Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Ripoti: Trump alibadilisha ndege kwa siri nchini Uturuki kutokana na 'tishio la Iran'

    Ripoti: Trump alibadilisha ndege kwa siri nchini Uturuki kutokana na 'tishio la Iran'

    Aug 11, 2026 11:16

    Vyanzo vya habari vya nchini Marekani vimeripoti kuwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo mwezi uliopita alibadilisha kwa siri ndege ya Air Force One na kutumia ndege ndogo ya kijeshi ya Marekani baada ya kuondoka kwenye mkutano wa kilele wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) mjini Ankara, Uturuki, katika operesheni iliyoripotiwa kuchochewa na "tishio la Iran,".

  • Vyombo vya habari Ulaya vyafichua mpango wa kifisadi wa Rais wa FIFA na wandani wa Trump

    Vyombo vya habari Ulaya vyafichua mpango wa kifisadi wa Rais wa FIFA na wandani wa Trump

    Aug 05, 2026 02:38

    Jarida la The Times limefichua kiasi kikubwa cha fedha ambazo rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino, angeweka mfukoni iwapo mpango wa kuuza Kombe la Dunia ungetekelezwa.

  • Baada ya Iran kuapa kuwa itajibu mapigo makali, Trump asitisha mashambulizi dhidi ya miundombinu

    Baada ya Iran kuapa kuwa itajibu mapigo makali, Trump asitisha mashambulizi dhidi ya miundombinu

    Aug 02, 2026 13:15

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema amefuta mashambulizi aliyotangaza kuwa yatafanywa dhidi ya Iran baada ya nchi za eneo kuomba yasitishwe wakati juhudi zinafanywa ili kufikia makubaliano, na kufuatia maonyo yaliyotolewa na Tehran kwamba uchokozi wowote mpya wa Marekani au Israel utakabiliwa na jibu la mapigo makali.

  • Wabunge wa US waanza kuchunguza ufisadi kuhusu FIFA na uhusiano wa Infantino na Trump

    Wabunge wa US waanza kuchunguza ufisadi kuhusu FIFA na uhusiano wa Infantino na Trump

    Jul 28, 2026 13:56

    Mbunge mmoja nchini Marekani wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la nchi hiyo ametangaza kuanzishwa uchunguzi kuhusu shirikisho la soka duniani FIFA, akiongeza kuwa inawezekana kukawepo na uhusiano kati ya shirikisho hilo na serikali ya Rais wa Marekani Donald Trump.

  • Vyombo vya habari Marekani: Trump anataka kumteua rais wa FIFA kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Vyombo vya habari Marekani: Trump anataka kumteua rais wa FIFA kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Jul 22, 2026 10:19

    Rais wa Marekani, Donald Trump, anataka kumteua Rais wa FIFA, Gianni Infantino katika nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.

  • Baqaei: Marekani imeonyesha tena sera yake ya uharibifu kwa kushambulia miundombinu ya Iran

    Baqaei: Marekani imeonyesha tena sera yake ya uharibifu kwa kushambulia miundombinu ya Iran

    Jul 20, 2026 11:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amesema kuwa Marekani imeonyesha kwa mara nyingine tena sera yake ya uharibifu baada ya kufanya mashambulizi dhidi ya miundombinu ya Iran.

  • Malalamiko rasmi dhidi ya Infantino wa FIFA kuhusu uhusiano Wake na Trump

    Malalamiko rasmi dhidi ya Infantino wa FIFA kuhusu uhusiano Wake na Trump

    Jul 11, 2026 04:32

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu na usimamizi wa michezo limetangaza mpango wake wa kuwasilisha malalamiko dhidi ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino, kwa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC). Shirika hilo linamtuhumu Infantino kwa kukiuka mara kwa mara sheria za kutofungamana na upande wowote katika masuala ya kisiasa, kupitia uungaji mkono wake wa wazi na uhusiano wa karibu na Rais wa Marekani, Donald Trump.

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu:

    Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

    Jun 26, 2026 11:16

    Televisheni ya CNN ya Marekani imefichua malumbano makali ya simu baina ya Rais wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel ambapo Donald Trump amemkemea Benjamin Netanyahu, akimwambia: "Wayahudi wote wamekuchoka," huku Marekani ikizidisha mashinikizo kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusu Ukanda wa Gaza.

  • Kiongozi Muadhamu apongeza juhudi za maafisa wa Iran, asema Trump alitamani sana kufikia makubaliano

    Kiongozi Muadhamu apongeza juhudi za maafisa wa Iran, asema Trump alitamani sana kufikia makubaliano

    Jun 19, 2026 04:02

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema maafisa wa Iran wamefanya juhudi kubwa kwa nia njema kufikia makubaliano ya maelewano na Marekani, huku rais wa Marekani akitumia njia mbalimbali za mashinikizo kutokana na kukata tamaa.

  • Baada ya Trump kusherekea bethidei yake ya 80, sasa umri na afya ndio kiini cha mjadala wa kisiasa wa Marekani

    Baada ya Trump kusherekea bethidei yake ya 80, sasa umri na afya ndio kiini cha mjadala wa kisiasa wa Marekani

    Jun 16, 2026 02:53

    Ripoti ya Newsweek inaonyesha kwamba kutimiza umri wa miaka 80 Rais wa Marekani Donald Trump kumerejesha mjadala wa umri na afya ya rais katika mstari wa mbele wa malumbano ya kisiasa nchini Marekani, baada ya yeye mwenyewe kufanya umri na utimamu wa akili wa mtangulizi wake, Joe Biden kuwa moja ya mada kuu za kampeni yake ya uchaguzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS