-
Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu
May 14, 2025 12:05Rais Donald Trump wa Marekani alianza safari ya siku tatu katika nchi tatu za kusini mwa Ghuba ya Uajemi, Saudi Arabia, Imarati (UAE) na Qatar kuanzia Jumanne, Mei 13.
-
Kurudi nyuma Marekani katika vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen; matunda ya Muqawama wa Wayemen
May 08, 2025 02:23Msemaji wa harakati ya Muqawama ya Ansarullah, Muhammad Abdul Salam amesema, Yemen haitaiacha Ghaza peke yake licha ya kufikiwa makubaliano ya kusitisha vita, na kwamba Marekani ndiyo iliyoomba kusitishwa mapigano.
-
Umoja wa Ulaya na juhudi za kupata washirika wapya wa kibiashara
May 07, 2025 02:19Vitendo vya Rais Donald Trump wa Marekani hususan kuanza kwa vita vya kibiashara na dunia ambavyo vimesababisha machafuko katika mfumo wa uchumi na biashara wa kimataifa, vimeufanya Umoja wa Ulaya kutaka kupanua na kuimarisha uhusiano wake na nchi za Bahari ya Pasifiki (Trans-Pacific).
-
Kukabiliana mataifa ya Amerika Kusini na vita vya ushuru vya Trump
May 05, 2025 13:24Wanachama wa Soko la Pamoja la Amerika Kusini (Mercado Común del Sur) wameongeza idadi ya bidhaa zisizo na ushuru kwa bidhaa zinazoangizwa kutoka nje ya jumuiya ya kikanda, katika hatua muhimu dhidi ya vita vya kibiashara vilivyoanzishwa na Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Utendaji tata wa Trump katika siku 100 za kwanza za urais wake
May 02, 2025 12:59Zimepita siku 100 tangu Donald Trump aingie Ikulu ya White House nchini Marekani.
-
Amnesty International: Siku 100 za kwanza za urais wa Trump zimekuwa janga kwa haki za binadamu
Apr 30, 2025 06:50Katibu Mkuu wa Amnesty International ametangaza kuwa siku 100 za kwanza za urais wa Donald Trump zimekuwa janga kwa haki za binadamu nchini Marekani na kimataifa.
-
Mripuko wa bomu lililotegwa ardhini waua watu 26 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Apr 29, 2025 07:12Watu wapatao 26 wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa wakati magari mawili yalipokanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambacho ni kitovu cha waasi.
-
Mbunge wa Marekani awasilisha ibara saba za hoja za kumsaili Trump kwa lengo la kumuuzulu
Apr 29, 2025 06:51Mbunge wa chama cha Democrat katika Bunge la Marekani Shri Thanedar amewasilisha vifungu saba vya hoja ya kumsaili na kumuuzulu rais wa nchi hiyo Donald Trump.
-
Waziri Mkuu mpya wa Greenland amwambia Trump: Greenland haiuzwi
Apr 29, 2025 02:43Waziri Mkuu mpya wa Greenland amesisitiza kuwa Greenland haiuzwi. Jens Frederik Nielsen ameeleza haya akimhutubu Rais wa Marekani ambaye ametaka eneo hilo kuunganishwa na Marekani.
-
Trump, Rais wa Marekani anayechukiwa zaidi katika miaka 70 iliyopita
Apr 29, 2025 02:16Donald Trump, rais wa Marekani, alirejea kwa mara ya pili Ikulu ya White House akiwa na kiwango cha juu zaidi cha umaarufu tangu kuanza safari yake ya kisiasa. Hata hivyo, utafiti mpya wa mtandao wa habari wa Marekani, CNN, unaonyesha kuwa umaarufu wa Trump umeshuka hadi kiwango cha chini kabisa karibu na siku ya 100 ya kurejea kwake madarakani.