-
Muhammad Ali al-Houthi: Ugaidi ni wenzo unaotumiwa na Trump kuwakandamiza wapinzani
Aug 02, 2020 01:31Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitumia ugaidi kama wenzo wa kukabiliana na wapinzani wa siasa za Washington pamoja na ugaidi wa kiserikali wa nchi hiyo.
-
Kamati ya Seneti yakatisha mchakato wa kumpitisha mteuliwa wa Trump aliyeutusi Uislamu
Jul 31, 2020 15:34Kamati ya Seneti ya Marekani imekatisha ghafla kikao cha kuidhinisha jina la Brigedia Jenerali mstaafu wa jeshi la nchi hiyo aliyeteuliwa na rais Donald TRump kuwa Naibu Waziri wa Ulinzi anayehusika na sera kutokana na kauli chafu alizowahi kutoa dhidi ya Uislamu na rais wa zamani wa nchi hiyo Barack Obama.
-
Trump apendekeza uchaguzi wa rais wa Marekani usogezwe mbele, Wademocrat wampinga vikali
Jul 31, 2020 02:26Rais wa Marekani, ambaye amekosoa mara kadhaa upigaji kura kwa njia ya posta, amependekeza tarehe ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo uliopangwa kufanyika Novemba 3 mwaka huu isogezwe mbele hadi hali itakaporuhusu upigaji kura kufanyika kwa utaratibu wa kawaida.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani
Jul 26, 2020 02:40Maandamano makubwa na yasiyo na mfano wake ambayo yamekuwa yakifanyika nchini Marekani tokea kuuawa kinyama kwa Mmarekani mweusi George Floyd katika mji wa Minnesota katika jimbo la Minneapolis tarehe 25 Mei, yangali yanaendelea licha ya ukandamizaji mkubwa unaofanywa na serikali ya Trump dhidi ya waandamanaji.
-
Marekani ya Trump; utawala asi na wa kijambazi duniani
Jul 24, 2020 02:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, baada ya Marekani kujitoa katika makubaliano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) imegeuka kuwa utawala asi na wa kijambazi duniani.
-
Baadhi ya Warepublican wazidisha juhudi za kumfukuza Trump kutoka White House
Jul 24, 2020 02:23Kundi la maafisa wa chama cha Republican wanaompinga Rais Donald Trump wa Marekani ambaye anatazamiwa kubeba bendera ya chama hicho katika uchaguzi ujao, limezidisha jitihada za kumuondoa kiongozi huyo katika Ikulu ya White House.
-
Ombi la wenyeviti wa kamati za Bunge la Marekani la kuchunguzwa ukandamizaji dhidi ya waandamanaji
Jul 21, 2020 10:42Kuendelea maandamano ya upinzani nchini Marekani kwa takribani miezi miwili sasa ya kulalamikia unyama uliofanywa na askari polisi mzungu wa mji wa Minneapolis katika jimbo la Minnesota wa kumuua kikatili raia mweusi George Floyd mnamo tarehe 25 Mei, kumemfanya rais wa nchi hiyo Donald Trump atumie vikosi vya usalama visivyojulikana kwa ajili ya kuwakandamiza waandamanaji.
-
Sisistizo la Borrell kuhusu kulindwa JCPOA; nara isiyotekelezeka kivitendo
Jul 20, 2020 06:47Umoja wa Ulaya (EU) na Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Ujerumani ni pande zilizokuwa na nafasi muhimu katika kufikiwa mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Borrell: Mapatano ya Trump hayawezekani, JCPOA ilindwe
Jul 19, 2020 12:38Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya kwa mara nyingine tena amesisitizia udharura wa kulindwa na kuheshimiwa makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA, na kueleza bayana kuwa ni jambo lisiloyumkinika kufikiwa kile kinachoitwa "Mapatano ya Tump."
-
Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran
Jul 17, 2020 02:40Tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini Marekani daima imekuwa na utendaji hasi na wa kihasama dhidi ya taifa hili la Kiislamu.