Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Mbunge wa Marekani asema Trump ni mtendajinai

    Mbunge wa Marekani asema Trump ni mtendajinai

    May 02, 2026 10:01

    Mbunge wa chama cha Democratic wa Marekani amemtaja Donald Trump Rais wa nchi hiyo kuwa ni mhalifu mtendajinai.

  • Mchambuzi wa siasa wa Marekani: Trump ndiye gaidi zaidi duniani

    Mchambuzi wa siasa wa Marekani: Trump ndiye gaidi zaidi duniani

    Apr 30, 2026 10:27

    Mchambuzi wa siasa wa Marekani, Kyle Kolinsky, amesema: Donald Trump, rais wa nchi hii, ndiye gaidi mkubwa zaidi duniani.

  • Qalibaf ajibu madai ya Trump na Waziri wa Fedha wa US

    Qalibaf ajibu madai ya Trump na Waziri wa Fedha wa US

    Apr 30, 2026 10:21

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amejibu madai ya Rais wa Marekani na majigambo ya Waziri wa Fedha wa utawala huo wa kigaidi kupitia ujumbe uliotumwa katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X.

  • Je, Marekani Inao Utayari wa Kuachana na Sera na Ndoto Yake ya Kuipigisha Magoti Iran?

    Je, Marekani Inao Utayari wa Kuachana na Sera na Ndoto Yake ya Kuipigisha Magoti Iran?

    Apr 29, 2026 03:38

    Jake Sullivan, mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani katika serikali ya Joe Biden, ametoa taswira wadhiha na ya wazi ya sifa maalumu za mwenendo wa Iran katika mazungumzo ambayo inaweza kuwa ramani ya njia ya kuinasua serikali ya Marekani kwenye mkwamo ilionasa ndani yake hivi sasa. Sullivan ametoa taswira hiyo katika mahojiano na jarida la Foreign Affairs.

  • New York Times: Trump ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani; Amekwama katika kinamasi cha Iran

    New York Times: Trump ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani; Amekwama katika kinamasi cha Iran

    Apr 28, 2026 09:37

    Gazeti la Kimarekani la New York Times limemtaja Donald Trump kuwa ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani.

  • Ufyatuaji Risasi Uliotokea Kwenye Hadhara ya Viongozi Wakuu wa US Utakuwa na Matokeo Gani?

    Ufyatuaji Risasi Uliotokea Kwenye Hadhara ya Viongozi Wakuu wa US Utakuwa na Matokeo Gani?

    Apr 28, 2026 04:55

    Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa, mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 31 aitwaye Cole Thomas Allen, ambaye alikuwa amedhamiria kuwashambulia kwa bunduki viongozi wakuu wa Marekani, amejeruhiwa na kutiwa nguvuni. Kwa mara nyingine tena, Marekani imeshuhudia tukio la ufyatuaji risasi kwenye hadhara ya viongozi wake wakuu akiwemo rais wake Donald Trump; mara hii ikiwa ni katika mkutano wa kila mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari wa Ikulu ya nchi hiyo, White House.

  • Trump atoroka baada ya ufyatuaji risasi kwenye dhifa ya waandishi wa habari wa White House

    Trump atoroka baada ya ufyatuaji risasi kwenye dhifa ya waandishi wa habari wa White House

    Apr 26, 2026 09:16

    Rais wa Marekani, Donald Trump na mkewe, Melania, waliondolewa kwenye Dhidi ya Waandishi wa Habari wa Ikulu ya White House (WHCA) baada ya ripoti za milio ya risasi kusababisha uingiliaji wa haraka wa Jeshi la Polisi.

  • Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake

    Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake

    Apr 22, 2026 16:24

    Tofauti zilizozuka kati ya Trump na Papa Leo wa 14 hazitokani na masuala ya kisiasa pekee, lakini zimesababishwa zaidi na hulka ya majivuno na ya kujikweza aliyonayo rais huyo wa sasa wa Marekani.

  • Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka

    Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka

    Apr 19, 2026 10:39

    Mshauri wa Mkuu wa zamani mkuu wa Ikulu ya White House wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump ameonya kuwa upungufu wa akili wa rais wa Marekani umeongezeka kwa kiasi kikubwa.

  • Kinara wa Liberal Democrats Uingereza asema Trump ni jambazi fisadi na hatari

    Kinara wa Liberal Democrats Uingereza asema Trump ni jambazi fisadi na hatari

    Apr 15, 2026 08:12

    Mwanasiasa wa Uingereza amemtaja Donald Trump, rais wa Marekani, kuwa jambazi fisadi na hatari, na kusisitiza kuwa kitendo chake cha kuzingira Mlango-Bahari wa Hormuz kinaweza kuhatarisha usitishaji mapigano dhaifu kati ya Tehran na Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS