Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Muhammad Ali al-Houthi: Ugaidi ni wenzo unaotumiwa na Trump kuwakandamiza wapinzani

    Muhammad Ali al-Houthi: Ugaidi ni wenzo unaotumiwa na Trump kuwakandamiza wapinzani

    Aug 02, 2020 01:31

    Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitumia ugaidi kama wenzo wa kukabiliana na wapinzani wa siasa za Washington pamoja na ugaidi wa kiserikali wa nchi hiyo.

  • Kamati ya Seneti yakatisha mchakato wa kumpitisha mteuliwa wa Trump aliyeutusi Uislamu

    Kamati ya Seneti yakatisha mchakato wa kumpitisha mteuliwa wa Trump aliyeutusi Uislamu

    Jul 31, 2020 15:34

    Kamati ya Seneti ya Marekani imekatisha ghafla kikao cha kuidhinisha jina la Brigedia Jenerali mstaafu wa jeshi la nchi hiyo aliyeteuliwa na rais Donald TRump kuwa Naibu Waziri wa Ulinzi anayehusika na sera kutokana na kauli chafu alizowahi kutoa dhidi ya Uislamu na rais wa zamani wa nchi hiyo Barack Obama.

  • Trump apendekeza uchaguzi wa rais wa Marekani usogezwe mbele, Wademocrat wampinga vikali

    Trump apendekeza uchaguzi wa rais wa Marekani usogezwe mbele, Wademocrat wampinga vikali

    Jul 31, 2020 02:26

    Rais wa Marekani, ambaye amekosoa mara kadhaa upigaji kura kwa njia ya posta, amependekeza tarehe ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo uliopangwa kufanyika Novemba 3 mwaka huu isogezwe mbele hadi hali itakaporuhusu upigaji kura kufanyika kwa utaratibu wa kawaida.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani

    Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani

    Jul 26, 2020 02:40

    Maandamano makubwa na yasiyo na mfano wake ambayo yamekuwa yakifanyika nchini Marekani tokea kuuawa kinyama kwa Mmarekani mweusi George Floyd katika mji wa Minnesota katika jimbo la Minneapolis tarehe 25 Mei, yangali yanaendelea licha ya ukandamizaji mkubwa unaofanywa na serikali ya Trump dhidi ya waandamanaji.

  • Marekani ya Trump; utawala asi na wa kijambazi duniani

    Marekani ya Trump; utawala asi na wa kijambazi duniani

    Jul 24, 2020 02:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, baada ya Marekani kujitoa katika makubaliano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) imegeuka kuwa utawala asi na wa kijambazi duniani.

  • Baadhi ya Warepublican wazidisha juhudi za kumfukuza Trump kutoka White House

    Baadhi ya Warepublican wazidisha juhudi za kumfukuza Trump kutoka White House

    Jul 24, 2020 02:23

    Kundi la maafisa wa chama cha Republican wanaompinga Rais Donald Trump wa Marekani ambaye anatazamiwa kubeba bendera ya chama hicho katika uchaguzi ujao, limezidisha jitihada za kumuondoa kiongozi huyo katika Ikulu ya White House.

  • Ombi la wenyeviti wa kamati za Bunge la Marekani la kuchunguzwa ukandamizaji dhidi ya waandamanaji

    Ombi la wenyeviti wa kamati za Bunge la Marekani la kuchunguzwa ukandamizaji dhidi ya waandamanaji

    Jul 21, 2020 10:42

    Kuendelea maandamano ya upinzani nchini Marekani kwa takribani miezi miwili sasa ya kulalamikia unyama uliofanywa na askari polisi mzungu wa mji wa Minneapolis katika jimbo la Minnesota wa kumuua kikatili raia mweusi George Floyd mnamo tarehe 25 Mei, kumemfanya rais wa nchi hiyo Donald Trump atumie vikosi vya usalama visivyojulikana kwa ajili ya kuwakandamiza waandamanaji.

  • Sisistizo la Borrell kuhusu kulindwa JCPOA; nara isiyotekelezeka kivitendo

    Sisistizo la Borrell kuhusu kulindwa JCPOA; nara isiyotekelezeka kivitendo

    Jul 20, 2020 06:47

    Umoja wa Ulaya (EU) na Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Ujerumani ni pande zilizokuwa na nafasi muhimu katika kufikiwa mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Borrell: Mapatano ya Trump hayawezekani, JCPOA ilindwe

    Borrell: Mapatano ya Trump hayawezekani, JCPOA ilindwe

    Jul 19, 2020 12:38

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya kwa mara nyingine tena amesisitizia udharura wa kulindwa na kuheshimiwa makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA, na kueleza bayana kuwa ni jambo lisiloyumkinika kufikiwa kile kinachoitwa "Mapatano ya Tump."

  • Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran

    Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran

    Jul 17, 2020 02:40

    Tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini Marekani daima imekuwa na utendaji hasi na wa kihasama dhidi ya taifa hili la Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS