-
Kufeli na kumalizika bila natija mazungumzo ya amani ya Libya mjini Geneva
Jul 04, 2021 10:04Katika hali ambayo jitihada za kuleta amani na usalama wa kudumu na kuitishwa uchaguzi wa haki utakaoyashirikisha makundi yote ya kisiasa zinaendelea, taarifa iliyotolewa hivi karibuni kuhusu Libya si ya kufurahisha hata kidogo.
-
Iran yakanusha madai yasiyo na msingi kuhusu haki za binadamu
Sep 30, 2020 07:14Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva, Baghaei Hamane amesema madai yaliyotolewa na baadhi ya nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu Iran hayana ukweli wala ushahidi wenye mashiko.
-
Waalgeria waandamana hadi hospitali alikolazwa Bouteflika nchini Uswisi
Mar 09, 2019 04:22Waalgeria wanaoishi nchini Uswisi wamefanya maandamano ya kupinga msimamo wa Rais Abdelaziz Bouteflika wa kugombea tena urais kwa muhula wa tano.
-
Mazungumzo ya Iran, Russia na Uturuki kuhusu katiba ya Syria
Dec 18, 2018 07:36Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran leo ameelekea Geneva, Uswisi kwa lengo la kushiriki katika kikao cha pande tatu kuhusu katiba ya Syria
-
IPU yapiga marufuku mijadala kuhusu ushoga na usagaji
Oct 18, 2018 15:29Kikao cha 139 cha Jumuiya ya Kimataifa ya Mabunge (IPU) kimepiga kura kuunga mkono hoja ya kutaka kupiga marufuku mijadala inayohusu masuala ya ushoga na usagaji.
-
Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo
Aug 25, 2018 02:20Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov amesema kuwa nchi yake inaheshimu uwepo wa Iran nchini Syria kwani iko huko kihalali na kwa mwaliko wa serikali halali ya nchi hiyo.
-
IOM: Bahari ya Mediterania ndiyo mpaka unaoua idadi kubwa zaidi ya watu duniani
Nov 26, 2017 03:43Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, kuanzia mwaka 2000 hadi sasa zaidi ya watu elfu 33 waliokuwa katika jitihada za kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania wamepoteza maisha.
-
UN: Mazungumzo juu ya Syria huko Geneva, yametoa ajenda iliyo wazi
Mar 04, 2017 07:26Umoja wa Mataifa umepongeza duru ya hivi punde ya mazungumzo ya amani ya Syria iliyomalizika jana Ijumaa mjini Geneva nchini Uswisi.
-
De Mistura: Mgogoro wa Syria hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi
Feb 24, 2017 03:53Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Syria amesema pande zote zinatambua kuwa, mgogoro wa nchi hiyo hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi.