za kusini mwa Ghuba ya Uajemi, Saudi Arabia, Imarati (UAE) na Qatar kuanzia Jumanne, Mei 13.

  • Kurudi nyuma Marekani katika vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen; matunda ya Muqawama wa Wayemen

    Kurudi nyuma Marekani katika vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen; matunda ya Muqawama wa Wayemen

    May 08, 2025 02:23

    Msemaji wa harakati ya Muqawama ya Ansarullah, Muhammad Abdul Salam amesema, Yemen haitaiacha Ghaza peke yake licha ya kufikiwa makubaliano ya kusitisha vita, na kwamba Marekani ndiyo iliyoomba kusitishwa mapigano.

  • Umoja wa Ulaya na juhudi za kupata washirika wapya wa kibiashara

    Umoja wa Ulaya na juhudi za kupata washirika wapya wa kibiashara

    May 07, 2025 02:19

    Vitendo vya Rais Donald Trump wa Marekani hususan kuanza kwa vita vya kibiashara na dunia ambavyo vimesababisha machafuko katika mfumo wa uchumi na biashara wa kimataifa, vimeufanya Umoja wa Ulaya kutaka kupanua na kuimarisha uhusiano wake na nchi za Bahari ya Pasifiki (Trans-Pacific).

  • Kukabiliana mataifa ya Amerika Kusini na vita vya ushuru vya Trump

    Kukabiliana mataifa ya Amerika Kusini na vita vya ushuru vya Trump

    May 05, 2025 13:24

    Wanachama wa Soko la Pamoja la Amerika Kusini (Mercado Común del Sur) wameongeza idadi ya bidhaa zisizo na ushuru kwa bidhaa zinazoangizwa kutoka nje ya jumuiya ya kikanda, katika hatua muhimu dhidi ya vita vya kibiashara vilivyoanzishwa na Rais wa Marekani Donald Trump.

  • Utendaji tata wa Trump katika siku 100 za kwanza za urais wake

    Utendaji tata wa Trump katika siku 100 za kwanza za urais wake

    May 02, 2025 12:59

    Zimepita siku 100 tangu Donald Trump aingie Ikulu ya White House nchini Marekani.

  • Amnesty International: Siku 100 za kwanza za urais wa Trump zimekuwa janga kwa haki za binadamu

    Amnesty International: Siku 100 za kwanza za urais wa Trump zimekuwa janga kwa haki za binadamu

    Apr 30, 2025 06:50

    Katibu Mkuu wa Amnesty International ametangaza kuwa siku 100 za kwanza za urais wa Donald Trump zimekuwa janga kwa haki za binadamu nchini Marekani na kimataifa.

  • Mripuko wa bomu lililotegwa ardhini waua watu 26 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Mripuko wa bomu lililotegwa ardhini waua watu 26 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Apr 29, 2025 07:12

    Watu wapatao 26 wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa wakati magari mawili yalipokanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambacho ni kitovu cha waasi.

  • Mbunge wa Marekani awasilisha ibara saba za hoja za kumsaili Trump kwa lengo la kumuuzulu

    Mbunge wa Marekani awasilisha ibara saba za hoja za kumsaili Trump kwa lengo la kumuuzulu

    Apr 29, 2025 06:51

    Mbunge wa chama cha Democrat katika Bunge la Marekani Shri Thanedar amewasilisha vifungu saba vya hoja ya kumsaili na kumuuzulu rais wa nchi hiyo Donald Trump.

  • Waziri Mkuu mpya wa Greenland amwambia Trump: Greenland haiuzwi

    Waziri Mkuu mpya wa Greenland amwambia Trump: Greenland haiuzwi

    Apr 29, 2025 02:43

    Waziri Mkuu mpya wa Greenland amesisitiza kuwa Greenland haiuzwi. Jens Frederik Nielsen ameeleza haya akimhutubu Rais wa Marekani ambaye ametaka eneo hilo kuunganishwa na Marekani.

  • Trump, Rais wa Marekani anayechukiwa zaidi katika miaka 70 iliyopita

    Trump, Rais wa Marekani anayechukiwa zaidi katika miaka 70 iliyopita

    Apr 29, 2025 02:16

    Donald Trump, rais wa Marekani, alirejea kwa mara ya pili Ikulu ya White House akiwa na kiwango cha juu zaidi cha umaarufu tangu kuanza safari yake ya kisiasa. Hata hivyo, utafiti mpya wa mtandao wa habari wa Marekani, CNN, unaonyesha kuwa umaarufu wa Trump umeshuka hadi kiwango cha chini kabisa karibu na siku ya 100 ya kurejea kwake madarakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS