-
Marekani, Israel, Saudia zachochea machafuko Jordan kwa kupinga kuhamishiwa ubalozi wa Marekani mjini Quds
Jun 06, 2018 02:34Gazeti moja la utawala wa Kizayuni wa Israel limefichua kuwa, Israel, Marekani, Saudi Arabia na baadhi ya nchi nyingine za Kiarabu zinahusika katika machafuko yanayoendelea nchini Jordan kutokana na nchi hiyo kushiriki katika kikao cha kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani uliokuweko Tel Aviv.
-
Gazeti la Quds al-Arabi: Mgogoro wa Morocco hautatatuliwa kijeshi
Jun 27, 2017 15:07Mtandao wa habari wa gazeti la Quds al-Arabi limeandika kuwa, mgogoro wa malalamiko ya raia wa eneo la kaskazini mwa Morocco, hauwezi kutatuliwa kwa kutumia mabavu, bali utatatuliwa kwa kutekeleza malalamiko ya wananchi.
-
Uturuki: Mfalme Salman wa Saudia ni mtu hatari sana kwa kueneza fitna
Jun 08, 2017 15:21Gazeti la Uturuki la Yeni Akit limemtaja Mfalme Salman bin Abdulaziz Aal Saud wa Saudia kuwa ni mtu hatari sana kwa kueneza fitina baina ya nchi za Kiislamu.