-
Trump ajifanya tena daktari bingwa wa corona; FDA yaja juu
Jul 06, 2020 07:47Shirika la Chakula na Madawa la Marekani FDA limekosoa vikali matamshi mapya ya rais wa nchi hiyo, Donald Trump aliyedai kuwa asilimia 99 ya kesi za corona hazina hatari yoyote na kusema kuwa madai hayo si sahihi hata kidogo.
-
Waandamanaji wateketeza bendera ya Marekani nje ya White House baada ya hotuba ya Trump
Jul 05, 2020 07:48Waandamanaji waliokuwa na hasira waliteketeza moto bendera ya Marekani nje ya Ikulu ya White House mjini Washington baada ya hotuba ya Rais Donald Trump kwa mnasaba wa siku ya 'uhuru' wa nchi hiyo jana Julai nne.
-
Faili la kuuawa Qassim Soleimani: Iran yatoa waranti wa kutiwa mbaroni Trump
Jun 30, 2020 03:46Mwendesha Mashtaka wa Tehran ametoa waranti wa kutiwa mbaroni watu 36 akiwemo Rais Donald Trump wa Marekani wakihusishwa na mauaji ya aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) Luteni Jenerali Shahid Qassem Soleimani.
-
Ukosoaji wa Putin kwa hatua za upande mmoja za Magharibi chini ya uongozi wa Marekani
Jun 30, 2020 02:33Njama za nchi za Magharibi za kutaka kuyatwisha mataifa mengine shabaha na malengo yake zimekumbwa na upinzani wa nchi nyingine duniani. Hasa ikitiliwa maanani kuwa nchi za Magharibi hususan Marekani siku zote zimekuwa zikitaka kuidhibiti dunia na kutwisha misimamo na hatua zake za upande mmoja duniani.
-
Trump azidi kuandamwa kwa uzembe aliofanya kuhusu COVID-19
Jun 29, 2020 08:15Wananchi wa matabaka mbalimbali nchini Marekani wameendelea kumshambulia na kumlaumu vikali rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwa uzembe alioufanya wa kushindwa kuchukua tahadhari na hatua zinazotakiwa za kukabiliana na ugonjwa hatari wa corona.
-
Jitihada za Marekani za kuishawishi Ulaya iungane na Washington dhidi ya China
Jun 28, 2020 02:33Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump imezididisha mienendo yake ya kukabiliana na China katika nyuga mbalimbali. Mbali na kutaka kuitwisha Beijing matakwa yake katika nyanja za kibiashara na kiuchumi, sasa Marekani inaingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo hususan katika maeneo mawili ya Hong Kong na Xinjiang kwa kisingizio cha haki za binadamu.
-
Biden: Trump amekuwa kama mtoto katika kukabiliana na corona, Wamarekani milioni 25 wamepatwa na corona
Jun 26, 2020 08:51Mgombea wa kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic amesema kuwa Rais Donald Trump amekuwa na mwenendo kama wa mtoto mdogo katika kukabiliana na virusi vya corona.
-
Dunia nzima dhidi ya Trump; walimwengu walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu
Jun 25, 2020 06:26Mojawapo na sifa kuu za utawala wa Donald Trump huko Marekani ni sera na mtazamo mbaya wa kiongozi huyo kuhusiana na jumuiya na mashirika ya kikanda na kimataifa. Hatua ya karibuni zaidi ya Trump dhidi ya jumuiya za kimataifa ni vikwazo alivyoweka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ambayo ndicho chombo cha juu zaidi cha kimataifa chenye jukumu la kushughulikia uhalifu wa kivita na jinai zinazofanywa dhidi ya binadamu.
-
NYT: Trump anamsaka mtu aliyevujisha habari ya kujificha kwake chini ya handaki ya White House
Jun 19, 2020 08:17Rais Donald Trump wa Marekani anamsaka kwa udi na uvumba mfanyakazi wa White House aliyevujisha habari ya kukimbilia kwake kwenye handaki iliyoko chini ya ardhi ya White House wakati wa kilele cha maandamano makali ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani wiki kadhaa zilizopita.
-
Trump aiomba China imsaidie kushinda uchaguzi mkuu ujao
Jun 18, 2020 08:31Mshauri wa zamani wa usalama wa taifa wa Marekani, John Bolton amesema katika kitabu chake kipya kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo aliiomba China imsaidie katika kushinda uchaguzi mkuu wa rais uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu.