Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Geneva

  • Reuters: Duru ya pili ya mazungumzo ya Iran na Marekani itafanyika Jumanne, Geneva

    Reuters: Duru ya pili ya mazungumzo ya Iran na Marekani itafanyika Jumanne, Geneva

    Feb 14, 2026 09:56

    Shirika la habari la Reuters limenukuu chanzo kimoja na kutangaza kuwa ujumbe wa Marekani unaojumuisha Steve Witkoff na Jared Kushner, utakutana na maafisa wa Iran mjini Geneva, Uswisi siku ya Jumanne wiki hii.

  • Akademia ya Geneva: Waliofariki Ghaza wanakaribia 200,000, watu wamepungua kwa 10%

    Akademia ya Geneva: Waliofariki Ghaza wanakaribia 200,000, watu wamepungua kwa 10%

    Feb 08, 2026 02:26

    Stuart Casey Maslen, mkuu wa Akademia ya Geneva ya Sheria za Kimataifa za Kibinadamu na Haki za Binadamu amesema, tangu Oktoba 2023 hadi sasa, idadi ya watu huko Ghaza imepungua kwa zaidi ya 10%, hali inayoashiria kutokea vifo takribani laki mbili.

  • Iran yalalamikia vikali azimio la Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Iran yalalamikia vikali azimio la Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Apr 04, 2025 10:15

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Geneva amekosoa vikali kupitishwa kwa azimio la kupinga Iran katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, akilitaja kuwa ni kitendo cha kibaguzi na kinachopunguza itibari wa baraza hilo.

  • Balozi wa Iran akosoa kuenea chuki dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi

    Balozi wa Iran akosoa kuenea chuki dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi

    Mar 27, 2025 04:09

    Ali Bahraini, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva, amekosoa kuenea kwa chuki dhidi ya Uislamu au kwa maneno mengine Islamophobia katika nchi za Magharibi

  • Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) awasili mjini Beirut, Lebanon

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) awasili mjini Beirut, Lebanon

    Oct 12, 2024 11:48

    Mohammad Bagher Ghalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ambaye yupo njiani kuelekea Geneva kushiriki Mkutano wa Kilele wa Mabunge ya Dunia, amewasili mjini Beirut kabla ya kuelekea Uswisi kwa ajili ya kuonana na kuzungumza na viongozi wa Lebanon na kutangaza uungaji mkono wake kwa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Iran yatuma barua za malalamiko kwa maafisa wa haki za binadamu wa UN

    Iran yatuma barua za malalamiko kwa maafisa wa haki za binadamu wa UN

    Aug 14, 2024 14:57

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi amewatumia barua kwa nyakati tofauti maafisa wa haki za binadamu akibainisha malalamiko makubwa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa hatua na sera zisizo z akibinadamu za utawala wa Kizayuni na hasa mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyeh kiongozi wa kisiasa wa Hamas.

  • Iran: Utawala wa Kizayuni ni tishio kwa usalama na amani ya dunia nzima

    Iran: Utawala wa Kizayuni ni tishio kwa usalama na amani ya dunia nzima

    Apr 02, 2024 10:06

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa na taasisi nyinginezo za kimataifa huko Geneva Uswisi amelaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika ubalozi mdogo wa Iran mjini Damascus Syria na kusema kuwa Israel ni utawala unaohatarisha usalama wa dunia nzima na unapuuza kikamilifu hati ya Umoja wa Mataifa.

  • Iran yalaani vikwazo vya upande mmoja vya Magharibi dhidi ya mataifa huru

    Iran yalaani vikwazo vya upande mmoja vya Magharibi dhidi ya mataifa huru

    Mar 14, 2024 14:13

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika makao makuu ya Umoja wa Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesema: Vikwazo vya upande mmoja vimepelekea kukithiri machafuko ya kibinadamu kote duniani.

  • Kubainishwa misimamo ya Iran kuhusu haki za binadamu katika Mkutano wa Geneva

    Kubainishwa misimamo ya Iran kuhusu haki za binadamu katika Mkutano wa Geneva

    Feb 27, 2024 09:06

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasilisha misimamo na mitazamo ya Iran kuhusu haki za binadamu katika mkutano wa 55 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi.

  • Iran; Mwenyeji wa idadi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani

    Iran; Mwenyeji wa idadi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani

    Dec 14, 2023 12:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika Kongamano la Baraza la Wakimbizi Duniani huko Geneva Uswisi kwamba: 'Nataraji kuwa Umoja wa Mataifa na Kamisheni Kuu ya Wakimbizi Duniani zitatekeleza majukumu yao kuhusu wakimbzi na hasa kuhusu raia wa Kiafghani milioni tano wanaoishi Iran.'

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS