-
Congress: Trump ndiye sababu ya kuongezeka machafuko nchini Marekani
Sep 01, 2020 02:32Mkuu wa Kamati ya Kutoa Taarifa ya Baraza la Congress la Marekani amemlaumu vikali rais wa nchi hiyo Donald Trump na kusema kuwa, vitendo vya kichochezi vya rais huyo ndiyo sababu ya kuzuka na kuongezeka machafuko nchini Marekani.
-
Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea
Aug 28, 2020 10:12Takriban ni miongo 7 sasa ambapo Marekani ina wanajeshi wake katika Rasi ya Korea. Licha ya kufanyika mazungumzo mara kadhaa baina ya viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kuhusu kupokonywa silaha za nyuklia Pyongyang lakini mgogoro wa Korea mbili bado uko vile vile. Si hayo tu lakini rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anataka kupunguzwa idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo huko Korea Kusini, suala ambalo limezusha mzozo mpya.
-
Harris: Sera za Trump dhidi ya Iran zimeifanya Marekani itengwe zaidi
Aug 28, 2020 02:23Makamu wa Joe Biden, mgombea wa chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu nchini Marekani amesema sera za Rais Donald Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeifanya nchi hiyo itengwe zaidi wakati huu kuliko wakati wowote ule.
-
Trump aendelea kumdhihaki Biden, sasa ataka apimwe madawa ya kulevya
Aug 27, 2020 11:21Rais wa Marekani ameendelea kumkejeli mshindani wake mkuu wa chama cha Democrat katika uchaguzi ujao wa rais kwa kutaka afanyiwe vipimo vya madawa ya kulevya kabla ya kufanyika midahalo baina yao ya kampeni za uchaguzi.
-
Kamala Haris akubali rasmi pendekezo la chama cha Democrat kuwa Makamu wa Joe Biden
Aug 21, 2020 00:06Seneta Kamala Haris wa jimbo la California nchini Marekani amekubali rasmi kuwa Makamu wa Joe Biden mgombea wa chama cha Democrat katika uchaguzi wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu. Bi Kamala amekubali pendekezo hilo katika siku ya tatu ya mkutano wa taifa wa chama cha Democratic.
-
Kitabu cha "Ghadhabu" kufichua barua 25 za binafsi alizoandikiana Trump na Kim
Aug 13, 2020 13:56Mwandishi mashuhuri wa habari wa Kimarekani Bob Woodward atazitoa hadharani barua 25 za binafsi ambazo rais wa nchi hiyo Donald Trump ameandikiana na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un.
-
Hitilafu kali za Ujerumani na Ufaransa dhidi ya Marekani kuhusu marekebisho katika shirika la WHO
Aug 09, 2020 03:18Kushindwa serikali ya Rais Donald Trump kudhibiti maambukizi ya virusi vya COVID-19 nchini Marekani kumemfanya rais huyo ajaribu kuwepa lawama za kufeli huko kwa kulituhumu Shirika la Afya Duniani WHO kuwa lilifeli katika utekelezaji wa majukumu yake.
-
Donald Trump: Nikishinda urais katika duru ya pili, nitafikia makubaliano na Iran kwa haraka sana
Aug 08, 2020 08:14Rais Donald Trump wa Marekani amedai kuwa, endapo ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Rais Novemba mwaka huu, atahakikisha anafikia haraka makubaliano na Iran.
-
Kufeli siasa za Marekani mkabala na Iran; kuendelea kugonga mwamba ndoto za Trump
Aug 08, 2020 07:45Hakuna siku inayopita bila viongozi wa Marekani kutoa misimamo mikali dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, suala ambalo mara nyingi hudhihirisha mgongano wa misimamo yao na kupelekea baadhi ya vyombo vya nchi hiyo ya Magharibi kukiri kuwa hiyo ni ishara ya kushindwa siasa za Washington mkabala na Iran.
-
Facebook yafuta video ya kupotosha ya Donald Trump kuhusu virusi vya corona
Aug 06, 2020 11:16Mtandao wa kijamii wa Facebook umefuta video iliyorushwa hewani na Rais Donald Trump wa Marekani akidai kuwa watoto hawapatwi na virusi vya corona!