-
Trump: FBI ilitaka kupindua serikali yangu
Nov 24, 2019 23:19Rais Donald Trump wa Marekani amekosoa vikali mwenendo wa uchunguzi kuhusu kampeni za uchaguzi wa rais wa mwaka 2016 na kudai kuwa, Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) lilikuwa na nia ya kupindua serikali yake.
-
Madai ya kijuba ya Marekani kuwa eti inakalia visima vya mafuta vya Syria kisheria
Nov 24, 2019 04:23Tokea mwaka 2014, Marekani iliingia nchini Syria kinyume cha sheria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la ISIS (Daesh). Kinyume na madai ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ataondoa askari wa Marekani walioko Syria, hivi sasa wanajeshi hao wameongeza muda wa kuwepo kwao katika nchi hiyo ya Kiarabu kwa kisingizio kingine.
-
Trump awatisha mashahidi wa faili la kusailiwa kwake
Nov 19, 2019 23:01Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuwafukuza kazi mashahidi ambao wanashirikiana na kongresi ya nchi hiyo katika faili la kusailiwa kwake
-
Umaarufu wa Donald Trump wazidi kuporomoka nchini Marekani
Nov 18, 2019 23:11Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonesha kuwa, idadi kubwa zaidi ya Wamarekani hawamtaki rais wa nchi hiyo Donald Trump na wanaamini kwamba ni mkosa katika kashfa ya "Ukraine Gate."
-
Trump na vitisho vya kuirubuni Japan ilipe gharama kubwa zaidi ili ipatiwe ulinzi na Marekani
Nov 17, 2019 09:57Kwa mara kadhaa Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akisisitizia suala la kuangaliwa upya uhusiano wa Washington na waitifaki wake katika pembe mbalimbali za dunia.
-
Mkutano wa BRICS na tahadhari ya Putin kuhusu vikwazo vya Marekani
Nov 15, 2019 03:08Viongozi wa nchi wanachama katika jumuiya ya BRICS unayojumuisha nchi tano za Russia, Brazil, China, India na Afrika Kusini wamekutana katika mji mkuu wa Brazil, Brasilia. Mkutano huo umefanyika katika siku za tarehe 13 na 14 na ulilenga kupanua zaidi ushirikiano wa masuala ya kifedha na kiuchuni baina ya nchi wanachama na kuleta mabadiliko katika muundo wa sasa wa kimataifa.
-
Trump: Ni bora kufanya biashara na China kuliko Ulaya
Nov 13, 2019 04:24Rais Donald Trump wa Marekani ameutuhumu Umoja wa Ulaya kwa kuweka vizuizi vya kutisha vya kibiashara.
-
Indhari ya Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani kuhusu kusambaratika NATO
Nov 12, 2019 04:27Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ni maarufu kwa kuibua utata, angali anaendelea kukosoa vikali Muungano wa Kijeshi wa Atlantiki ya Kaskazini (NATO) . Trump hasa anawakosoa wanachama wa bara Ulaya katika muungano huo kwa kutotenga asilimia 2 ya Pato la Ndani la Nchi (GDP) kwa ajili ya gharama za kijeshi. Maafisa wa ngazi za juu wa Marekani nao sasa pia wanafuata nyayo za Trump katika kuukosoa muungano wa kijeshi wa NATO.
-
Sisitizo la jeshi la Marekani la kuendelea kuwepo kijeshi katika eneo la Asia Magharibi
Nov 11, 2019 23:26Licha ya Rais Donald Trump kukariri mara chungu nzima kwamba, Washington itaondoa wanajeshi wake katika eneo la Asia Magharibi hususan katika nchi za Syria na Afghnaistan, lakini hali ya mambo ilivyo inaonyesha kuwa, Marekani imeazimia kubakisha na hata kuongeza idadi ya wanajeshi wake pamoja na zana za kijeshi katika eneo hili ikiwa ni katika kusukuma mbele gurudumu la siasa zake za kibabe.
-
Madai ya Trump: 'Sina hofu ya kusailiwa'
Nov 09, 2019 04:11Rais Donald Trump wa Marekani amedai kwamba hana hofu yoyote na mwenendo wa kusailiwa kwake.