Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump anataraji kuambulia nini katika safari yake ya Asia?

    Trump anataraji kuambulia nini katika safari yake ya Asia?

    Oct 27, 2025 07:56

    Rais wa Marekani Donald Trump amewasili kwenye eneo la kusini-mashariki mwa Asia kwa ziara ya siku tano.

  • Je, maafa ya Ghuba ya Nguruwe yatakariri kwa Marekani kuhusiana na mvutano wa sasa na Venezuela?

    Je, maafa ya Ghuba ya Nguruwe yatakariri kwa Marekani kuhusiana na mvutano wa sasa na Venezuela?

    Oct 26, 2025 02:22

    Huku uwezekano wa Marekani kuishambulia Venezuela ukiongezeka, kunajitokeza swali kwamba, je hadithi ya Ghuba ya Nguruwe (Bay of Pigs) itakaririwa kuhusiana na Venezuela?

  • Qur'ani inasema nini kuhusu watu wenye kiburi kama Donald Trump

    Qur'ani inasema nini kuhusu watu wenye kiburi kama Donald Trump

    Oct 21, 2025 10:21

    Uchambuzi wa Qur'ani kuhusu tabia ya Donald Trump, rais mtata wa Marekani, unamuonyesha kuwa ni mfano wa wazi wa mtu muovu na mwenye kutakabari.

  • Hizbullah: Trump anajiona mtu wa amani ilhali ni gaidi namba moja duniani

    Hizbullah: Trump anajiona mtu wa amani ilhali ni gaidi namba moja duniani

    Oct 21, 2025 07:02

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Siasa la Hizbullah amesisitiza kuwa, Rais wa Marekani anajiona ni “mtu wa amani” duniani ilhali kiuhalisia yeye ni “mchekeshaji, muigizaji, mdanganyifu na mzandiki, na ndiye gaidi namba moja duniani” aliyemuua shahidi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyed Hassan Nasrullah (Radhi za Allah ziwe juu yake), kwa mabomu ya Marekani.

  • Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano

    Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano

    Oct 20, 2025 09:40

    Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Russia na Ukraine kusimamisha vita katika mstari wa mapigano zilipo hivi sasa, pendekezo ambalo litaiwezesha Moscow kuhodhi sehemu kubwa ya maeneo ya ardhi ya Ukraine.

  • Taa ya kijani ya Trump kwa Israel; Je vita vya Gaza vitaanza tena?

    Taa ya kijani ya Trump kwa Israel; Je vita vya Gaza vitaanza tena?

    Oct 18, 2025 02:29

    Rais Donald Trump wa Marekani ameionyesha Israel taa ya kijani ili ianzishe tena vita katika Ukanda wa Gaza.

  • Iran: Trump hawezi kuwa mtu wa kuleta amani wakati anachochea vita visivyo na mwisho

    Iran: Trump hawezi kuwa mtu wa kuleta amani wakati anachochea vita visivyo na mwisho

    Oct 15, 2025 06:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amemkosoa vikali Donald Trump kwa sera yake ya kuchochea vita katika eneo la Asia Magharibi, akisema rais wa Marekani hawezi kudai anapigania kuleta amani katika eneo hili huku akifuata sera za uchokozi na kufungamana na "wahalifu wa kivita."

  • Maria Machado ashinda tuzo ya amani ya Nobel; Trump aambulia patupu

    Maria Machado ashinda tuzo ya amani ya Nobel; Trump aambulia patupu

    Oct 10, 2025 11:24

    Mwanaharakati wa upinzani wa Venezuela María Corina Machado ameshinda Tuzo ya Amani ya Nobel 2025 kwa ujasiri wa kupigania demokrasia na uchaguzi huru licha ya vitisho. Kamati ya Nobel imemsifu kwa kuunganisha upinzani.

  • Trump amhutubu Netanyahu; Daima una misimamo hasi

    Trump amhutubu Netanyahu; Daima una misimamo hasi

    Oct 06, 2025 07:28

    Rais wa Marekani, Donald Trump amemkemea vikali Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa radimali yake hasi kwa jibu 'chanya' la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas kwa pendekezo la makubaliano ya kusitisha mapigano, ripoti imefichua.

  • Kukaribisha madola ya Ulaya jibu la HAMAS kwa mpango wa Trump; nini sababu zake?

    Kukaribisha madola ya Ulaya jibu la HAMAS kwa mpango wa Trump; nini sababu zake?

    Oct 06, 2025 02:18

    Katika hatua iliyoratibiwa, viongozi wa nchi kubwa za Ulaya wamekaribisha jibu la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) kwa mpango wa Trump kuhusu Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS