-
Erdogan: Tutawasaka na kuwaadhibu waliotushambulia
Feb 18, 2016 08:03Rais wa Uturuki ameahidi kutoa jibu kali kwa watekelezaji wa mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu, Ankara ambapo watu 28 waliuawa hapo jana.
Rais wa Uturuki ameahidi kutoa jibu kali kwa watekelezaji wa mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu, Ankara ambapo watu 28 waliuawa hapo jana.