• Newsweek: Serikali ya Trump inaficha ugaidi wa ndani unaofanywa na wazungu

    Newsweek: Serikali ya Trump inaficha ugaidi wa ndani unaofanywa na wazungu

    Sep 25, 2020 08:23

    Jarida la kila wiki la Newsweek nchini Marekani limechapisha makala ya mshauri wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo (Pentagon) Jasmine el Gamal ambaye amesema kuwa licha ya kupita mwaka mmoja sasa tangu Wizara ya Usalama wa Ndani ya Marekani iliyoanzishwa baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 kutangaza azma yake ya kupambana na ugaidi wa ndani na vitisho vya wazungu wenye misimamo mikali, lakini uchunguzi unaonesha kuwa, wizara hiyo haijachukua hatua yoyote katika uwanja huo.

  • Maseneta wa Marekani: Siasa za Trump zimeifanya Iran iwe imara zaidi

    Maseneta wa Marekani: Siasa za Trump zimeifanya Iran iwe imara zaidi

    Sep 25, 2020 07:33

    Maseneta wa chama cha Democratic nchini Marekani wamekiri kwamba siasa za serikali ya Washington zimepelekea kuimarika zaidi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutengwa Marekani duniani.

  • Trump atabiri matokeo ya uchaguzi wa rais wa Marekani kuamuliwa na Mahakama Kuu

    Trump atabiri matokeo ya uchaguzi wa rais wa Marekani kuamuliwa na Mahakama Kuu

    Sep 25, 2020 02:34

    Rais wa Marekani ametabiri kuwa huenda hatima ya matokeo ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo ikaamuliwa na Mahakama Kuu.

  • Ujerumani yamshutumu vikali Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa Luteni Soleimani

    Ujerumani yamshutumu vikali Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa Luteni Soleimani

    Sep 24, 2020 02:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amemshutumu na kumlaumu vikali rais wa Marekani, Donald Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Walinzi wa Mapiduzi ya Kiislamu SEPAH.

  • Msimamo mmoja wa kundi la 4+1 mbele ya madai hewa ya Marekani kuhusu Iran

    Msimamo mmoja wa kundi la 4+1 mbele ya madai hewa ya Marekani kuhusu Iran

    Sep 21, 2020 10:33

    Licha ya Marekani kutoa madai hewa ya kuanza kutekelezwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran kuanzia jana Jumapili Septemba 20, 2020 vikiwemo vikwazo vya silaha, lakini mataifa ya dunia yamepinga madai hayo ya Washington na yamechukua msimamo imara kiasi kwamba inaonekana kama vile hakuna mabadiliko yoyote yaliyotokea.

  • Biden amtaka Trump ang'atuke madarakani

    Biden amtaka Trump ang'atuke madarakani

    Sep 20, 2020 07:19

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrat amemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump ang'atuke madarakani kwa sababu ya uongozi mbovu alioonyesha katika kukabiliana na virusi vya corona.

  • Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Sep 19, 2020 11:04

    Baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, serikali ya Rais Donald Trump ilizidisha mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa shabaha ya eti kulemaza uchumi wa Iran na imekuwa ikitumia kila liwezekanalo kuanzisha vita vya kinafsi na kisaikolojia ikiwa ni pamoja na kutoa vitisho dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Ilhan Omar: Trump ni dikteta na mbaguzi wa rangi

    Ilhan Omar: Trump ni dikteta na mbaguzi wa rangi

    Sep 19, 2020 04:28

    Ilhan Omar, Mbunge mwanamke Muislamu katika Kongresi ya Marekani amesema, rais wa nchi hiyo Donald Trump ni mtu dikteta na mbaguzi wa rangi.

  • Shamkhani amwambia Trump: Wanaowaua Wairani watapelekwa jongomeo

    Shamkhani amwambia Trump: Wanaowaua Wairani watapelekwa jongomeo

    Sep 17, 2020 08:11

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amejibu vitisho vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran na kusema: Wanaoamuru na watekelezaji wa mauaji ya wana wa Iran kama diteta wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein na wengineo, watapelekwa jongomeo.

  • Zarif amwambia Donald Trump: Ni wakati wa kuamka

    Zarif amwambia Donald Trump: Ni wakati wa kuamka

    Sep 16, 2020 07:49

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amenusha propaganda chafu zinazofanywa na vyombo vya habari vya Magharibi kuhusu madai eti Iran inafanya mpango wa kumuua balozi Marekani nchini Afrika Kusini na kusema huu ni wakati wa kuamka.