Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Ukosoaji mkali wa Human Rights Watch kwa Marekani kutokana na vikwazo vyake dhidi ya Iran

    Ukosoaji mkali wa Human Rights Watch kwa Marekani kutokana na vikwazo vyake dhidi ya Iran

    Oct 30, 2019 10:10

    Baada ya kujitoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 serikali ya Donald Trump ya Marekani iliirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya mapatano hayo bali hata iliongeza vikwazo vingine vingi na kujigamba kuwa imeiwekea Iran vikwazo vya kiwango cha juu kabisa ambavyo havijawahi kuwekewa nchi yoyote ile duniani.

  • Trump adai pia habari ya kuuawa mrithi wa Abubakar al-Baghdadi

    Trump adai pia habari ya kuuawa mrithi wa Abubakar al-Baghdadi

    Oct 30, 2019 01:07

    Rais Donald Trump wa Marekani ameandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter kwamba askari wa Kimarekani wamemuua pia mrithi wa Abubakar al-Baghdadi, kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).

  • Kuangamizwa al Baghdadi na njama za Marekani za kujifanya inapambana na Daesh

    Kuangamizwa al Baghdadi na njama za Marekani za kujifanya inapambana na Daesh

    Oct 28, 2019 02:29

    Marekani pamoja na waitifaki wake wa Kiarabu na Kimagharibi ndio waliolianzisha, kulitia nguvu na kuliunga mkono kwa kila namna na hali na mali; genge la kigaidi na la ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa shabaha ya kuiangusha serikali halali ya Syria.

  • Madai ya upotoshaji ya Trump kwamba Asia Magharibi imestawishwa na Marekani

    Madai ya upotoshaji ya Trump kwamba Asia Magharibi imestawishwa na Marekani

    Oct 27, 2019 04:44

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 na kupitia kisingizio cha kupambana na ugaidi, Marekani ilianzisha hujuma zake dhidi ya eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ambapo mwaka 2001 Washington iliivamia kijeshi Afghanistan, huku mwaka 2003 ikiishambulia Iraq.

  • Sisitizo la Trump la kushadidisha makali katika vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran

    Sisitizo la Trump la kushadidisha makali katika vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran

    Oct 26, 2019 08:32

    Vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran vilitekelezwa katika marhala mbili yaani mwezi Agosti na Novemba mwaka jana baada ya Trump kutangaza kabla yake mnamo tarehe 8 Mei kuitoa Marekani katika makubaliano hayo ya nyuklia. Vikwazo hivyo vilikuwa vya upande mmoja; na vimekiuka sheria za kimataifa likiwemo azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Trump aendeleza hatua za kiuadui katika sekta ya mafuta dhidi ya Iran

    Trump aendeleza hatua za kiuadui katika sekta ya mafuta dhidi ya Iran

    Oct 26, 2019 04:49

    Rais Donald Trump wa Marekani ametaka zichukuliwe hatua kali zaidi za vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran ukiwa ni muendelezo wa hatua za kiuadui na uhasama za serikali ya Washington dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Baada ya kuiita 'ng'ombe mkamwa maziwa wa Marekani', Trump aidhalilisha tena Saudia

    Baada ya kuiita 'ng'ombe mkamwa maziwa wa Marekani', Trump aidhalilisha tena Saudia

    Oct 22, 2019 23:15

    Rais Donald Trump wa Marekani ameidhalilisha tena Saudi Arabia na viongozi wake katika mahijiano yake na waandishi wa habari.

  • Makeke ya Trump mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Makeke ya Trump mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Oct 22, 2019 08:20

    Donald Trump Rais wa Marekani mwenye kubwabwaja sana tangu aingie ikulu ya White House amechukua mkondo wa sera za chuki na uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na utendaji wake umejikita katika mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Tehran ili kwa njia hiyo aweze kulifanya taifa hili lisalimu amri na kukubali matakwa ya Washington.

  • Bunge la Marekani lalaani hatua ya Trump kuondoa wanajeshi wa Marekani Syria

    Bunge la Marekani lalaani hatua ya Trump kuondoa wanajeshi wa Marekani Syria

    Oct 17, 2019 23:53

    Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuondoa wanajeshi wa Marekani kaskazini mwa Syria, jambo ambalo limewezesha Uturuki kushambulia eneo hilo, imekosolewa ndani ya Marekani.

  • Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo

    Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo

    Oct 15, 2019 23:26

    Licha ya kwamba awali rais wa Marekani alibariki uvamizi wa kijeshi wa Uturuki huko kaskazini mwa Syria lakini hivi sasa amegeuka kikamilifu na kutoa amri ya kuwekewa vikwazo Ankara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS