Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Ubelgiji kupiga marufuku simu za mkononi maskulini kuanzia mwaka wa masomo wa 2025-2026

    Ubelgiji kupiga marufuku simu za mkononi maskulini kuanzia mwaka wa masomo wa 2025-2026

    Aug 19, 2025 06:12

    Matumizi ya simu za mkononi na vifaa vingine vya kielektroniki yatapigwa marufuku nchini kote Ubelgiji katika skuli za msingi na sekondari kuanzia mwaka wa masomo wa 2025-2026, isipokuwa vitakapolazimu kutumika kwa sababu za kimasomo, kiafya, au za dharura. Hayo yameripotiwa na vyombo vya habari vya ndani ya nchi hiyo.

  • Ni yapi matokeo ya mkutano wenye utata wa Trump na Putin?

    Ni yapi matokeo ya mkutano wenye utata wa Trump na Putin?

    Aug 16, 2025 11:27

    Hatimaye, baada ya kusubiri kwa muda mrefu na uvumi kuhusu mkutano kati ya Marais Donald Trump wa Marekani na Vladimir Putin wa Russia kuhusu vita vya Ukraine, mkutano huo hatimaye ulifanyika Ijumaa, Agosti 15 huko Alaska.

  • Nchi zinazoibukia kiuchumi zimejibu vipi vita vya ushuru vya Trump?

    Nchi zinazoibukia kiuchumi zimejibu vipi vita vya ushuru vya Trump?

    Aug 09, 2025 11:29

    Mataifa matatu yanayoinukia kiuchumi, Brazil, India na Uchina, yamejibu vikali hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ya kupandisha ushuru wa forodha kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

  • Trump atumia lugha ya uamrishaji kuzitaka nchi za Asia Magharibi zianzishe uhusiano na Israel

    Trump atumia lugha ya uamrishaji kuzitaka nchi za Asia Magharibi zianzishe uhusiano na Israel

    Aug 08, 2025 10:42

    Rais Donald Trump wa Marekani amezitaka nchi za Asia Magharibi zianzishe uhusiano rasmi wa kidiplomasia na utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?

    Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?

    Aug 08, 2025 02:11

    Siku ya Jumatano, Agosti 6, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini amri ya kuweka ushuru wa ziada wa asilimia 25 dhidi ya bidhaa za India ili kukabiliana na hatua ya nchi hiyo ya kuendelea kununua mafuta ya Russia, na hivyo kuongeza ushuru jumla kwa bidhaa za India hadi asilimia 50.

  • Je, Afrika Kusini inafanya nini kukabiliana na ushuru mpya wa kibiashara wa Marekani?

    Je, Afrika Kusini inafanya nini kukabiliana na ushuru mpya wa kibiashara wa Marekani?

    Aug 07, 2025 08:19

    Wizara ya Biashara ya Afrika Kusini imetangaza kuwa imechukua hatua kadaa mpya za kukabiliana na ushuru mpya wa kibiashara wa Marekani.

  • Kwa nini majimbo ya Marekani yanaadhibiwa kwa sababu ya kuitetea Palestina?

    Kwa nini majimbo ya Marekani yanaadhibiwa kwa sababu ya kuitetea Palestina?

    Aug 05, 2025 14:24

    Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kukata bajeti ya dharura ya kukabiliana na majanga ya asili na kudhamini usalama wa ndani wa majimbo na miji ya Marekani inayounga mkono Palestina na kususia makampuni ya Israel.

  • UN: Tangu Mei, Wapalestina 1,500 wameuawa Ghaza wakihangaika kupata msaada wa chakula

    UN: Tangu Mei, Wapalestina 1,500 wameuawa Ghaza wakihangaika kupata msaada wa chakula

    Aug 05, 2025 07:11

    Umoja wa Mataifa umesema Wapalestina 1,500 wameuawa huko Ghaza tangu mwezi Mei hadi sasa wakati wanahangaika kutafuta msaada wa kibinadamu.

  • Nyaraka za UK: Mubarak aliidhinisha mpango wa US na UK wa 'kumdhalilisha' Saddam Kuwait

    Nyaraka za UK: Mubarak aliidhinisha mpango wa US na UK wa 'kumdhalilisha' Saddam Kuwait

    Aug 03, 2025 05:40

    Nyaraka za siri za Uingereza zilizowekwa hadharani hivi karibuni zimefichua kwamba rais wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, aliunga mkono mpango wa Marekani na Uingereza wa kumshinda kijeshi na kumdhalilisha Saddam Hussein wakati wa Vita vya Ghuba ya Uajemi, huku akitabiri pia kwamba kushindwa huko kijeshi kungepelekea kuanguka kiongozi huyo wa Iraq.

  • Sweden: Ukraine lazima iseme 'ndiyo' kwa ndoa za jinsia moja kama sharti la kujiunga na EU

    Sweden: Ukraine lazima iseme 'ndiyo' kwa ndoa za jinsia moja kama sharti la kujiunga na EU

    Aug 02, 2025 11:48

    Waziri Mkuu wa Sweden Ulf Kristersson amesema, Ukraine inapaswa kutoa ulinzi kamili wa kisheria kwa 'mashoga', ikiwa ni pamoja na wa ndoa za jinsia moja, kama sehemu ya juhudi zake za kupigania kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya,

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS