Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Gambia, Barrow anaongoza kwa kura chache

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Gambia, Barrow anaongoza kwa kura chache

    Dec 05, 2021 05:47

    Rais wa Gambia Adama Barrow anaripotiwa kuongoza kwa kura chache katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais uliofanyika jana Jumamosi nchini Gambia, kulingana na matokeo ya muda ya maeneobunge machache yaliyothibitishwa na Tume ya Uchaguzi.

  • Gambia: Wanajeshi wa Myanmar wailinde jamii ya kabila la waliochache la Rohingya

    Gambia: Wanajeshi wa Myanmar wailinde jamii ya kabila la waliochache la Rohingya

    Feb 04, 2021 07:57

    Gambia imebainisha wasiwasi wake kuhusu hatima ya Waislamu wa kabila la Rohingya wa Myanmar baada ya kujiri mapinduzi nchini humo.

  • Gambia yataka uchunguzi wa mauaji ya mtoto wa mwanadiplomasia nchini Marekani

    Gambia yataka uchunguzi wa mauaji ya mtoto wa mwanadiplomasia nchini Marekani

    Jun 04, 2020 04:46

    Serikali ya Gambia imeitaka Marekani ianzishe uchunguzi mara moja wa mauaji ya mtoto wa kiume wa mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa nchi hiyo ya Kiafrika katika jiji la Atlanta, jimboni Georgia.

  • Watu 137 watiwa mbaroni katika maandamano dhidi ya Rais wa Gambia; wengine kadhaa wamejeruhiwa

    Watu 137 watiwa mbaroni katika maandamano dhidi ya Rais wa Gambia; wengine kadhaa wamejeruhiwa

    Jan 27, 2020 14:59

    Polisi nchini Gambia imewatia mbaroni watu 137 na wengine zaidi ya 24 wamejeruhiwa baada ya maandamano yaliyokuwa yakimtaka Rais wa nchi hiyo, Adama Barrow atimize ahadi yake ya kuondoka madarakani baada ya kukalia kiti cha urais kwa miaka mitatu kubadilika na kuwa machafuko.

  • Serikali: Tutamkamata na kumshtaki Yahya Jammeh akirejea Gambia

    Serikali: Tutamkamata na kumshtaki Yahya Jammeh akirejea Gambia

    Jan 21, 2020 07:41

    Serikali ya Gambia imetishia kumkamata na kumfungulia mashitaka rais wa zamani wa nchi hiyo aliyeng'olewa madarakani Yahya Jammeh iwapo atatia mguu nchini humo kutoka uhamishoni Equatorial Guinea.

  • Rais wa Gambia aapa kuwaadhibu wafanyamagendo ya binadamu baada ya ajali mbaya ya boti

    Rais wa Gambia aapa kuwaadhibu wafanyamagendo ya binadamu baada ya ajali mbaya ya boti

    Dec 08, 2019 07:13

    Rais Adama Barrow wa Gambia ameahidi kuwaadhibu wafanyamagendo ya binadamu, kufuatia vifo vya makumi ya watu waliozama baharini baada ya boti waliyoabiri ndani yake kupinduka katika pwani ya Mauritania wakati ikijaribu kufika barani Ulaya.

  • Gambia yafungua faili la mauaji ya Warohingya katika mahakama ya ICJ

    Gambia yafungua faili la mauaji ya Warohingya katika mahakama ya ICJ

    Nov 11, 2019 11:35

    Gambia imewasilisha faili la kesi ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Warohingya katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ).

  • Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri

    Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri

    Jul 25, 2019 02:40

    Rais wa zamani wa Gambia ametuhumiwa kwamba mwaka 2005 alitoa amri ya kutekelezwa mauaji ya umati dhidi ya wahajiri 30 pamoja na mwandishi mmoja wa habari.

  • Rais wa Gambia alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri

    Rais wa Gambia alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri

    Jul 01, 2018 07:22

    Rais Adama Barrow wa Gambia amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri sanjari na kumteua makamu wake mpya.

  • Maelfu ya wahajiri walioko Libya kurejea kwao Gambia

    Maelfu ya wahajiri walioko Libya kurejea kwao Gambia

    Mar 01, 2018 15:31

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji limetangaza kuwa shirika hilo lina mpango wa kuwarejesha kwao Gambia maelfu ya wahajiri waliokwama nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS