Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Mary Trump: Rais Trump ni mtu hatari, anapaswa kujiuzulu

    Mary Trump: Rais Trump ni mtu hatari, anapaswa kujiuzulu

    Jul 16, 2020 07:36

    Mpwa wa Donald Trump amesema rais huyo wa Marekani ni mtu hatari ambaye anapaswa kujiuzulu wadhifa wake wa urais mara moja.

  • Trump aghairi uamuzi wake dhidi ya wanafunzi wa kigeni baada ya kuzidiwa na mashinikizo

    Trump aghairi uamuzi wake dhidi ya wanafunzi wa kigeni baada ya kuzidiwa na mashinikizo

    Jul 15, 2020 07:42

    Rais Donald Trump wa Marekani ameghairi uamuzi wake wa kufuta viza za wanafunzi wa kigeni katika vyuo vikuu vya Marekani baada ya kukabiliwa na mashinikizo makubwa.

  • UN yakosoa athari mbaya za misimamo hasi ya Trump kwa uhuru wa vyombo vya habari

    UN yakosoa athari mbaya za misimamo hasi ya Trump kwa uhuru wa vyombo vya habari

    Jul 15, 2020 06:18

    Tangu alipochukua hatamu za kuiongoza Marekani tarehe 20 Januari mwaka 2017, Rais Donald Trump amekua akielekeza panga lake kali kwenye vyombo vya habari vinavyokosoa utendaji na mienendo yake.

  • Umaarufu wa Tump wazidi kuporomoka baina ya Wamarekani, atambuliwa kuwa rais mbaya zaidi

    Umaarufu wa Tump wazidi kuporomoka baina ya Wamarekani, atambuliwa kuwa rais mbaya zaidi

    Jul 14, 2020 02:31

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanayonesha kuwa, Donald Trump ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani.

  • Biden: Trump ni rais fisadi zaidi katika historia ya sasa ya Marekani

    Biden: Trump ni rais fisadi zaidi katika historia ya sasa ya Marekani

    Jul 13, 2020 04:08

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrat amesema, Donald Trump ni rais fisadi zaidi katika historia ya sasa ya nchi hiyo kwa namna anavyotumia vibaya mamlaka yake kwa ajili ya kuwanufaisha watu wake wa karibu.

  • Tishio jipya la Donald Trump dhidi ya Venezuela

    Tishio jipya la Donald Trump dhidi ya Venezuela

    Jul 12, 2020 12:35

    Katika hali ambayo siasa za chuki na hasama za Marekani dhidi ya Venezuela hadi sasa zimeshindwa na kugonga mwamba, Rais Donald Trump kwa mara nyingine tena ametoa matamshi ya vitisho kwa kusema: Kuna mambo yatatokea kuhusiana na Venezuela.

  • Wasomi, wanachuo wa Kenya nchini Marekani wakosoa agizo la Trump dhidi yao

    Wasomi, wanachuo wa Kenya nchini Marekani wakosoa agizo la Trump dhidi yao

    Jul 11, 2020 14:48

    Wahadhiri na wanachuo raia wa Kenya walioko Marekani wamekosoa vikali agizo lililotolewa na rais wa nchi hiyo, Donald Trump, la kutaka wanafunzi wote wa kigeni waondoke nchini humo ndani ya miezi miwili ijayo.

  • Kujiondoa rasmi Marekani katika Shirika la Afya Duniani WHO

    Kujiondoa rasmi Marekani katika Shirika la Afya Duniani WHO

    Jul 09, 2020 09:21

    Msimamo wa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ni kupuuza, kukosoa, kutoa vitisho na hatimaye kujitoa katika mashirika ya kimataifa na hasa yale yanayopinga matakwa na maslahi haramu ya nchi hiyo na ya washirika wake na hasa utawala haramu wa Israel.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kukiuka sheria mauaji  dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kukiuka sheria mauaji dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani

    Jul 08, 2020 06:32

    Mnamo Januari 3 mwaka huu, jeshi la kigaidi la Marekani kwa amri ya Rais wa nchi hiyo Donald Trump lilitenda jinai kwa kumuua kidhulma Luteni Jenerali Qassem Soleimani aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran akiwa uraiani nchini Iraq tena akiwa mgeni rasmi wa serikali ya Baghdad.

  • Associated Press: Wakuruba wa Trump wamepora mabilioni ya dola za corona

    Associated Press: Wakuruba wa Trump wamepora mabilioni ya dola za corona

    Jul 07, 2020 02:30

    Kundi moja la ukaguzi nchini Marekani limefichua kwamba watu wa karibu na Rais Donald Trump wa nchi hiyo wamepora na kutafuna mabilioni ya dola zilizokuwa zimetengwa kama bajeti ya kuwasaidia waathirika wa virusi vya corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS