-
Makanisa ya Wamarekani weusi: Trump anaunga mkono ugaidi wa wazungu
Sep 16, 2020 03:16Viongozi wa kanisa la Wamarekani wenye asili ya Afrika (AME) wamemtuhumu Rais wa nchi hiyo, Donald Trump kuwa anaunga mkono ugaidi wa wazungu dhidi ya wasiokuwa wazungu katika propaganda zake za uchaguzi wa rais.
-
Kukiri Biden kufeli siasa za Trump mbele ya Iran
Sep 15, 2020 07:21Huku wakati wa kufanyika uchaguzi wa Rais wa mwezi Novemba 2020 ukizidi kukabiria nchini Marekani, wagombea wawili wa uchaguzi huo, yaani rais wa hivi sasa Donald Trump na mpinzani wake Joe Biden wa chama cha Democrats kila mmoja amekuwa akitangaza misimamo yake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo misimamo yao kuhusu Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran
Sep 12, 2020 07:24Baada ya kugonga mwamba hatua za kila aina ilizojaribu kuchukua Marekani ili kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, Washington iliibua dai la kutaka kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran, ambavyo viliondolewa baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA;
-
Mahakama ya Marekani yataka kusailiwa maafisa wanne wa Saudi Arabia kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11
Sep 11, 2020 14:22Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 Marekani ilijinadi kuwa kinara wa mapambano dhidi ya ugaidi duniani na ikachukua hatua ya kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan.
-
Zarif amhutubu Trump: Hakuna vita vibaya na vita vizuri
Sep 11, 2020 08:12Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemhutubu Rais Donald Trump wa Marekani na kumwambia kwamba, hakuna kitu kinachofahamika kama vita vizuri, na kusisitiza kuwa vita vyote ni vibaya.
-
Kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq, hatua ya hiari au isiyo na budi?
Sep 11, 2020 07:36Rais Donald Trump wa Marekani aliahidi na kusisitiza wakati wa kampeni zake za uchaguzi kwamba, endapo atachaguliwa kuwa Rais basi atayaondoa majeshi ya nchi hiyo yaliyopo katika eneo la Asia Magharibi.
-
Erakat: Palestina imekuwa mhanga wa malengo ya uchaguzi ya Donald Trump
Sep 05, 2020 08:01Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa Palestina imekuwa mhanga wa malengo ya uchaguzi wa Rais ya Donald Trump huko Marekani.
-
Vikwazo vya Marekani dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai
Sep 04, 2020 02:48Katika kipindi cha utawala wa Donald Trump nchini Marekani serikali ya Washington imechukua msimamo hasi na wa kihasama dhidi ya taasisi na jumuiya za kimataifa.
-
Trump azusha kioja kipya kwa kutaka Wamarekani wapige kura mara mbili
Sep 03, 2020 08:07Rais wa Marekani ametoa matamshi ya kushangaza kwa kutaka wananchi wapige kura mara mbili katika uchaguzi wa urais ili kuufanyia majaribio mfumo wa upigaji kura kwa njia ya posta.
-
Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington
Sep 02, 2020 02:42Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kuibuka na kuenea makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la kigaidi la Daesh tangu kuanza mgogoro nchini Syria mwaka 2011.