-
AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza
Aug 08, 2022 02:58Umoja wa Afrika (AU) umeungana na jamii ya kimataifa kulaani jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.
-
Iran: Kimya cha Jamii ya Kimataifa kwa jinai zinazofanywa na Wazayuni Gaza kinasikitisha
Aug 07, 2022 08:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kimya kinachoonyeshwa na jamii ya kimataifa na wanaodai kuwa watetezi wa haki za binadamu kwa jinai zinazofanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza kinaumiza na kinasikitisha.
-
Iran yalaani hujuma ya Gaza iliyotekelezwa na utawala wa apathaidi wa Israel
Aug 06, 2022 02:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani hujuma ya kuogofya ya utawala wa apathaidi wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza na kusema: "Palestina ina haki ya kisheria ya kujilinda mbele ya hatua za kigaidi za Israel"
-
Tawi la kijeshi la HAMAS ya Palestina lapiga gwaride dhidi ya Israel, Gaza
Jul 22, 2022 03:06Bridegi za Izuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimefanya gwaride kubwa la kijeshi katika Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Israel inamiliki mabomu ya atomiki, sisi hatupaswi kuwa hata na bunduki ya kujihami?
Aug 26, 2021 03:34Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa vikali jinai za utawala ghasibu wa Israel na kuhoji kwa kuuliza, utawala huo unamiliki mabomu ya nyuklia, sisi hatupaswi kumiliki hata bunduki ya kujihami?
-
UN: Mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa
Aug 01, 2021 05:18Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa huko Palestina amesema kuwa nzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa.
-
Hamas: Israel imeshambulia tena Ghaza ili kunyanyua mori wa wanajeshi wake
Jun 18, 2021 08:01Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, shambulio la jana la ndege za utawala wa Kizayuni dhidi ya kambi za muqawama katika Ukanda wa Ghaza ni chokochoko mpya za Israel zilizolenga kunyanyua mori wa wanajeshi wake waliopata kipigo katika mapigano ya hivi karibuni ya siku 12 ya Ukanda wa Ghaza maarufu kwa jina la vita vya "Upanga wa Quds."
-
Hamas: Mashambulizi dhidi ya Ghaza ni jaribio lililofeli la kuzuia muqawama wa wakazi wa Quds
Jun 16, 2021 03:19Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Ghaza lilikuwa jaribio lililofeli kwa lengo la kuzuia mapambano ya wananchi wa Palestina katika mji wa Quds.
-
Wanahabari wa Afrika wataka Israel iwajibishwe kwa shambulio la Gaza
Jun 15, 2021 22:04Waandishi wa habari wa Afrika wameutaka Umoja wa Afrika (AU) ulaani mienendo ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwashambulia wanahabari wa Palestina, sanjari na kuubebesha dhima kisheria utawala huo kwa jinai zake dhidi ya wanahabari.
-
Viongozi wa Marekani waendelea na madai yao ya kuijenga upya Ghaza
Jun 05, 2021 07:21Mwakilishi wa kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ameendeleza madai ya viongozi wa nchi hiyo kuhusu kuujenga upya Ukanda wa Ghaza. Amedai kuwa Washington inafanya juhudi za kukusanya misaada ya kimataifa ya kuujenga upya ukanda huo.