Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Amri mpya ya Trump yaidhinisha kuendelea ukatili wa polisi ya Marekani

    Amri mpya ya Trump yaidhinisha kuendelea ukatili wa polisi ya Marekani

    Jun 18, 2020 07:23

    Ukatili na utumiaji mabavu usio na mipaka wa polisi ya Marekani dhidi ya watu wenye asili ya Afrika ambao unatekelezwa katika sera jumla ya ubaguzi wa rangi umeubia maandamano ambayo hayajawahi kushuhudiwa Marekani. Hali hiyo imempelekea rais mwenye utata wa nchi hiyo, Donald Trump, kutoa amri mpya ya kile alichodai kuwa ni mabadiliko katika muundo wa polisi nchini humo.

  • Malalamiko ya Ujerumani kwa vitisho vya Marekani dhidi ya usalama wa nishati barani Ulaya

    Malalamiko ya Ujerumani kwa vitisho vya Marekani dhidi ya usalama wa nishati barani Ulaya

    Jun 15, 2020 08:00

    Baada ya Donald Trump kuingia katika Ikulu ya Marekani, White House, uhusiano wa Washington na Umoja wa Ulaya ikiwemo Ujerumani umevurugika na kufikia kiwango cha chini kabisa. Uhusiano huo umezidi kuwa mbaya baada ya Trump kuzungumzia suala la kuondoa wanajeshi wa Marekani huko Ujerumani.

  • Trump akosolewa kwa kuitisha mkutano wa kisiasa wakati huu wa corona

    Trump akosolewa kwa kuitisha mkutano wa kisiasa wakati huu wa corona

    Jun 15, 2020 06:55

    Rais Donald Trump wa Marekani amekosolewa vikali na wataalamu wa afya nchini humo kwa kuitisha mkutano wa kisiasa kwa ajili ya kujipigia debe kuelekea uchaguzi mkuu wa mwishoni mwa mwaka huu, licha ya ugonjwa wa COVID-19 kuendelea kuua mamia ya Wamarekani kila siku.

  • Israel kujenga 'vitongoji 300 vya Trump' katika Milima ya Golan, Syria

    Israel kujenga 'vitongoji 300 vya Trump' katika Milima ya Golan, Syria

    Jun 15, 2020 06:53

    Utawala ghasibu wa Israel unapanga kujenga mamia ya vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika Miinuko ya Golan nchini Syria, vitakavyoitwa "Miinuko ya Trump".

  • UN yasikitishwa na hatua ya Trump ya kuiwekea vikwazo ICC

    UN yasikitishwa na hatua ya Trump ya kuiwekea vikwazo ICC

    Jun 13, 2020 04:33

    Umoja wa Mataifa umeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Kuisusia ICC; muendelezo wa ushari wa Trump dhidi ya taasisi za kimataifa

    Kuisusia ICC; muendelezo wa ushari wa Trump dhidi ya taasisi za kimataifa

    Jun 13, 2020 03:05

    Rais wa Marekani, Donald Trump anaendeleza ushari wake wa kutojali, kuponda na kutoa vitisho dhidi ya taasisi za kimataifa. Hadi hivi sasa Trump ameshaitoa Marekani kwenye taasisi kadhaa za Umoja wa Mataifa kama vile UNESCO na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na hivi sasa ametishia kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC.

  • Zarif: Marekani mara hii inatumia mabavu dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Zarif: Marekani mara hii inatumia mabavu dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Jun 12, 2020 07:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa kadhaa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) na kusema, hivi sasa ICC inahujumiwa na genge la wahalifu wambao wanajiarifisha kuwa ni wanadiplomasia."

  • ICC: Vikwazo vya Marekani ni ukiukaji wa mkondo wa utekelezaji sheria

    ICC: Vikwazo vya Marekani ni ukiukaji wa mkondo wa utekelezaji sheria

    Jun 12, 2020 06:56

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imepinga vikwazo ilivyowekewa na Marekani na kuvitaja kuwa ni juhudi zisizokubalika katika utekelezaji sheria.

  • Trump apongeza polisi ya Marekani, apuuza kilio cha waandamanji kuhusu ubaguzi

    Trump apongeza polisi ya Marekani, apuuza kilio cha waandamanji kuhusu ubaguzi

    Jun 12, 2020 03:06

    Rais Donald Trump wa Marekani amelipongeza jeshi la polisi nchini humo huku akipuuzilia mbali kilio cha waandamanaji ambao wanasema kuna ubaguzi mkubwa katika jeshi hilo.

  • Kukiri Joe Biden kuwa, ubaguzi wa rangi umekita mizizi katika jeshi la polisi la Marekani

    Kukiri Joe Biden kuwa, ubaguzi wa rangi umekita mizizi katika jeshi la polisi la Marekani

    Jun 11, 2020 06:09

    Mauaji ya kinyama na ya kutisha aliyofanyiwa George Floyd, Mmarekani Mwafrika ambayo yamefanywa na polisi mzungu kwa damu baridi tena mchana kweupe katika mji wa Minneapolis huko Minnesota Marekani, yamewasha moto wa kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo. Hivi sasa kinacholaumiwa ni jinsi ubaguzi wa rangi ulivyokita mizizi nchini Marekani tena katika taasisi zote na kati ya wanasiasa wa ngazi za juu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS