Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Maonyesho ya

    Maonyesho ya "Kisiwa cha Dhambi" yafanyika Magharibi mwa Kabul

    May 22, 2026 04:09

    Maonyesho maalumu ya yanayodhihirisha uhalifu wa nchi za kibeberu pamoja na kashfa za kingono za viongozi wa nchi za Magharibi yaliyopewa jina "Kisiwa cha Dhambi" yanafanyika magharibi mwa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma?

    Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma?

    May 19, 2026 09:35

    Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema, kutokana na “hali ya kijamii” ya Marekani inayozidi kuwa mbaya, haitazami tena nchi hiyo kwa jicho la mahala pa kuwashauri watoto wake wakasome au kufanya kazi.

  • Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu

    Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu

    May 16, 2026 11:59

    Chuck Schumer, Kiongozi wa Wachache katika Seneti ya Marekani, amesema kwamba safari ya Rais Donald Trump nchini China haikuwa na mafanikio yoyote kwa watu wa Marekani na ilikuwa fedheha kamili.

  • Madaktari wa magonjwa ya akili wa Marekani: Trump anapasa kuuzuliwa mamlakani

    Madaktari wa magonjwa ya akili wa Marekani: Trump anapasa kuuzuliwa mamlakani

    May 14, 2026 10:11

    Makumi ya madaktari wa magonjwa ya akili na wataalam wakuu wa afya ya akili nchini Marekani wametia saini taarifa ambayo imemtaja Rais Donald Trump kuwa "hatari ya wazi na ya haraka" na kutaka hatua za haraka zichukuliwe ili kumuondoa madarakani.

  • Viongozi wa dini wafanya maandamano ya amani ya 'Moral Monday' mjini Washington kulaani 'vita visivyo vitakatifu' vya Trump

    Viongozi wa dini wafanya maandamano ya amani ya 'Moral Monday' mjini Washington kulaani 'vita visivyo vitakatifu' vya Trump

    May 13, 2026 12:11

    Viongozi wa imani za dini walifanya maandamano ya amani ya Jumatatu ya Maadili (Moral Monday) nje ya Ikulu ya White House dhidi ya 'vita visivyo vitakatifu' katika eneo la Asia Magharibi.

  • Uchunguzi wa Maoni: Wamarekani waliowengi wanasema Trump hakuwa na hoja ya wazi ya vita dhidi ya Iran

    Uchunguzi wa Maoni: Wamarekani waliowengi wanasema Trump hakuwa na hoja ya wazi ya vita dhidi ya Iran

    May 12, 2026 09:12

    Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa asilimia 66 Wamarekani wanaamini kuwa Rais Donald Trump ameshindwa kutoa hoja iliyo wazi kuhusu vita vya kichokozi vya na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Aidha Wamarekani waliwengi wanasema wamekumbwa na hali ngumu ya kifedha kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta baada ya mashambulizi hayo.

  • Njozi za Marekani Kujiona Dola Lenye Nguvu za Kipekee Zimefikia Ukingoni?

    Njozi za Marekani Kujiona Dola Lenye Nguvu za Kipekee Zimefikia Ukingoni?

    May 05, 2026 14:02

    Profesa Jeffrey Sachs wa Chuo Kikuu cha Columbia amesema: "Vita vya Iran ndio wakati ambapo dhana ya Marekani kuwa dola lenye nguvu za kipekee ilikumbana na ukweli halisi."

  • Trump ataka kufichwa picha za vituo vya Marekani vilivyoharibiwa na Iran

    Trump ataka kufichwa picha za vituo vya Marekani vilivyoharibiwa na Iran

    May 05, 2026 11:44

    Donald Trump, Rais wa Marekani, amezitaka kampuni za satalaiti kuficha picha za vituo na kambi za kijeshi za Marekani zilizoharibiwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Asia ya Magharibi.

  • Mshukiwa wa jaribio la mauaji apigwa risasi karibu na Ikulu ya White House

    Mshukiwa wa jaribio la mauaji apigwa risasi karibu na Ikulu ya White House

    May 05, 2026 11:34

    Maafisa wa serikali ya Marekani wamesema kwamba maajenti wa Huduma za Siri (Secret Service) wamempiga risasi na kumjeruhi mwanaume aliyekuwa na silaha katikati mwa jiji la Washington, D.C., karibu na Mnara wa Washington siku ya Jumanne, na kusababisha kufungwa kwa muda Ikulu ya White House.

  • John Mearsheimer: Vita dhidi ya Iran ni kushindwa mutlaki Marekani

    John Mearsheimer: Vita dhidi ya Iran ni kushindwa mutlaki Marekani

    May 04, 2026 10:27

    Mnadharia wa mahusiano ya kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amevitaja vita dhidi ya Iran kuwa ni kosa lenye janga kubwa zaidi katika historia ya sera za kigeni na kushindwa kabisa kwa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS