-
Bunge la Marekani lapitisha hatua ya kupunguza mamlaka ya vita ya Trump dhidi ya Iran
Jun 04, 2026 03:32Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha azimio linalolenga kupunguza mamlaka ya vita ya Rais Donald Trump kuhusiana na Iran, ikiwa ni ishara ya changamoto kubwa kwa jinsi utawala wa Trump unavyoshughulikia uchokozi wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Shirikisho la Soka la Norway laiomba FIFA kuchunguza tuzo ya amani ya Trump
Jun 03, 2026 04:07Shirikisho la Soka la Norway (NFF) lilisema jana Jumanne kwamba limeiomba kamati ya maadili ya FIFA kuchunguza tuzo ya amani iliyotolewa na baraza linalosimamia soka duniani kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.
-
Israel yafuta mpango wa kushambulia Beirut baada ya onyo kali la Iran
Jun 02, 2026 09:12Utawala wa Israel umeachana na mpango wake wa kufanya mashambulizi makali ya ya kijeshi dhidi ya mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Haya yameelezwa siku ya Jumatatu na Rais wa Marekani, Donald Trump, kufuatia onyo kali kutoka kwa Iran kwamba haitavumilia wimbi jipya la uvamizi dhidi ya Beirut, hatua ambayo ingekiuka makubaliano ya kusitisha vita kati ya Iran na Marekani.
-
Simulizi la Wall Street Journal kuhusu vita vya Marekani dhidi ya Iran: Ni ushindi wa kimaonyesho wa Trump au kushindwa halisi?
May 31, 2026 12:50Mhariri mkuu wa Wall Street Journal amesema: "Trump analazimika kudhihirisha kushindwa kwake mbele ya Iran kama ushindi ili kulinda sura na hadhi yake."
-
CNN: Trump amezitishia au kuzishambulia nchi 15 akiwa madarakani
May 29, 2026 03:05Ripoti ya televisheni ya CNN imeeleza kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amezitishia, ameeleza wazi uwezekano wa kufanya mashambulizi au amezishambulia nchi 15 katika mihula yake miwili ya uongozi; yaani kwa mahesabu ya haraka amefanya hivyo kwa nchi moja kati ya kila nchi 13 duniani.
-
Kamanda Talaei-Nik: Trump hana chaguo ila kukubali haki ya Iran
May 23, 2026 12:29Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Iran amesema: "Kushindwa adui kufungamana na matakwa halali ya taifa la Iran kutasababisha gharama kubwa na kushindwa zaidi adui Mzayuni na Marekani."
-
Mkuu wa ujasusi wa Trump ajiuzulu kwa mashinikizo ya White House kuhusu vita haramu dhidi ya Iran
May 23, 2026 03:01Mkurugenzi wa Ujasusi wa Kitaifa (DNI) wa Rais wa Marekani, Donald Trump, Tulsi Gabbard, amejiuzulu kutokana na shinikizo kubwa la Ikulu ya White House baada ya kupinga vikali vita haramu na vya uchokozi vya Marekani dhidi ya Iran.
-
Maonyesho ya "Kisiwa cha Dhambi" yafanyika Magharibi mwa Kabul
May 22, 2026 04:09Maonyesho maalumu ya yanayodhihirisha uhalifu wa nchi za kibeberu pamoja na kashfa za kingono za viongozi wa nchi za Magharibi yaliyopewa jina "Kisiwa cha Dhambi" yanafanyika magharibi mwa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
-
Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma?
May 19, 2026 09:35Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema, kutokana na “hali ya kijamii” ya Marekani inayozidi kuwa mbaya, haitazami tena nchi hiyo kwa jicho la mahala pa kuwashauri watoto wake wakasome au kufanya kazi.
-
Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu
May 16, 2026 11:59Chuck Schumer, Kiongozi wa Wachache katika Seneti ya Marekani, amesema kwamba safari ya Rais Donald Trump nchini China haikuwa na mafanikio yoyote kwa watu wa Marekani na ilikuwa fedheha kamili.