-
Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump
Feb 28, 2026 05:41Kadiri matamshi ya kivita yanavyozidi kutoka kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, pamoja na baadhi ya maafisa wa utawala wake, wimbi jipya la upinzani dhidi ya uwezekano wa a vita vya kichochezi vya Marekani dhidi ya Iran limeanza kushika kasi.
-
Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani
Feb 26, 2026 03:17Rais wa Marekani Donald Trump amekoleza maradufu moto wa kampeni yake ya kueneza sumu dhidi ya Iran kwa kurudia tena tuhuma hewa za kila mara kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
-
Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake
Feb 26, 2026 02:33Ingawa Marekani daima inapiga ngoma ya vita na kutishia kuishambulia Iran kwa kutuma manowari na zana nyingine nzito za kijeshi katika maji yaliyo karibu na Iran, lakini ukweli wa mambo unaashiria hali tofauti kabisa.
-
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran
Feb 25, 2026 07:00Kiongozi wa wabunge wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, Rais wa Marekani Donald Trump anasema uwongo kuhusu Iran.
-
'Hapana, asante': Jibu la Waziri Mkuu wa Greenland kwa Trump kuhusu kuwapatia meli ya hospitali
Feb 24, 2026 04:06Waziri Mkuu wa Greenland Jens-Frederik Nielsen ameikataa ofa ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kutuma meli ya hospitali katika eneo hilo la Denmark linalojiendeshea mambo yake, ambalo Trump amekuwa akilifuatilia kwa muda mrefu ili kulinyakua.
-
Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump
Feb 22, 2026 06:30Maoni ya umma nchini Marekani katika mwaka huu wa 2026, yanapinga vikali chokochoko yoyote mpya ya kijeshi dhidi ya Iran. Fikra za walio wengi nchini Marekani zina mtazamo hasi kuhusiana na sera za kupenda vita za Rais mtata Donald Trump.
-
Uhispania: Ilikuwa ni 'makosa' Kamishna wa EU kuhudhuria mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump
Feb 21, 2026 11:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania Jose Manuel Albares amesema, ilikuwa ni "makosa" kwa Kamishna wa Umoja wa Ulaya kuhudhuria mkutano wa uzinduzi wa 'Bodi ya Amani' ya Rais wa Marekani Donald Trump mjini Washington.
-
Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump
Feb 20, 2026 03:25Shinikizo la kisiasa la vyama vikuu vyenye mielekeo ya Kiislamu nchini Pakistan kwa serikali ya nchi hiyo la kuitaka ijiondoe katika kile kiitwacho 'Bodi ya Amani' ya Trump limeongezeka.
-
Vatican, Mexico nazo pia zaukataa uanachama katika 'Bodi ya Amani' ya Trump
Feb 18, 2026 10:30Vatican haitashiriki katika mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa iitwayo "Bodi ya Amani". Hayo yameelezwa na afisa mkuu wa kidiplomasia wa Vatican Kardinali Pietro Parolin, huku akisisitiza kwamba juhudi za kushughulikia hali za mgogoro inapasa zisimamiwe na Umoja wa Mataifa.
-
Israel yakasirishwa na kauli ya kumdhalilisha rais wake iliyotolewa na Trump
Feb 15, 2026 03:26Duru zilizo karibu na rais wa utawala wa kizayuni wa Israel zimeyaelezea matamshi ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kumtusi na kumdhalilisha rais wa utawala huo Isaac Herzog kuwa ni uvukaji mistari myekundu.