Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump na misimamo ya undumakuwili kuhusu magaidi wa Daesh (ISIS)

    Trump na misimamo ya undumakuwili kuhusu magaidi wa Daesh (ISIS)

    Oct 15, 2019 04:40

    Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kutoa onyo kuhusiana na kuibukka upya shughuli za kundi la kigaidi la Daesh (ISIS), kitendo cha kuondoa askari wa Kimarekani katika maeneo yanayoshambuliwa na Uturuki huko kaskazini mwa Syria, kimeandaa uwanja wa kufufuka upya kundi hilo la ukufurishaji ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Jenerali wa zamani wa Marekani: Trump ni muhusika wa mauaji kaskazini mwa Syria

    Jenerali wa zamani wa Marekani: Trump ni muhusika wa mauaji kaskazini mwa Syria

    Oct 15, 2019 01:15

    Kamanda wa zamani wa majeshi ya Marekani nchini Afghanistan amebainisha kwamba, Rais Donald Trump wa Marekani ni muhusika wa mgogoro na mauaji kaskazini mwa Syria.

  • Kujitoa Trump katika JCPOA; ni katika kuiunga mkono Israel

    Kujitoa Trump katika JCPOA; ni katika kuiunga mkono Israel

    Oct 13, 2019 08:40

    Rais wa Marekani amekiri kuwa alijitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa sababu ya kuiunga mkono Israel.

  • Kutuma Pentagon wanajeshi na zana mpya za kijeshi nchini Saudi Arabia; harakati ya kimaonyesho

    Kutuma Pentagon wanajeshi na zana mpya za kijeshi nchini Saudi Arabia; harakati ya kimaonyesho

    Oct 12, 2019 22:54

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akidai kwamba anawaunga mono na kuwahami waitifaki wake katika eneo la Ghuba ya Uajemi. Katika uwanja huo, Saudi Arabia ikiwa mshirika mkuu wa Washingtn katika eneo hili, ina nafasi maalumu katika siasa za kikanda za serikali ya Trump.

  • Kuna uwezekano mwanadiplomasia wa serikali ya Trump akatoa ushahidi dhidi yake

    Kuna uwezekano mwanadiplomasia wa serikali ya Trump akatoa ushahidi dhidi yake

    Oct 11, 2019 04:46

    Duru za habari za kuaminika katika Kongresi ya Marekani zimearifu kuwa kuna uwezekano mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Ulaya akatoa ushahidi dhidi ya Trump kuhusu kashfa ya Ukraine Gate.

  • Jimmy Carter aunga mkono mchakato wa kumuuzulu Trump

    Jimmy Carter aunga mkono mchakato wa kumuuzulu Trump

    Oct 09, 2019 10:27

    Rais wa zamani wa Marekani, Jimmy carter ambaye awali alikuwa mpinzani wa zoezi la aina yoyote la kumsaili na kumuuzu rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump, amejiunga na kambi inayotaka kuanzishwa zoezi la kumuuzulu kiongozi huyo.

  • Jarida la Newsweek: Trump ameogopa vitisho vya Rais Erdoğan wa Uturuki kuhusu Syria

    Jarida la Newsweek: Trump ameogopa vitisho vya Rais Erdoğan wa Uturuki kuhusu Syria

    Oct 08, 2019 23:03

    Jarida la Newsweek la Marekani limemnukuu mmoja wa viongozi wa serikali ya nchi hiyo akisema kuwa, Rais Donald Trump amesalimu amri mbele ya matakwa ya Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki kuhusiana na Syria na kuyakubali bila ya pingamizi lolote.

  • Kiongozi wa waliowengi katika Seneti ya Marekani aapa kumkingia kifua Trump asiuzuliwe

    Kiongozi wa waliowengi katika Seneti ya Marekani aapa kumkingia kifua Trump asiuzuliwe

    Oct 07, 2019 15:16

    Seneta Mitch McConnell, kiongozi wa Warepublican waliowengi katika Seneti ya Marekani amesema, anamuunga mkono Rais Donald Trump na kuahidi kwamba atasimamisha mchakato wa kumuuzulu kiongozi huyo.

  • Kuvunjika mzungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Kuvunjika mzungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Oct 07, 2019 06:29

    Rais wa Marekani Donald Trump wa Marekani, anaendelea na siasa za vitisho na mazungumzo katika fremu ya ahadi zake za uchaguzi za kuutatua mgogoro wa nyuklia wa Rasi ya Korea.

  • Mratibu mkuu wa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kujiuzulu hivi karibuni

    Mratibu mkuu wa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kujiuzulu hivi karibuni

    Oct 03, 2019 01:09

    Gazeti la Kimarakeni la Wall Street Journal limeripoti habari ya kujiuzulu hivi karibuni mratibu mkuu wa vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Wizara ya Fedha ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS