-
Sisitizo la Rais Macron wa Ufaransa kuwa Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo
Nov 09, 2019 04:05Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa aklilidunisha Shirika la Kijeshi la Muungano wa Nchi za Magharibi (NATO) huku akikosoa wananchama wa muungano huo kutokana na kutoshiriki katika kuchangia bajeti ya muungano huo hasa kutotenga asilimia 2 ya Pato la Ndani la Nchi (GDP) kwa ajili ya gharama za kijeshi.
-
Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani hawamuamini Trump
Nov 06, 2019 21:43Utafiti mpya unaonesha kuwa, akthari ya wananchi wa Wamarekani wanatiwa wasiwasi na utendaji kazi wa Rais Donald Trump, na wamepoteza imani na uongozi wa mwanasiasa huyo wa chama cha Republican.
-
Kufichuliwa watu wa karibu na Trump waliomshinikiza balozi wa zamani wa Marekani nchini Ukraine
Nov 05, 2019 23:38Balozi wa zamani wa Marekani nchini Ukraine ametoa ushahidi kwamba alitakiwa kuunga mkono wazi jumbe za mtandao wa kijamii wa Twitter za Rais Donald Trump, ili asifutwe kazi.
-
Watetezi wa haki za binadamu: Marekani si mahala salama kwa wakimbizi
Nov 05, 2019 08:49Watetezi wa haki za binadamu wamekosoa baadhi ya sheria ngumu za uhamiaji za Marekani na kutangaza kuwa nchi hiyo si salama na mahala pa amani kwa wakimbizi katika kipindi cha utawala wa Donald Trump.
-
Uamuzi wa Chama cha Brexit wa kutoshiriki katika uchaguzi wa mapema nchini Uingereza
Nov 04, 2019 23:00Matukio yanayohusiana na kujiondoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brexit) yameingia katika hatua mpya baada ya Bunge la nchi hiyo kuafiki uamuzi wa kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati.
-
Nusu ya wapiga kura nchini Marekani hawatampa kura Trump
Nov 04, 2019 08:35Uchunguzi wa maoni uliofanywa kwa pamoja na vyombo viwili vya habari vya nchini Marekani unaonyesha kuwa nusu ya wapiga kura nchini humo hawatampigia kura Trump.
-
Mahakama yasimamisha sera ya Trump dhidi ya wahamiaji
Nov 03, 2019 04:34Jaji wa Mahakama ya Federali ya Wilaya ya Portland, jimboni Oregon ncini Marekani amesitisha kwa muda utekelezaji wa sera iliyotangazwa na utawala wa Rais Donald Trump ya kuwataka wahamiaji kuthibitisha kuwa wana uwezo wa kugharamia bima ya afya au matibabu kabla ya kupatiwa kibali cha kuingia nchini humo.
-
Larijani: Trump ni nembo ya sura ya kuogofya ya Marekani
Nov 03, 2019 04:31Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema tabia ya Donald Trump ya kufichua sera haribifu zilizofichika za Ikulu ya White House ya Marekani imeweka hadharani sura halisi, mbaya na ya kuogofya ya Washington.
-
Sisitizo la Lavrov juu ya mchango wa Marekani katika kudhihiri al Baghdadi na Daesh
Nov 02, 2019 23:02Baada ya kuanza mgogoro wa Syria hapo mwaka 2011 na vita vilivyosababishwa na mgogoro huo, Marekani ilikuwa na nafasi muhimu na kuu katika kuundwa na kujitokeza makundi ya kigaidi nchini humo hususan kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh; suala ambalo Washington imefanya jitihada kubwa za klificha kwa kuanzisha kile ilichodai ni muungano wa kupambana na Daesh.
-
Trump aingilia masuala ya ndani ya Uingereza kwa 'kumponda' Corbyn kuwa hafai kuwa waziri mkuu
Nov 01, 2019 04:38Katika kile kinachoonekana kuwa ni uingiliaji wa masuala ya ndani ya Uingereza, Rais Donald Trump wa Marekani amesema, kiongozi wa chama kikuu cha upinzani cha Leba, Jeremy Corbyn si chaguo mbadala linalofaa kwa uwaziri mkuu wa nchi hiyo.