-
Waislamu Marekani waandamana dhidi ya uamuzi wa Trump kuhusu Quds
Dec 17, 2017 08:44Maelfu ya Waislamu wa Marekani wamefanya maandamano wakipinga hatua ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ya kuitambua rasmi Quds kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.
-
Wapalestina waandamana katika "Ijumaa ya Ghadhabu" dhidi ya Trump
Dec 15, 2017 13:32Raia wa Palestina leo Ijumaa wamefanya maandamano katika ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu chini ya anwani "Ijumaa ya Hasira" ili kulalamikia na kupinga hatua ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuutangaza mji mtakatifu wa Quds kuwa mji mkuu wa Israel.
-
Tunisia yabadilisha jina la vituo vya TAXI na kuita Quds
Dec 15, 2017 00:48Chama cha wamiliki wa TAXI nchini Tunisia kimebadilisha jina la vituo vyake na kuviita Quds kama njia ya kulalamikia uamuzi wa Marekani wa kuitambua rasmi Quds kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Uchunguzi: Wamarekani wengi wanamtambua Trump kuwa ni "mpumbavu"
Dec 13, 2017 11:55Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani yanaonesha kuwa, neno "mbumbavu" ndilo linaloingia katika bongo na fikra za Wamarekani wengi baada ya kusikia jina la Rais wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Rouhani: Uamuzi wa Trump dhidi ya Quds ni sehemu ya njama za Wazayuni, Wamarekani dhidi ya Ulimwengu wa Kiislamu
Dec 12, 2017 13:13Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja kuwa wa kijuba na ulio kinyume cha sheria uamuzi wa Rais wa Marekani kuhamisha ubalozi wa nchi hiyo kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu na kuongeza kuwa: "Mpango huu ni sehemu ya njama za Wazayuni na Wamarekani dhidi ya Ulimwengu wa Kiislamu."
-
Bunge la Iran: Quds ni kibla cha kwanza cha Waislamu na ni ya Umma wote wa Kiislamu
Dec 12, 2017 12:56Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, wamesema uamuzi wa Rais wa Marekani kutambua Quds Tukufu (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala bandia wa Israel ni dalili ya wazi kabisa ya kutokuwa na utambulisho utawala huo wa Kizayuni.
-
Wabunge 56 wanawake wa US wataka kashfa za ngono za Trump zichunguzwe
Dec 12, 2017 04:48Makumi ya wabunge wanawake wa chama cha Democratic nchini Marekani wameitaka Kamati ya Usimamizi ya Bunge la nchi hiyo ianzishe uchunguzi mara moja kuhusu tuhuma za unyanyasaji wa kingono zinazomuandama Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Larijani: Hatua ya Trump dhidi ya Quds ni kujaribu kuficha kushindwa Marekani katika eneo hili
Dec 11, 2017 23:07Mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Iran amesema kuwa, kitendo cha rais wa Marekani, Donald Trump cha kuitangaza Quds ambayo ina Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa Israel, ni kujaribu kuficha kufeli siasa za Marekani katika eneo hili.
-
Wanawake walionyanyaswa kingono na Trump waitaka Kongresi kufanya uchunguzi
Dec 11, 2017 11:14Wanawake wanaomtuhumu Rais Donald Trump wa Marekani kwamba aliwanyanyasa kingono wamelitaka Bunge la nchi hiyo (Kongresi) kufanya uchunguzi kuhusu kashfa za kimaadili za kiongozi huyo.
-
Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump
Dec 11, 2017 11:02Wananchi wa Mauritania wameungana na Waislamu na wapenda haki katika kona zote za dunia kuendeleza maandamano ya kumlaani rais wa Marekani, Donald Trump kwa hatua yake ya kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.