Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Congress: Trump ndiye sababu ya kuongezeka machafuko nchini Marekani

    Congress: Trump ndiye sababu ya kuongezeka machafuko nchini Marekani

    Sep 01, 2020 02:32

    Mkuu wa Kamati ya Kutoa Taarifa ya Baraza la Congress la Marekani amemlaumu vikali rais wa nchi hiyo Donald Trump na kusema kuwa, vitendo vya kichochezi vya rais huyo ndiyo sababu ya kuzuka na kuongezeka machafuko nchini Marekani.

  • Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea

    Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea

    Aug 28, 2020 10:12

    Takriban ni miongo 7 sasa ambapo Marekani ina wanajeshi wake katika Rasi ya Korea. Licha ya kufanyika mazungumzo mara kadhaa baina ya viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kuhusu kupokonywa silaha za nyuklia Pyongyang lakini mgogoro wa Korea mbili bado uko vile vile. Si hayo tu lakini rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anataka kupunguzwa idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo huko Korea Kusini, suala ambalo limezusha mzozo mpya.

  • Harris: Sera za Trump dhidi ya Iran zimeifanya Marekani itengwe zaidi

    Harris: Sera za Trump dhidi ya Iran zimeifanya Marekani itengwe zaidi

    Aug 28, 2020 02:23

    Makamu wa Joe Biden, mgombea wa chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu nchini Marekani amesema sera za Rais Donald Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeifanya nchi hiyo itengwe zaidi wakati huu kuliko wakati wowote ule.

  • Trump aendelea kumdhihaki Biden, sasa ataka apimwe madawa ya kulevya

    Trump aendelea kumdhihaki Biden, sasa ataka apimwe madawa ya kulevya

    Aug 27, 2020 11:21

    Rais wa Marekani ameendelea kumkejeli mshindani wake mkuu wa chama cha Democrat katika uchaguzi ujao wa rais kwa kutaka afanyiwe vipimo vya madawa ya kulevya kabla ya kufanyika midahalo baina yao ya kampeni za uchaguzi.

  • Kamala Haris akubali rasmi pendekezo la chama cha Democrat kuwa Makamu wa Joe Biden

    Kamala Haris akubali rasmi pendekezo la chama cha Democrat kuwa Makamu wa Joe Biden

    Aug 21, 2020 00:06

    Seneta Kamala Haris wa jimbo la California nchini Marekani amekubali rasmi kuwa Makamu wa Joe Biden mgombea wa chama cha Democrat katika uchaguzi wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu. Bi Kamala amekubali pendekezo hilo katika siku ya tatu ya mkutano wa taifa wa chama cha Democratic.

  • Kitabu cha

    Kitabu cha "Ghadhabu" kufichua barua 25 za binafsi alizoandikiana Trump na Kim

    Aug 13, 2020 13:56

    Mwandishi mashuhuri wa habari wa Kimarekani Bob Woodward atazitoa hadharani barua 25 za binafsi ambazo rais wa nchi hiyo Donald Trump ameandikiana na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un.

  • Hitilafu kali za Ujerumani na Ufaransa dhidi ya Marekani kuhusu marekebisho katika shirika la WHO

    Hitilafu kali za Ujerumani na Ufaransa dhidi ya Marekani kuhusu marekebisho katika shirika la WHO

    Aug 09, 2020 03:18

    Kushindwa serikali ya Rais Donald Trump kudhibiti maambukizi ya virusi vya COVID-19 nchini Marekani kumemfanya rais huyo ajaribu kuwepa lawama za kufeli huko kwa kulituhumu Shirika la Afya Duniani WHO kuwa lilifeli katika utekelezaji wa majukumu yake.

  • Donald Trump: Nikishinda urais katika duru ya pili, nitafikia makubaliano na Iran kwa haraka sana

    Donald Trump: Nikishinda urais katika duru ya pili, nitafikia makubaliano na Iran kwa haraka sana

    Aug 08, 2020 08:14

    Rais Donald Trump wa Marekani amedai kuwa, endapo ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Rais Novemba mwaka huu, atahakikisha anafikia haraka makubaliano na Iran.

  • Kufeli siasa za Marekani mkabala na Iran; kuendelea kugonga mwamba ndoto za Trump

    Kufeli siasa za Marekani mkabala na Iran; kuendelea kugonga mwamba ndoto za Trump

    Aug 08, 2020 07:45

    Hakuna siku inayopita bila viongozi wa Marekani kutoa misimamo mikali dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, suala ambalo mara nyingi hudhihirisha mgongano wa misimamo yao na kupelekea baadhi ya vyombo vya nchi hiyo ya Magharibi kukiri kuwa hiyo ni ishara ya kushindwa siasa za Washington mkabala na Iran.

  • Facebook yafuta video ya kupotosha ya Donald Trump kuhusu virusi vya corona

    Facebook yafuta video ya kupotosha ya Donald Trump kuhusu virusi vya corona

    Aug 06, 2020 11:16

    Mtandao wa kijamii wa Facebook umefuta video iliyorushwa hewani na Rais Donald Trump wa Marekani akidai kuwa watoto hawapatwi na virusi vya corona!

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS